iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA)- Mwanamichezo wa mchezo wa Judo wa Algeria ameamua kujitoa kwenye michezo ya Olimpiki ya 2020 Tokyo inayofunguliwa rasmi leo katika mji mkuu huo wa Japan, ikiwa ni harakati ya kutangaza mshikamano na Palestina na kupinga kuanzishwa uhusiano na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3474120    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/23

TEHRAN (IQNA) - Shirikisho la Soka la Palestina limekaribisha hatua ya FC Barcelona ya Uhispania kukataa kucheza mechi ya kirafiki na timu ya Beitar ya utawala haramu wa Israeli katika mji wa Quds (Jerusalem) inayokaliwa kwa mabavu.
Habari ID: 3474112    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/18

TEHRAN (IQNA)- Wafungwa watano Waplaestina wameanza mgomo wa kususia chakula katika magereza ya kuogofya ya utawala wa Kizayuni wa Israel kama kwa lengo la kulalamikia kushikiliwa gerezani bila ya kubainika makosa yao.
Habari ID: 3474105    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/16

TEHRAN (IQNA)- Uchunguzi wa maoni umebaini kuwa, robo ya Mayahudi wa Marekani wanaamini kuwa Israel ni utawala wa ubaguzi wa rangi.
Habari ID: 3474101    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/15

TEHRAN (IQNA) - Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman amesisitiza kuwa nchi yake itaendelea kuunga mkono haki za kisheria za Palestina na katu haitafanya mapatano na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3474087    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/10

TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametuma salamu za rambirambi kufuatia kuaga dunia mwanamapmbano maarufu wa Palestina, Ahmed Jibril.
Habari ID: 3474082    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/08

TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) na harakati zingine ukombozi wa Palestina zinatafakari kuhusu kutumia nguvu kuulazimu utawala wa Kizayuni wa Israel uondoe mzingiro wake dhidi ya Ukanda wa Ghaza.
Habari ID: 3474080    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/08

Taarifa ya Hamas
TEHRAN (IQNA)- Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesisitiza kuwa, mashambulizi ya Wazayuni katika Ukanda wa Ghaza pia hayawezi kuzima harakati za kupigania ukombozi wa Palestina.
Habari ID: 3474069    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/04

TEHRAN (IQNA)- Moto umezuka katika meli ya mizogo ya Israel baada ya kushambuliwa kwa 'silaha isiyojulikana' ikiwa katika maji ya Bahari ya Hindi.
Habari ID: 3474068    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/04

TEHRAN (IQNA)- Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamewahujumu Wapalestina waliokuwa wakiandamana kwa amani dhidi ya ujenzi wa vitongoji haramu vya walowezi wa Kizayuni katika mji wa Nablus ulio katika eneo linalokaliwa kwa mabavu la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
Habari ID: 3474065    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/03

TEHRAN (IQNA)- Ndege za kivita za utawala wa Kizayuni wa Israel zimeshambulia maeneo ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) katika Ukanda wa Ghaza na hivyo kukiuka mapatano ya hivi karibuni ya usitishwaji vita.
Habari ID: 3474064    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/02

TEHRAN (IQNA)- Wiki kadhaa baada ya utawala wa Kizayuni wa Israel kuua idadi kubwa ya wanawake, watoto na raia wa Palestina katika Ukanda wa Ghaza, utawala huo haramu umekaribishwa katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) na kufungua ofisi za kibalozi mjini Abu Dhabi.
Habari ID: 3474058    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/30

Vijana wa Sudan wameanzisha Jumuiya ya Kuunga Mkono Msikiti wa Al Aqsa na Kupinga Uanzishwaji Uhusiano wa Kawaida na Utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3474028    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/21

TEHRAN (IQNA)- Benjamin Netanyahu mtenda jinai ametimuliwa madarakani na kufikia tamati utawala wake wa miaka 12 katika utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3474006    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/14

TEHRAN (IQNA)- Kijana Mpalestina ameuawa shahidi Ijumaa baada ya wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel kuwatawanya waandamanaji waliokuwa wamejitokeza katika maandamano ya amani kupinga ujenzi wa vitongoji haramu vya walowezi wa Kizayuni.
Habari ID: 3473998    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/12

TEHRAN (IQNA)- Rais Abdelmajid Tebboune wa Algeria amesema nchi yake haitalegeza msimamo wake katika kuunga mkono taifa la Palestina.
Habari ID: 3473989    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/08

TEHRAN (IQNA)- Maelfu ya watu wa Morocco wameanzisha kampeni katika mitandao ya kijamii kwa lengo la kulaani jinai za kinyama za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Ukanda wa Ghaza huku wakitaka nchi yao ikato uhusino na utawala huo bandia.
Habari ID: 3473982    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/06

TEHRAN (IQNA)- Waziri wa ulinzi wa Iran amesema Wapalestina waliibuka ushindi hivi karibuni katika vita na utawala wa Kizayuni wa Israel kutokana na imani yao kwa Mwenyezi Mungu kwa Allah SWT.
Habari ID: 3473965    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/31

Balozi Salah al Zawawi
TEHRAN (IQNA)-Balozi wa Palestina nchini Iran amesema kuwa, vita vya siku 12 vilivyomalizika hivi karibuni baina ya utawala wa Kizayuni na wanamapambano wa Palestina, vimefungua mlango wa kuangamizwa kikamilifu Israel.
Habari ID: 3473961    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/30

TEHRAN (IQNA)- Waziri wa mambo ya nje wa utawala wa Kizayuni wa Israel Jumapili ataitembelea Misri kwa lengo la kufanya mazungumzo na wakuu wa usalama nchi hiyo kuhusu mapatano yaliyofikishwa ya usitishwaji vita Ghaza.
Habari ID: 3473960    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/29