iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA)- Gazeti moja la Kiebrania limeripoti kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel umetoa sharti kwa Uturuki la kuifunga ofisi ya HAMAS mjini Istanbul ili kuanzisha tena uhusiano kamili na nchi hiyo.
Habari ID: 3473570    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/19

TEHRAN (IQNA) - Wananchi wa Bahrain leo wameandamana kulaani hatua ya ukoo wa Aal Khalifa unaotawala nchi hiyo kuanzisha uhusiano na utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3473560    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/15

TEHRAN (IQNA)- Wataalamu wa Umoja wa Mataifa wamesema utawala wa Israel, kama utawala vamizi unaokali ardhi za Palestina kwa mabavu, unapaswa kuwapa Wapalestina chanjo ya corona.
Habari ID: 3473559    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/15

TEHRAN (IQNA)- Utawala wa Kizayuni wa Israel umeongeza maradufu kasi ya kujenga vitongoji vya walowezi wa Kizayuni katika ardhi ulizowapora Wapalestina hatua ambayo itaibua msuguano na serikali mpya ijayo ya Marekani.
Habari ID: 3473545    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/11

TEHRAN (IQNA) - Makumi ya wabunge wa Algeria wameandaa muswada wa sheria inayolenga kuufanya kuwa ni uhalifu uanzishwaji wa uhusiano wowote wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3473536    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/08

TEHRAN (IQNA) – Baadhi ya weledi wa mambo wanaamini kuwa kurejeshwa uhusiano wa Saudi Arabia na Qatar ni hatua ya awali katika nchi hizo mbili kuaunzisha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3473534    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/07

TEHRAN (IQNA) – Shirika la mtandao wa kijamii wa Facebook limeufunga ukurasa wa Jumuiya ya Kimataifa ya Maulamaa wa Kiislamu (IUMS) baada ya jumuiya hiyo kutoa fatwa yake ya kuwataka Waislamu wasusie bidhaa za utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3473531    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/06

TEHRAN (IQNA) - Jumuiya ya Kimataifa ya Maulamaa wa Kiislamu (IUMS) imetoa fatua ya kuususia kikamilifu utawala haramu wa Kizayuni wa Israel na kutangaza kwamba, haijuzu kuuuzia wala kununua chochote kinachozalishwa na utawala huo mpaka utakapokomesha ukaliaji wake ardhi kwa mabavu.
Habari ID: 3473524    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/04

TEHRAN (IQNA)- Balozi wa Palestina katika Umoja wa Mataifa ametuma barua tofauti kwa viongozi wa umoja huo akitaka jamii ya kimataifa kukabiliana ipasavyo na jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel na kuuadhibu utawala huo kwa hatua yake ya kuendeleza ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni katika ardhi za Palestina.
Habari ID: 3473508    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/30

Jumuiya ya Maulama wa Kiislamu Duniani
TEHRAN (IQNA)- Jumuiya ya Kimataifa ya Maulamaa Waislamu (IAMS) amesema kuwa, viongozi wanaotaka mapatano wameanzisha uhusiano wa kawaida na Israel kwa sababu ya woga, tamaa na kwa ajili ya kulinda maslahi yao pamoja na tawala zao, hatua ambayo ni haramu na batili.
Habari ID: 3473502    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/28

Harakati ya Kiislamu ya Amal ya Jordan
TEHRAN (IQNA) – Harakati ya Kiislamu ya Amal ya Jordan imetoa taarifa na kusema hatua ya Morocco kuafiki kuanzisha uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel ni kashfa kubwa na pia ni uhaini wa kihistoria.
Habari ID: 3473491    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/25

TEHRAN (IQNA) – Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria imekosoa uungaji mkono wa baadhi ya wanachama wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kwa hujuma za utawala wa Kizayuni wa Israel na kusisitiza kuwa hujuma hizo ni tishio kwa usalama na uthabiti katika eneo.
Habari ID: 3473490    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/25

TEHRAN (IQNA) - Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kitendo cha baadhi ya nchi za Kiarabu cha kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel ni kuwasaliti wananchi wa Palestina na umma wa Kiislamu kwa ujumla.
Habari ID: 3473488    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/24

TEHRAN (IQNA) - Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Tunisia imeashiria juhudi za baadhi ya mataifa ya kieneo za kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel na kusisitiza kwamba, serikali ya Tunis haina mpango wa kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala huo ghasibu.
Habari ID: 3473484    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/23

TEHRAN (IQNA) - Mkuu wa Kamati Kuu ya Mapinduzi ya Wananchi wa Yemen ameashiria kuendelea kuchimbwa mashimo na njia za chini kwa chini kuelekea katika msikiti mtakatifu wa al-Aqswa ambao ni kibla cha kwanza cha Waislamu na kueleza kwamba, Waislamu wanapaswa kutumia nyenzo na suhula zote kukabiliana na njama hizo.
Habari ID: 3473483    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/23

TEHRAN (IQNA) Waziri Mkuu wa Pakistan Imran Khan amekanusha kuwepo mashinikizo ya aina yoyote ya kuitaka nchi hiyo ijiunge na safu ya nchi zinazofanya mapatano na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3473474    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/20

TEHRAN (IQNA) – Maelfu ya Wapalestina leo wamshiriki katika Swala ya Ijumaa katika kibla cha kwanza cha Waislamu, yaani Msikiti wa Al Aqsa ulioko mjini Quds (Jerusalem).
Habari ID: 3473467    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/18

Tunisia imesema haina mpango wowote wa kuchukua uamuzi sawa na wa Morocco wa kuanzisha uhusiano na utawala bandia wa Israel.
Habari ID: 3473457    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/15

TEHRAN (IQNA)- Waziri Mkuu wa Algeria amekosoa hatua ya Morocco kuanzisha uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3473450    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/12

TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imelaani vikali 'mapatano' ya kuanzishwa uhusiano wa kawaida baina ya Morocco na utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3473448    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/12