iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA)- Wanafunzi nchini Jordan wamekataa msaada wa masomo wa chuo kikuu kimoja cha Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) baada ya kubainika kuwa msaada huo unatolewa kwa ushirikiano na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3474573    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/18

TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Mambo ya Ndani wa Uturuki amesema wanandoa wawili raia wa utawala haramu wa Israel waliokamatwa nchini humo wiki iliyopita walikuwa wanatekeleza ujasusi wa kijeshi na kisiasa.
Habari ID: 3474572    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/18

TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imeipongeza Algeria kwa kupinga uanzishwaji uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3474549    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/13

TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amepongeza hatua ya hivi karibuni ya Algeria kupinga utawala haramu wa Israel kupewa hadhi ya mwanachama mwangalizi katika Umoja wa Afrika.
Habari ID: 3474548    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/12

TEHRAN (IQNA)- Kamati ya Nne ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa jana Jumanne ilipasisha maazimio sita dhidi ya utawala haramu wa Israel licha ya upinzani mkali wa wawakilishi wa Marekani, Canada na Israel.
Habari ID: 3474537    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/10

TEHRAN (IQNA)- Ujumbe wa utawala wa Kizayuni wa Israel unaripotiwa kuitembelea Sudan kwa siri na kificho, muda mfupi baada ya kujiri mapinduzi ya kijeshi yaliyofanyika Oktoba 25 mwaka huu katika nchi hiyo ya Kiarabu.
Habari ID: 3474510    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/03

TEHRAN (IQNA)- Walowezi za Kizayuni wameendeleza hujuma zao dhidi ya msikiti wa Al Aqsa katika mji mtakatifu wa Quds (Jerusalem).
Habari ID: 3474499    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/01

TEHRAN (IQNA) Kwa mara nyingine, Utawala wa Kizayuni wa Israel unawazuia Waislamu Wapalestina kuingia Msikiti wa Nabii Ibrahim AS katika mji wa Al Khalil (Hebron) ulio katika eneo Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan, linalokaliwa kabavu na utawala huo ghasibu.
Habari ID: 3474497    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/31

TEHRAN (IQNA)- Sherehe kubwa imefanyika Jumatano usiku katika Ukanda wa Ghaza huko Palestina kuwaenzi wasichana na wavulana 1,000 ambao wamehifadhi Qur'ani hivi karibuni.
Habari ID: 3474489    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/29

TEHRAN (IQNA)- Umoja wa Ulaya (EU) umekariri wito wake kwa utawala haramu wa Israel usitishe mpango wake wa kujenga vitongoji zaidi vya walowezi wa Kizayuni katika mji wa Quds (Jerusalem).
Habari ID: 3474486    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/29

TEHRAN (IQNA)- Makundi ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina yameuonya utawala haramu wa Kizayuni wa Israel kuhusiana na kuendelea uvamizi na hujuma dhidi ya maeneo matakatifu ya Kiiislamu huko Palestina hususan maziara makaburi ya al-Yusufiya huko Quds (Jerusalem) inayokaliwa kwa mabavu na utawala huo.
Habari ID: 3474480    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/27

TEHRAN (IQNA)- Kwa mara ya kwanza, ndege ya moja kwa moja kutoka Ufalme wa Saudi Arabia inatazamiwa kutua leo Jumatatu usiku katika katika utawala bandia wa Israel.
Habari ID: 3474469    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/25

TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imepongeza tamko la Waziri wa Mambo ya Nje wa Malaysia ambaye amesema nchi yake katu haitaanzisha uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3474451    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/21

TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Algeria ameelezwa kusikitishwa kwake na hatua ya baadhi ya nchi ya kung'ang'ania utawala haramu wa Israel upatiwe hadhi ya mwanachama mwangalizi katika Umoja wa Afrika.
Habari ID: 3474431    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/16

TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Mambo ya Nje ya Sudan imetangaza kuwa nchi hiyo inapinga utawala wa Kizayuni wa Israel kupewa hadhi ya mwanachama mwangalizi katika Umoja wa Afrika.
Habari ID: 3474424    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/15

TEHRAN (IQNA)- Jumuiya ya Ushirikiano wa Nchi za Kiislamu (OIC) imelaani vikali kitendo cha utawala haramu wa Israel cha kubomoa maziara au makaburi ya Waislamu katika mji wa Quds, huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.
Habari ID: 3474417    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/13

TEHRAN (IQNA) Harakati ya Jihad Islami ya kupigania ukombozi wa Palestina imefanya maadhimisho kwa mnasaba wa kutumia mwaka wa 34 tangu kuasisiwa kwake.
Habari ID: 3474402    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/09

TEHRAN (IQNA) Mwakilishi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kikao cha Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa mjini Geneva Uswisi ameutaka Umoja wa Mataifa kuchukua hatua za haraka za kuhitimisha jinai za utawala haramu wa Israel dhidi ya Palestina.
Habari ID: 3474376    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/03

TEHRAN (IQNA)- Harakati kadhaa za kupigania ukombozi wa Palestina zimelaani vikali hatua ya ufalme wa Bahrain kumpokea waziri wa mambo ya nje wa utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3474372    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/02

TEHRAN (IQNA)- Watu wa Bahrain wamefanya maandamano makubwa katika miji kadhaa ya nchi hiyo kupinga waziri wa mambo ya nje wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel kukanyaga ardhi ya nchi yao na kuanzishwa uhusiano wa kawaida na Tel Aviv.
Habari ID: 3474366    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/01