kiislamu - Ukurasa 14

IQNA

Ripoti Maalumu ya IQNA
Sambamba na kuanza hujuma ya hujuma ya kijeshi ya Saudi Arabia nchini Yemen, kumeshuhudiwa kuongezeka kwa kasi chuki dhidi ya Ushia na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran barani Afrika.
Habari ID: 3315877    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/18

Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu, Bunge la Iran, ametoa mkono wa kheri na fanaka kwa maspika wa mabunge ya nchi za Kiislamu duniani kwa mnasaba wa kuwadia Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3315773    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/17

Watu 183 waliosilimu na wanaoishi Qatar wamejisajilisha kushiriki katika mashindano ya kitaifa ya Qur’ani katika nchi hiyo ya Ghuba ya Uajemi.
Habari ID: 3313858    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/13

Katika jitihada za kueneza mafundisho halisi ya Kiislamu, jumuiya moja ya Kiislamu nchini Nigeria imeanzisha stesheni mpya za televisheni na radio katika nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.
Habari ID: 3313357    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/12

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema mafundisho ya Imam Khomeni MA ndio ramani ya njia ya taifa lililojaa matumaini la Iran na kwamba kuna udharura wa kukabiliana na upotoshaji shakhsia ya Imam.
Habari ID: 3310916    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/04

Siku ya Alkhamisi ya tarehe 4 Juni inasadifiana na kumbukumbu za siku ya kufariki dunia Imam Khomeini MA, mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3310852    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/04

Mwenyekiti wa Maulamaa wa Ahlu Sunna nchini Iraq amesema kupambana na kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) ni wajibu kwa mujibu wa sheria za Kiislamu.
Habari ID: 3310587    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/02

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullahil Udhma Sayyid Ali Khamenei amesema misimamo ya nyuklia ya Iran ni ile ile iliyotangazwa mara kadhaa hadharani.
Habari ID: 3308684    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/28

Sheikh Ahmad Khatib, Shekhe Mkuu wa Chuo Kikuu cha Al Azhar nchini Misri ametoa taarifa na kusema kwa mujibu wa sheria za Kiislamu, ni haramu kubomoa athari na turathi za kihistoria.
Habari ID: 3308489    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/27

Sayyid Hassan Nasrullah
Katibu Mkuu wa chama cha Hizbullah cha Lebanon ameishukuru Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Syria kwa kuuunga mkono muqawama katika kupambana na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3307601    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/25

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, tiba ya matatizo ya leo yaliyoko katika ulimwengu wa Kiislamu ni kusalimu amri mbele ya maamrisho ya Qur’ani Tukufu na kutosalimu amri mbele ya utwishaji mambo wa ujahili wa kisasa (mamboleo) na kusimama kidete mbele ya ubeberu na utumiaji mabavu wa ujahili huo.
Habari ID: 3306857    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/23

Jamii ya kimataifa inaendelea kulaani vikali shambulio la kigaidi dhidi ya msikiti wa Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Saudi Arabia.
Habari ID: 3306740    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/23

Awamu ya 32 ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran imekamilika na washindi kutangazwa huku wawakilishi wa nchi za Afrika wamefanya vizuri katika kuhifadhi Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3306240    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/22

Mwakilishi wa Saudi Arabia katika Awamu ya 32 ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran ameyataja mashindano hayo kuwa nembo ya umoja miongoni mwa Waislamu.
Habari ID: 3306138    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/21

Mshauri wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika masuala ya Kimataifa Ali Akbar Velayati amekutana na kiongozi wa Hizbullah ya Lebanon mjini Beirut na Rais Bashar al Assad wa Syria mjini Damascus.
Habari ID: 3305555    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/19

Washiri kadhaa wa awamu ya 32 ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Iran ametembelea Bunge la Iran, Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu, siku ya Jumapili.
Habari ID: 3304650    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/18

Katika siku za kukaribia tarehe 27 Rajab Mohammad SAW alikuwa akienda katika pango la Hiraa na katika baadhi ya nyakati alikuwa akikaa siku kadhaa katikaeneo hilo. Alikuwa akimfahamisha mke wake mtiifu Khadija kuwa: ‘Wewe pia wafahamu mahaba na mafungamano yangu. Katika siku hizi nina hisia ya ajabu ya kupenda kumkumbuka Mola muumba, moyo wangu hautaki chochote isipokuwa hilo.’
Habari ID: 3303983    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/15

Kikao cha kumi cha kamati ya kudumu inayohusika na masuala ya utamaduni na habari ya Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) kuhusu nafasi ya vijana na vyombo vya habari katika kudumisha amani na uthabiti katika Ulimwengu wa Kiislamu kimefanyika Dakar, mji mkuu wa Senegal.
Habari ID: 3233866    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/04/30

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kamwe haijawahi kuwa tishio kwa usalama wa eneo la Mashariki ya Kati na nchi majirani zake na katika siku za usoni pia haitokuwa hivyo, lakini wakati huo huo itaendelea kusimama kidete kukabiliana vilivyo na uchokozi wa aina yoyote ile dhidi yake.
Habari ID: 3180160    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/04/20

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran, amesema kuwa hajachukua hatua yoyote kuhusiana na maelewano ya mazungumzo ya nyuklia kati ya taifa hili na kundi la 5+1 kwa kuwa hadi sasa haijafika wakati wa kutoa maamuzi hasa kwa kutilia maanani kwamba bado viongozi wa serikali wamesema kuwa, bado makubaliano hasa hayajafikiwa.
Habari ID: 3116071    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/04/10