TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Mawasiliano wa utawala haramuIsrael, Yoaz Hendel, amekiri kuwa hitilafu iliyoathiri tovuti kadhaa rasmi ni matokeo ya shambulio la mtandao lililofanywa na wadukuzi, ambalo lililenga tovuti za utawala huo wa Kizayuni.
Habari ID: 3475044 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/15
TEHRAN (IQNA)- Harakati za mapambano ya Kiislamu ambazo zinapignaia ukombozi wa Palestina zimelaani vikali safari ya rais wa utawala haramu wa Israel Isaac Herzog nchini Uturuki wakati huu ambao Israel imeshadidisha hujuma dhidi ya Wapalestina.
Habari ID: 3475026 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/10
Siku ya Wanawake Duniani
TEHRAN (IQNA)- Leo tarehe 8 Machi inatambuliwa kuwa Siku ya Kimataifa ya Mwanamke. Pamoja na kuwa wanawake maeneo mengi duniani wanasherehekea siku hii kwa shangwe, huko Palestina hali ni tofauti kwani wanawake wanuawa kiholela na jeshi la utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3475021 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/08
TEHRAN (IQNA)- Harakati ya mateka wa Kipalestina katika magereza ya utawala dhalimu wa Kizayuni wa Israel imetangaza kuanza harakati ya Intifadha au mwamako wa wafungwa wa Kipalestina na kutoa wito wa kuungwa mkono harakati hiyo.
Habari ID: 3474986 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/28
TEHRAN (IQNA)- Harakati za Kiislamu za kupigania ukombozi wa Palestina, Hamas na Jihad Islami zimesisitiza ulazima wa kuafikiana na Harakati ya Ukombozi wa Palestina (PLO) kuhusu mpango wa pamoja wa kitaifa wa kukabiliana na utawala wa Kizayuni wa Israel unaozikoloni ardhi za Palestina.
Habari ID: 3474978 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/26
Sayyid Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon Sayyid Hassan Nasrallah amesema hali ya ndani ya utawala ghasibu wa Israel u na matukio ya kimataifa yote kwa pamoja yanaashiria kuangamia utawala huo katili.
Habari ID: 3474968 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/24
TEHRAN (IQNA)-Kampuni moja ya mawakili yenye makao yake makuu London imetuma barua rasmi ya malalamiko kwa Facebook kuhusu misimamo yake dhidi ya Wapalestina.
Habari ID: 3474964 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/23
TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Mambo ya Nje wa Afrika Kusini amesisitiza kuwa, kuna haja ya kuchukuliwa hatua ya moja kwa moja dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel, kutokana na jinai na mienendo yake ya ubaguzi wa rangi wa apathaidi.
Habari ID: 3474948 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/19
TEHRAN (IQNA)- Rais Abdelmadjid Tebboune wa Algeria amesema utawala wa Kizayuni wa Israel ndio chanzo cha kuvurugika uhusiano wa nchi yake na Morocco.
Habari ID: 3474939 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/17
TEHRAN (IQNA)- Waandamanaji wenye hasira nchini Bahrain wameteketeza moto bendera za utawala wa Kizayuni wa Israel kulaani safari ya siku mbili ya waziri mkuu wa utawala haramu wa Israel Naftali Bennet katika nchi hiyo ndogo ya Ghuba ya Uajemi.
Habari ID: 3474936 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/16
TEHRAN (IQNA)- Mwanasheria mkuu wa zamani wa utawala wa Kizayuni wa Israel aumeutaja utawala huo kuwa ni "utawala wa kibaguzi au apathaidi".
Habari ID: 3474922 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/12
Ismail Haniya
TEHRAN (IQNA)- Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema mrengo wa muqawama au mapambano utalipiza kisasi cha damu za vijana watatu wa Kipalestina waliouawa shahidi hivi karibuni na jeshi katili la utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3474916 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/11
TEHRAN (IQNA)- Baraza Kuu la Harakati ya Ukombozi wa Palestina (PLO) imetangaza kusimamisha utambuzi wa utawala wa Kizayuni wa Israel na ushirikiano wa kiusalama na utawala huo. Bunge Kuu la Palestina pia limetangaza kuwa, limesimamisha uratibu wowote wa kiusalama na utawala wa Kizayuni kwa njia mbalimbali.
Habari ID: 3474912 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/10
TEHRAN (IQNA)- Harakati za muqawama wa Palestina za Hamas na Jihad al Islami zimeushukuru Umoja wa Afrika (AU) kwa kuutimua utawala wa Kizayuni wa Israel kwenye umoja huo na kusema kuwa, hatua hiyo ni pigo kwa zile nchi zinazotangaza uhusiano wa kawaida na utawala huo katili.
Habari ID: 3474902 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/07
TEHRAN (IQNA)- Viongozi na makundi ya ukombozi wa Palestina wameutaka Umoja wa Afrika (AU) kufikiria upya uamuzi wa mwaka jana wa kuipa Israel hadhi ya kuwa mwangalizi katika umoja huo.
Habari ID: 3474894 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/05
TEHRAN (IQNA)- Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeutuhumu utawala wa Kizayuni wa Israel kuwa ni utawala wa baguzi wa rangi wa apartheid. Amnesty Internation inakuwa taasisi ya karibuni zaidi ya kimataifa ya kutetea haki za binadamu kuitangaza Israel kuwa ni utawala wa apartheid.
Habari ID: 3474881 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/02
Katika safari ya rais wa Israel nchini UAE
TEHRAN (IQNA)- Rais Isaac Herzog wa utawala haramu wa Israel jana alifika Abu Dhabi mji mkuu wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) ambapo alifanya mazungumzo mtawala wa Abu Dhabi Mohammad bin Zayed.
Habari ID: 3474872 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/31
TEHRAN (IQNA)- Askari 100 wa utawala wa Kizayuni wa Israel wameuvamia na kuuvunjia heshima Msikiti wa Nabii Ibrahim AS katika mji wa Al Khalil (Hebron) katika eneo la Palestina ambalo unalikalia kwa mabavu la Ukingo wa Magharibi.
Habari ID: 3474847 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/24
TEHRAN (IQNA)- Mchezaji maarufu wa tennis kutoka Kuwait amepongezwa kwa hatua yake ya kujiondoa katika shindano moja la kimataifa baada ya kubainika kuwa alitakuwa ashindane na raia wa utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3474836 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/22
TEHRAN (IQNA)- Sheikh Ahmad El Tayyib, Sheikh Mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Al Azhar nchini Misri amefanya mazungumzo ya simu na Mfalme Abdallah wa Pili wa Jordan.
Habari ID: 3474829 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/20