Jaji wa Mahakama Kuu ya mji wa Lagos nchini Nigeria ametetea na kuungamkono marufuku iliyokuwa imetangazwa kwa vazi la hijabu ya Kiislamu kwa shule za serikali katika mji huo.
Habari ID: 1461427 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/10/19
Imam Khamenei
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullahil-Udhmaa Sayyid Ali Khamenei amesema kuwa, hatua yoyote inayochochea chuki na tofauti baina ya Suni na Shia, inaisaidia Marekani, Uingereza na utawala haramu wa Kizayuni, yaani katika kuibua harakati za kijinga, zilizopitwa na wakati na za kitakfiri.
Habari ID: 1460143 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/10/14
Katika kipindi cha miaka 23, Mtume Muhammad SAW alisumbuka na kufanya jitihada kubwa mno hadi kuuwezesha kuchipua na kustawi mmea mchanga wa dini tukufu ya Uislamu.
Habari ID: 1459700 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/10/12
Msikiti wa saba kwa ukubwa zaidi duniani umefunguliwa katika mji wa Lahore nchini Pakistan.
Habari ID: 1459697 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/10/12
Mwakilishi wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika masuala ya Hija amesema kuwa, kwa vile kiwango cha mwelekeo na hamu juu ya dini ya Kiislamu imeongezeka barani Ulaya, viongozi wa bara hilo wanaamini kwamba Uislamu utaweza kulikamata bara hilo katika siku za usoni.
Habari ID: 1455969 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/09/30
Katibu Mkuu wa Muungano wa Maulamaa wa Kiislamu Duniani amelitaka kundi la kigaidi la Daesh kuacha mara moja kutenda jinai dhidi ya wanadamu.
Habari ID: 1454356 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/09/27
Mufti wa Quds na Ardhi za Palestina Sheikh Muhammad Hussein amesema kuwa kundi la kigaidi la Daesh limefanya matendo yanayopotosha sura ya Uislamu na ni tishio kwa Umma wa Kiarabu na Waislamu.
Habari ID: 1450406 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/09/15
Maulamaa na wanazuoni wanaoshiriki katika Kongamano la Kimataifa la 'Maulamaa wa Kiislamu Wanaounga Mkono Harakati ya Muqawama ya Wapalestina leo wamekwenda hospitalini hapa Tehran kumjulia hali Ayatullahil Udhma Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu.
Habari ID: 1448995 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/09/10
Ayatullah Mohsen Araqi
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu ya Kiislamu Ayatullah Mohsen Araqi ameashiria ufanisi wa mapambano ya watu wa Palestina mbele ya hujuma ya utawala wa Kizayuni katika vita vya hivi karibuni vya Ghaza.
Habari ID: 1448558 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/09/09
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullahil-Udhmaa Sayyid Ali Khamenei amesema kuwa, mabadiliko yanayojiri hivi sasa yanatokana na kubadilika mfumo uliokuwa umeasisiwa na Wamagharibi wa Ulaya na Marekani, na kujitokeza mfumo mpya.
Habari ID: 1446839 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/09/06
Pendekezo la kutaka kufukuliwa kaburi la Mtukufu Mtume Muhammad (saw) lililoko Masjid al-Nabawi mjini Madina na kuhamishwa mabaki ya mwili wa mtukufu huyo kwenda kuzikwa katika makaburi ya Baqii, Saudia, limekabiliwa na radiamali kali kutoka kwa maulama wa Chuo Kikuu cha al-Azhar nchini Misri
Habari ID: 1446838 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/09/06
Rais Hassan Rouhani
Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema serikali ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran sawa na siku za huko nyuma itatumia uwezo wake wote kwa ajili ya kuukomboa mji wa Quds na Msikiti wa Al Aqsa ambao ni kibla cha kwanza cha Waislamu sambamba na kulisaidia taifal linalodhulumiwa la Palestina.
Habari ID: 1445555 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/09/01
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran, Ayatullahil Udhma Sayyid Ali Khamenei amesema kuwa, viongozi wa serikali ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wanapaswa kutafuta radhi za Allah SWT sambamba na kulinda Mapinduzi ya Kiislamu.
Habari ID: 1444000 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/08/28
Ayatullah Muhsin Araki, Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kuzikurubisha Pamoja Madhehebu za Kiislamu amesema kuwa, miongoni mwa malengo muhimu ya risala ya Kiislamu na jukumu la Bwana Mtume SAW lilikuwa ni kuleta umoja baina ya watu
Habari ID: 1441626 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/08/21
Mufti Mkuu wa Misri
Mufti Mkuu wa Misri amesema kuwa vitendo vinavyofanywa na kundi la Daesh vinapingana na thamani za kibinadamu na Kiislamu na kwamba kundi hilo ni genge la kigaidi ambalo haliwezi kutambuliwa kuwa ni dola la Kiislamu.
Habari ID: 1439297 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/08/14
Banki ya KCB (Kenya Commercial Bank) nchini Kenya imetangaza kuwa itaanzisha rasmi mfumo kamili wa Kiislamu katika huduma za banki mwezi wa Agosti huku ikipanga kueneza huduma hiyo katika eneo lote la Afrika Mashariki.
Habari ID: 1434697 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/07/31
Imam Khamenei
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, 'ulimwengu wa Kiislamu kwa kuweka kando hilitalfu zilizopo, utumie uwezo wake wote kwa ajili ya kukidhi mahitaji ya Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza.'
Habari ID: 1434650 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/07/29
Imam Khamenei
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kwamba, ulimwengu wa Kiislamu unapasa kuipatia kipaumbele kikubwa kadhia ya Ghaza.
Habari ID: 1434649 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/07/29
Utawala haramu wa Israel umezidisha jinai zake dhidi ya Wapalestina wasio na ulinzi kwa kuanzisha hujuma ya kijeshi ya nchi kavu katika Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 1430956 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/07/19
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullahil Udhma Sayyid Ali Khamenei amezungumzia tukio la kusikitisha la kuuawa wananchi wa Ghaza hasa wanawake na watoto na kusisitiza kuwa, kadhia ya Ghaza kwa hakika ni ya kusikitisha na utawala wa Kizayuni wa Israel umeamua kutekeleza jinai kutokana na mghafala ulioko katika ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 1430240 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/07/16