iqna

IQNA

IQNA – Warsha yenye kichwa “Sanaa ya Uandikaji Nakala za Qur’an” ilifanyika siku ya Jumanne, Julai 9, pembeni mwa Maonyesho ya 20 ya Kimataifa ya Vitabu ya Alexandria nchini Misri.
Habari ID: 3480920    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/09

IQNA – Idara ya Masuala ya Kiutamaduni na Kielimu ya Haram ya Hadhrat Abbas (AS) huko Karbala, Iraq, imetangaza kukamilika kwa zoezi la kuorodhesha hati 2,000 adimu zilizohifadhiwa katika maktaba yake.
Habari ID: 3480625    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/02

IQNA – Nakala ya Qur’ani (Msahafu) kutoka enzi za Mamluk mwishoni mwa miaka ya 1470 Miladia ni miongoni mwa vitu vya sanaa vitakavyouzwa katika mnada wa Sotheby's jijini London leo. 
Habari ID: 3480618    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/30

Turathi
IQNA-Miswada au maandiko ya kale ni hazina muhimu ya urithi wa binadamu. Majumba ya makumbusho, vyuo vikuu na vituo vya utafiti ni sehemu ambazo zimejaa maelfu ya maandiko ambayo yanasaidia kuelewa historia, sayansi, lugha, na sanaa mbalimbali hasa katika ustaarabu wa Kiislamu.
Habari ID: 3480523    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/11

Turathi
IQNA-Katika kijiji kidogo cha Gelezerde, pembezoni mwa mji wa Sulaymaniyah, kaskazini mwa Iraq, kuna nakala ya Qur’ani Tukufu (Mus’haf) ambayo haiwezi kupuuzwa – sio tu kwa uzuri wake wa kale, bali kwa thamani yake ya kiroho, kihistoria na kitamaduni.
Habari ID: 3480506    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/07

IQNA – Nakala ya Qur'ani ya kipekee iliyoandikwa kwa mkono na Wafanyaziara wa Arbaeen inaonyeshwa katika banda la Haram ya Hadhrat Abbas (AS) kwenye Maonyesho ya 32 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Tehran.
Habari ID: 3480359    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/12

IQNA – Haram ya Imam Hussein (AS) huko Karbala, Iraq, imezindua Msahafu wa katika hafla iliyofanyika siku ya Alhamisi.
Habari ID: 3480322    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/07

Turathi ya Kiislamu
IQNA-Msikiti wa Kijani huko Wolfenbüttel, Ujerumani, umepokea nakala nadra ya Qur'ani
Habari ID: 3480092    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/22

Turathi
IQNA – Urekebishaji wa kurasa za nakala adimu ya Msahafu (Qur'ani) wa karne ya 10 Miladia umeanza huko Karbala, Iraq. Haya ni kwa mujibu wa Latif Abdulzahra, mkuu wa Idara ya Urekebishaji Nakala katika Kituo cha Kuhifadhi Nakala na Kumbukumbu katika kaburi au Haram ya Hazrat Abbas (AS).
Habari ID: 3480063    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/17

Qur'ani Tukufu
IQNA – Kitabu kinachoitwa "Kalam Mubin: Nyakara za Kale Zaidi za Misahafu (Nakala za Qur’ani); Nyaraka za Qur’ani za Maandishi ya Hijazi," kimezinduliwa katika hafla huko Tehran.
Habari ID: 3480027    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/10

Turathi ya Kiislamu
IQNA - Nakala ya Qur'ani Tukufu (Msahafu) iliyoandikwa kwa mkono miaka 180 iliyopita imezawadiwa Maktaba Kuu ya Chuo Kikuu cha Tehran.
Habari ID: 3479183    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/25

IQNA - Mwandishi wa kaligrafia wa Syria Ubaidah Muhammad Salih Al-Banki alielezea amesema kuwa na fursa ya kuandika kaligrafia Mus’haf (Msahafu) kama baraka ya Mwenyezi Mungu na chanzo kikubwa cha heshima.
Habari ID: 3478839    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/17

Turathi za Kiislamu
IQNA – Msahafu wa kipekee wa zama za Uthmaniyya umeuzwa katika katika mnada wa turathi za Kiislamu jijini London, Uingereza.
Habari ID: 3478742    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/27

Turathi za Kiislamu
IQNA – Msahafu wa kipekee wa enzi za Uthmaniyya ni miongoni mwa bidhaa za sanaa za Kiislamu zitakazopigwa mnada Sotheby's London wiki hii.
Habari ID: 3478726    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/24

Turathi
IQNA - Hujaji wa Nigeria na mwanafunzi amekabidhi nakala iliyoandikwa kwa mkono ya Qur'ani Tukufu katika hati ya Maghribi kwa Maktaba Kuu ya Haram ya Imam Ridha (AS).
Habari ID: 3478677    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/13

Maonyesho ya Qur'ani
IQNA - Kuna maandishi mengi ya Qur'ani Tukufu yanayohifadhiwa kwenye Maktaba ya Astan Quds Razavi mjini Mashhad, nchini Iran, ukiwemo Mus'haf Mashhad ambao umetajwa ni nakala kamili zaidi katika maandishi ya Kikufi ya Hijaz.
Habari ID: 3478554    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/22

Turathi ya Kiislamu
IQNA - Miongoni mwa vitu vinavyoonyeshwa kwenye Maktaba ya Kitaifa ya Qatar ni nakala adimu ya Qur'ani Tukufu kutoka Morocco.
Habari ID: 3478442    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/03

Turathi ya Kiislamu
IQNA - Profesa wa jiografia wa Misri ana nakala ndogo sana ya Qur’ani Tukufu (Msahafu) ambayo ni ya miaka 280 iliyopita.
Habari ID: 3478074    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/22

Turathi ya Kiislamu
KARBALA (IQNA) – Kopi ya nakala ya kodexi ya Msahahafu wa karne 14 zilizopita wa Mashhad, (Mus'haf Mashhad Razawi) imekabidhiwa Idara ya Mfawidhi wa Haram Tukufu ya Imam Hussein (AS) huko Karbala, Iraq.
Habari ID: 3478012    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/09

Wanazuoni Mashuhuri wa Ulimwengu wa Kiislamu/33
TEHRAN (IQNA) – Kitabu cha “Nakala za Qur'ani (Misahafu) za Bani Umayya: Muhtasari wa Kwanza” cha mwanazuoni mashuhuri wa Kifaransa Francois Deroche ni mojawapo ya vitabu muhimu vya kisasa vya hati za Qur’ani.
Habari ID: 3477982    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/03