Maonyesho ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Jumba la Utamaduni la Iran mjini Lahore, Pakistani, limeandaa maonyesho kadhaa katika Tamasha la hivi karibuni la Sanaa ya Kiislamu, ikiwa ni pamoja na nakala ya Qur’ani Tukufu iliyonasibishwa kwa Imam Ali (AS).
Habari ID: 3476145 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/25
Turathi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Kuna msikiti kaskazini-magharibi mwa Uchina ambao una nakala ya kale zaidi ya Qur'ani katika nchi hiyo ya Asia Mashariki.
Habari ID: 3475650 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/20
TEHRAN (IQNA) Msahafu ulioandikwa zaidi ya miaka 600 iliyopita unaonyesha katika Maktaba ya Nyaraka ya Ziya Bey nchini Uturuki.
Habari ID: 3474565 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/16
TEHRAN (IQNA)- Msahafu ambao umetajwa kuwa mkubwa zaidi duniani utaonyeshwa katika maonyesho ya Expo 2020 Dubai ambaye yanatazamiwa kuanza mjini humo baadaye mwezi Oktoba.
Habari ID: 3474242 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/31
TEHRAN (IQNA)- Taasisi ya Tuzo ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Dubai imewaenzi wachapishaji na wasambazaji Misahafu katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE).
Habari ID: 3474174 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/09
TEHRAN (IQNA)- Msahafu wenye kuvunja rekodi kwa ukubwa wake umewekwa katika maonyesho katika mji mkuu wa Indonesia, Jakarta.
Habari ID: 3473863 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/30
TEHRAN (IQNA)-Nakala nne nadra za Qur'ani Tukufu ni kati ya turathi zenye thamani katika maktaba ya Msikiti wa Sayyida Zainab mjini Cairo, Misri.
Habari ID: 3471372 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/01/26