michigan

IQNA

IQNA – Sauti za dua, takbira na furaha zilitawala anga ya Dearborn Heights, Michigan nchini Marekani huku mamia ya watu wakikusanyika kukata utepe wa ufunguzi wa Msikiti wa Imam Al‑Hasanain na makao makuu mapya ya Taasisi ya Kiislamu ya Amerika (IIOA).
Habari ID: 3482357    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/13

Waislamu Marekani
IQNA – Mji wa Michiganu Januari kuwa "Mwezi wa Urithi wa Waislamu wa Marekani," ili kutambua michango muhimu ya Waislamu wa Marekani katika utamaduni, uchumi, na jamii katika jimbo hilo.
Habari ID: 3480036    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/11

TEHRAN (IQNA)- Abdullah Hammoud ameapishwa kama meya wa kwanza Muislamu katika mji wa Dearborn jimboni Michigan ambapo amekula kiapo akiwa amewekelea mkono wake juu ya Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3474813    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/16

TEHRAN (IQNA)- Issa Shahini ni Muislamu aliyehudumu kwa muda mrefu katika Idara ya Polisi ya Dearbon, jimboni Michigan Marekani na sasa ameteuliwa kuwa mkuu wa polisi katika mji huo.
Habari ID: 3474702    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/21

TEHRAN (IQNA)- Mwanamke mmoja Muislamu katika jimbo la Michigan nchini Marekani amelalamika kuwa polisi walimvua Hijabu baada ya kumkamata. Alivuliwa Hijabu katika kituo cha polisi wakati wa kupigwa picha.
Habari ID: 3474319    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/20

TEHRAN (IQNA)-Daktari Abdul El-Sayed, mwenye umri wa miaka 32 kutoka mji wa Detroit jimboni Michigan, anaendeleza kampeni kali ya kutaka kuwa gavana kwa kwanza Mwislamu Marekani.
Habari ID: 3471177    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/16

IQNA: Daktari mwenye umri wa miaka 32 anatarajia kuwa Mwislamu kwa kwanza gavana nchini Marekani baada ya kutangaza nia ya kugombea ugavana wa jimbo la Michigan.
Habari ID: 3470875    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/03/03