iqna

IQNA

Matukio ya Palestina
TEHRAN (IQNA)- Makundi ya Wazayuni wenye misimamo mikali wametoa wito wa kuhujumiwa Msitiki wa Al Aqsa mjini Quds (Jerusalem) mnamo Aprili 15 sambamba na 14 Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa mnasaba wa siku kuu ya Kiyahudi wa Pasaka.
Habari ID: 3475097    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/07

TEHRAN (IQNA)- Harakati za Palestina za Hamas na Jihad ya Kiislamu zimelaani mkutano waliofanya mawaziri wa mambo ya nje wa nchi nne za Kiarabu na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel katika eneo linalokaliwa kwa mabavu la Naqab.
Habari ID: 3475084    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/28

TEHRAN (IQNA) - Waziri wa Mambo ya Nje wa Tunisia Othman Jerandi amezitaka nchi za Kiislamu kushirikiana na kukomesha ongezeko la jinai za utawala ghasibu wa Israel katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala huo.
Habari ID: 3475072    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/24

TEHRAN (IQNA)- Askari wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamevamia Msikiti wa Nabii Ibrahim AS katika Ukingo wa Magahribi Jumapili na kupanda juu ya paa la msikiti huo.
Habari ID: 3475064    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/22

TEHRAN (IQNA)- Wakati mwezi mtukufu wa Ramadhani unapokaribia, mkuu wa Tume ya Haki za Kibinadamu ya Kiislamu (IHRC) yenye makao yake mjini London amehimiza kususia tende zinazozalishwa na makampuni ya utawala haramu wa Israel katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala huo.
Habari ID: 3475059    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/20

TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Mawasiliano wa utawala haramuIsrael, Yoaz Hendel, amekiri kuwa hitilafu iliyoathiri tovuti kadhaa rasmi ni matokeo ya shambulio la mtandao lililofanywa na wadukuzi, ambalo lililenga tovuti za utawala huo wa Kizayuni.
Habari ID: 3475044    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/15

TEHRAN (IQNA)- Harakati za mapambano ya Kiislamu ambazo zinapignaia ukombozi wa Palestina zimelaani vikali safari ya rais wa utawala haramu wa Israel Isaac Herzog nchini Uturuki wakati huu ambao Israel imeshadidisha hujuma dhidi ya Wapalestina.
Habari ID: 3475026    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/10

Siku ya Wanawake Duniani
TEHRAN (IQNA)- Leo tarehe 8 Machi inatambuliwa kuwa Siku ya Kimataifa ya Mwanamke. Pamoja na kuwa wanawake maeneo mengi duniani wanasherehekea siku hii kwa shangwe, huko Palestina hali ni tofauti kwani wanawake wanuawa kiholela na jeshi la utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3475021    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/08

TEHRAN (IQNA)- Harakati ya mateka wa Kipalestina katika magereza ya utawala dhalimu wa Kizayuni wa Israel imetangaza kuanza harakati ya Intifadha au mwamako wa wafungwa wa Kipalestina na kutoa wito wa kuungwa mkono harakati hiyo.
Habari ID: 3474986    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/28

TEHRAN (IQNA)- Harakati za Kiislamu za kupigania ukombozi wa Palestina, Hamas na Jihad Islami zimesisitiza ulazima wa kuafikiana na Harakati ya Ukombozi wa Palestina (PLO) kuhusu mpango wa pamoja wa kitaifa wa kukabiliana na utawala wa Kizayuni wa Israel unaozikoloni ardhi za Palestina.
Habari ID: 3474978    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/26

Sayyid Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon Sayyid Hassan Nasrallah amesema hali ya ndani ya utawala ghasibu wa Israel u na matukio ya kimataifa yote kwa pamoja yanaashiria kuangamia utawala huo katili.
Habari ID: 3474968    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/24

TEHRAN (IQNA)-Kampuni moja ya mawakili yenye makao yake makuu London imetuma barua rasmi ya malalamiko kwa Facebook kuhusu misimamo yake dhidi ya Wapalestina.
Habari ID: 3474964    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/23

TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Mambo ya Nje wa Afrika Kusini amesisitiza kuwa, kuna haja ya kuchukuliwa hatua ya moja kwa moja dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel, kutokana na jinai na mienendo yake ya ubaguzi wa rangi wa apathaidi.
Habari ID: 3474948    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/19

TEHRAN (IQNA)- Rais Abdelmadjid Tebboune wa Algeria amesema utawala wa Kizayuni wa Israel ndio chanzo cha kuvurugika uhusiano wa nchi yake na Morocco.
Habari ID: 3474939    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/17

TEHRAN (IQNA)- Waandamanaji wenye hasira nchini Bahrain wameteketeza moto bendera za utawala wa Kizayuni wa Israel kulaani safari ya siku mbili ya waziri mkuu wa utawala haramu wa Israel Naftali Bennet katika nchi hiyo ndogo ya Ghuba ya Uajemi.
Habari ID: 3474936    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/16

TEHRAN (IQNA)- Mwanasheria mkuu wa zamani wa utawala wa Kizayuni wa Israel aumeutaja utawala huo kuwa ni "utawala wa kibaguzi au apathaidi".
Habari ID: 3474922    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/12

Ismail Haniya
TEHRAN (IQNA)- Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema mrengo wa muqawama au mapambano utalipiza kisasi cha damu za vijana watatu wa Kipalestina waliouawa shahidi hivi karibuni na jeshi katili la utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3474916    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/11

TEHRAN (IQNA)- Baraza Kuu la Harakati ya Ukombozi wa Palestina (PLO) imetangaza kusimamisha utambuzi wa utawala wa Kizayuni wa Israel na ushirikiano wa kiusalama na utawala huo. Bunge Kuu la Palestina pia limetangaza kuwa, limesimamisha uratibu wowote wa kiusalama na utawala wa Kizayuni kwa njia mbalimbali.
Habari ID: 3474912    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/10

TEHRAN (IQNA)- Harakati za muqawama wa Palestina za Hamas na Jihad al Islami zimeushukuru Umoja wa Afrika (AU) kwa kuutimua utawala wa Kizayuni wa Israel kwenye umoja huo na kusema kuwa, hatua hiyo ni pigo kwa zile nchi zinazotangaza uhusiano wa kawaida na utawala huo katili.
Habari ID: 3474902    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/07

TEHRAN (IQNA)- Viongozi na makundi ya ukombozi wa Palestina wameutaka Umoja wa Afrika (AU) kufikiria upya uamuzi wa mwaka jana wa kuipa Israel hadhi ya kuwa mwangalizi katika umoja huo.
Habari ID: 3474894    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/05