iqna

IQNA

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullahil Udhma Sayyid Ali Khamenei amesema Marekani na Uingereza zinaunga mkono hujuma inayoendelea ya utawala haramu wa Israel dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza.
Habari ID: 1428809    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/07/13

Rais Hassan Rouhani
Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema matatizo wanayokumbana nayo Waislamu hivi sasa ni matokeo ya kutoyazingatia mafundisho ya Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 1428807    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/07/13

Rais Hassan Rouhani
Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametuma ujumbe kwa viongozi wa nchi zote za Kiislamu duniani na kusisitiza kwamba ulimwengu wa Kiislamu unapasa kuchukua hatua madhubuti za kuhakikisha unakomesha haraka iwezekanavyo mzingiro wa kidhulma uliowekwa na Wazayuni dhidi ya wananchi wa eneo la Ukanda wa Ghaza
Habari ID: 1428175    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/07/11

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, vyombo vya mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran hivi sasa vinalengwa na madola ya kibeberu ya Magharibi na hasa Marekani.
Habari ID: 1427548    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/07/08

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Katika siku ya kwanza ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, ugeni wa Allah Karima ambao pia ni machipuo ya Qur'ani, idadi ya wasomaji bora wa tajwidi, maustadhi na mahafidhi wa Kitabu cha Allah SWT, jana mjini Tehran walishiriki katika kikao na Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei kwenye mahafali ya kufungamana na Qur'ani.
Habari ID: 1424379    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/06/30

Pendekezo la Rais Rouhani
Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewatumia salamu za pongezi viongozi wa nchi zote za Kiislamu duniani kwa munasaba wa kuwadia Mwezi Mtukufu wa Ramadhani ambapo amewataka wautangaze mwezi wa Ramadhani mwaka huu kuwa ni 'Ramadhani ya Amani na Rahma'.
Habari ID: 1423410    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/06/28

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema maudhui ya Umahdi na kudhihiri Imam wa Zama (ATF) ni ahadi isiyopingika ya Mwenyezi Mungu kwa ajili ya kuongoza jamii ya mwanaadamu.
Habari ID: 1416911    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/06/12

Kikao cha Kwanza cha Jumuiya ya Kimatiafa ya Wafanyabiashara wa Nchi za Kiislamu kinafanyika katika kisiwa cha Kish kusini mwa Iran.
Habari ID: 1402843    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/05/04

Spika wa Bunge la Uganda ametoa wito kwa nchi za Kiislamu kuzingatia zaidi suala la malezi ya vijana hasa wale ambao wanajihusisha na shughuli za kisayansi na kiufundi.
Habari ID: 1377673    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/02/20

Ali Larijani
Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu yaani Bunge laa Iran amesema kuwa uzoefu wa miaka mingi iliyopita umeonesha kwamba ugaidi na ubeberu ni ncha mbili za mkasi unaotishia Umma wa Kiislamu na kwamba watu wa Iraq, Syria, Afghanistan na Pakistan wamehisi zaidi machungu ya mkasi huo kuliki watu wa maeneo mengine.
Habari ID: 1377233    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/02/19

Rais Rouhani wa Iran
Rais Hassan Rouhani wa Iran ametoa wito kwa nchi za Kiislamu kudumisha umoja ili kuweza kukabiliana na vitisho visivyo na kifani.
Habari ID: 1376952    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/02/18

Imam Khamenei
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei Jumatatu alihutubia maelfu ya wananchi wa miji mbalimbali ya mkoa wa Azarbayjan Mashariki waliokwenda kuonana naye akilishukuru taifa la Iran kwa kujitokeza kwa wingi katika maandamano ya tarehe 22 Bahman (Februari 11) ya kuadhimisha miaka 35 ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu hapa nchini.
Habari ID: 1376766    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/02/18

Sayyid Hassan Nasrullah
Sayyid Hassan Nasrullah, Katibu Mkuu wa harakati ya muqawama wa Kiislamu ya Lebanon Hizbullah, amekosoa kughafilika kwa nchi za Kiislamu juu ya hatari ya utawala haramu wa Kizayuni wa Israel ambao ni tishio kwa Lebanon, palestina na ulimwengu mzima.
Habari ID: 1376427    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/02/17

Shirika Kubwa la Bima (re-insurance au bima mara ya pili) ya Kiislamu linatazamiwa kuanzishwa Kenya baadaye mwaka huu kwa lengo la kutoa huduma kwa mashirika ya bima ya Kiislamu ijulikanayo kama Takaful nchini humo.
Habari ID: 1374704    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/02/13

Mkuu wa Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Kiislamu amesema kuhusiana na mazungumzo ya nyuklia kati ya Iran na mataifa sita yenye nguvu duniani kwamba, mazungumzo hayo yanaweza kutatua masuala yote kama nchi za Magharibi zitaacha kutoa visingizio.
Habari ID: 1373535    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/02/10