kiislamu - Ukurasa 13

IQNA

Wakaazi wa Zanzibar nchini Tanzania wamepokea kwa furaha tele hatua ya kuanzishwa huduma 10 za mfumo wa Kiislamu katika benki kuwahudumia wafanyabiashara, maafisa wa serikali na wananchi wa kawaida.
Habari ID: 3327967    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/14

Awamu ya 23 ya Maonyesho ya Kimataifa ya Qur’ani Tehran yanamalizika Jumanne hii.
Habari ID: 3327645    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/13

Taasisi mbili za Uturuki zinashirikiana kusambaza nakala milioni za Qur’ani Tukufu katika nchi kadhaa za Kiafrika.
Habari ID: 3327631    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/13

Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema kupambana na mabeberu na mfumo wa kibeberu na kiistikbari kuna misingi katika Qur'ani tukufu na hakuwezi kusimamishwa, na Marekani ndiyo kielelezo kamili cha beberu katika zama hizi.
Habari ID: 3327198    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/12

Ali Larijani
Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu, Bunge la Iran, Ali Larijani amesema lengo kuu la nchi za Magharibi ni kuangamiza Uislamu na njama hiyo ilianzishwa Palestina.
Habari ID: 3326323    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/11

Maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds nchini Iran mwaka huu yamekuwa makubwa na mapana zaidi kuliko miaka iliyopita.
Habari ID: 3326322    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/11

Moja ya mafanikio makubwa ya Mapinduzi ya Kiislamu ni kuifanya kadhia ya Palestina kuwa kadhia nambari moja katika ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 3325960    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/09

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullahil Udhma Sayyid Ali Khamenei amesema kasi kubwa ya kielimu iliyopo nchini Iran haipaswi kuachiwa kupungua kwa njia na sababu yoyote ile.
Habari ID: 3323615    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/05

Shekhe Mkuu wa Chuo Kikuu cha kidini cha al Azhar nchini Misri amepinga hatua ya wahubiri wa Kiwahabi na Kisalafi ya kutumia kauli isiyofaa ya ‘Rafidh’ kuwataja Wapenzi wa Ahul Bayt wa Mtume SAW.
Habari ID: 3323156    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/04

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza juu ya udharura wa kutumiwa vyema sanaa ya mashairi kwa ajili ya kutoa miongozo kwa walengwa.
Habari ID: 3322405    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/02

Wazazi Waislamu nchini Kenya wamekosoa kitendo cha uongozi wa shule mbili cha kuwalazimisha wanafunzi wa Kiislamu kuingia makanisani kwa ibada.
Habari ID: 3322404    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/02

Muungano wa Vijana wa Sudan wamezindua 'Mpango wa Rehema' chini ya anwani ya: "Ramadhani Inatuleta Pamoja".
Habari ID: 3318508    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/25

Qatar imeandaa maonyesho kuhusu miujiza ya Qur'ani Tukufu na mafanikio ya wanasayansi Waislamu katika historia.
Habari ID: 3318504    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/25

Maoneysho ya 23 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Tehran yamefunguliwa rasmi Jumatano jioni katika hafla iliyohudhuriwa na Waziri wa Utamaduni wa Muongozo wa Kiislamu Iran, maafisa waandamizi wa baraza la mji wa Tehran na wana wanaharakati katika uga wa Qur'ani.
Habari ID: 3318499    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/25

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amesema kuhusiana na mazungumzo ya nyuklia ya Iran na kundi la 5+1 kwamba, vikwazo vya kiuchumi, kifedha na kibenki dhidi ya taifa hili vinapaswa kuondolewa mara moja wakati wa kutiwa saini makubaliano na kwamba, kuondolewa vikwazo hivyo, hakupaswi kufungamanishwa na utekelezaji wa ahadi za Tehran.
Habari ID: 3318278    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/24

Maqari 12 kutoka Misri watashiriki katika majlisi na vikao vya kusoma Qur'ani Tukufu nchini Iran katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani mwaka huu.
Habari ID: 3317012    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/22

Waislamu nchini Marekani wameanzisha kampeni yenye lengo la kuonesha sura sahini na adhimu ya Mtukufu Mtume Muhammad SAW kwa wafuasi wa dini nyingine duniani.
Habari ID: 3316510    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/20

Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, ametaka kuimarishwa ushirikiano, umoja na udugu wa kidini baina ya nchi zote za Kiislamu duniani.
Habari ID: 3316509    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/20

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullahil Udhma Sayyid Ali Khamenei amesema maqari na wasomaji wanaweza kusisitiza mara kadhaa juu ya baadhi ya maneno ya kitabu hicho kitukufu katika usomaji wao.
Habari ID: 3315977    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/19

Waislamu katika nchi nyingi duniani leo wamenza funga ya mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3315879    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/18