israel - Ukurasa 26

IQNA

TEHRAN (IQNA)- Mwanasheria mkuu wa zamani wa utawala wa Kizayuni wa Israel aumeutaja utawala huo kuwa ni "utawala wa kibaguzi au apathaidi".
Habari ID: 3474922    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/12

Ismail Haniya
TEHRAN (IQNA)- Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema mrengo wa muqawama au mapambano utalipiza kisasi cha damu za vijana watatu wa Kipalestina waliouawa shahidi hivi karibuni na jeshi katili la utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3474916    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/11

TEHRAN (IQNA)- Baraza Kuu la Harakati ya Ukombozi wa Palestina (PLO) imetangaza kusimamisha utambuzi wa utawala wa Kizayuni wa Israel na ushirikiano wa kiusalama na utawala huo. Bunge Kuu la Palestina pia limetangaza kuwa, limesimamisha uratibu wowote wa kiusalama na utawala wa Kizayuni kwa njia mbalimbali.
Habari ID: 3474912    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/10

TEHRAN (IQNA)- Harakati za muqawama wa Palestina za Hamas na Jihad al Islami zimeushukuru Umoja wa Afrika (AU) kwa kuutimua utawala wa Kizayuni wa Israel kwenye umoja huo na kusema kuwa, hatua hiyo ni pigo kwa zile nchi zinazotangaza uhusiano wa kawaida na utawala huo katili.
Habari ID: 3474902    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/07

TEHRAN (IQNA)- Viongozi na makundi ya ukombozi wa Palestina wameutaka Umoja wa Afrika (AU) kufikiria upya uamuzi wa mwaka jana wa kuipa Israel hadhi ya kuwa mwangalizi katika umoja huo.
Habari ID: 3474894    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/05

TEHRAN (IQNA)- Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeutuhumu utawala wa Kizayuni wa Israel kuwa ni utawala wa baguzi wa rangi wa apartheid. Amnesty Internation inakuwa taasisi ya karibuni zaidi ya kimataifa ya kutetea haki za binadamu kuitangaza Israel kuwa ni utawala wa apartheid.
Habari ID: 3474881    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/02

Katika safari ya rais wa Israel nchini UAE
TEHRAN (IQNA)- Rais Isaac Herzog wa utawala haramu wa Israel jana alifika Abu Dhabi mji mkuu wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) ambapo alifanya mazungumzo mtawala wa Abu Dhabi Mohammad bin Zayed.
Habari ID: 3474872    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/31

TEHRAN (IQNA)- Askari 100 wa utawala wa Kizayuni wa Israel wameuvamia na kuuvunjia heshima Msikiti wa Nabii Ibrahim AS katika mji wa Al Khalil (Hebron) katika eneo la Palestina ambalo unalikalia kwa mabavu la Ukingo wa Magharibi.
Habari ID: 3474847    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/24

TEHRAN (IQNA)- Mchezaji maarufu wa tennis kutoka Kuwait amepongezwa kwa hatua yake ya kujiondoa katika shindano moja la kimataifa baada ya kubainika kuwa alitakuwa ashindane na raia wa utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3474836    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/22

TEHRAN (IQNA)- Sheikh Ahmad El Tayyib, Sheikh Mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Al Azhar nchini Misri amefanya mazungumzo ya simu na Mfalme Abdallah wa Pili wa Jordan.
Habari ID: 3474829    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/20

TEHRAN (IQNA)- Mashirika ya usalama ya harakati za kupigania ukombozi wa Palestina katika Ukanda wa Gaza yamefanikiwa kumnasa mmoja wa wahusika wa mauaji ya kigaidi ya msomi na mwanasayansi wa Kipalestina aliyeuliwa huko Malaysia.
Habari ID: 3474795    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/11

TEHRAN (IQNA)- Utawala wa Kizayuni wa Israel umebomoa kituo cha afya na majengo mengine kadhaa katika mji wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na utawala huo.
Habari ID: 3474766    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/04

TEHRAN (IQNA)- Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amekosolewa vikali kwa kukutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Vita wa utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3474739    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/29

TEHRAN (IQNA)- Waliotenda jina katika Vita vya Furqan (vita vya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Ghaza mwaka 2008-2009) hawataruhusiwa kukwepa mkono wa sheria, imesisitiza Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas).
Habari ID: 3474731    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/27

TEHRAN (IQNA)- Wananchi wa Morocco wameandamana katika miji mbalimbali ya nchi hiyo na kutangaza tena kupinga nchi yao kuwa na uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel unaotenda jinai kila leo dhidi ya wananchi madhulumu wa Palestina.
Habari ID: 3474716    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/24

TEHRAN (IQNA)- Askari wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamewakamata watoto watatu waliokuwa wanapeperusha bendera ya Palestina katika Msikiti wa Al Aqsa mjini Quds(Jerusalem) Mashariki unaokaliwa kwa mabavu na utawala huo.
Habari ID: 3474703    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/21

TEHRAN (IQNA)- Kiongozi mmoja mwandamizi wa Harakati ya mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesisitiza kuwa, sasa harakati hiyo ya Kiislamu ina nguvu kubwa za kijeshi ambazo zinaiwezesha kupiga popote katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu za Palestina ambazo zimepachikwa jina bandia la Israel.
Habari ID: 3474686    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/17

TEHRAN (IQNA)- Umoja wa Mataifa mapema leo Ijumaa umepasisha azimio linalolaani na kubatilisha hatua zote za Israel katika eneo la Syria la Golan linalokaliwa kwa mabavu na utawala huo na kuutaka utawala wa Kizayuni ukomeshe hatua zote zinazokiuka sheria za kimataifa.
Habari ID: 3474660    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/10

TEHRAN (IQNA) - Harakati ya Mapambano ya Palestina (HAMAS) imepongeza na kuunga mkono uamuzi wa serikali ya Kuwait wa kuzipiga marufuku meli za kibiashara zinazobeba bidhaa za utawala wa Kizayuni wa Israel kutia nanga katika bandari za nchi hiyo.
Habari ID: 3474643    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/05

TEHRAN (IQNA)- Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kwa mara nyingine tena limetaka kuondoka kikamilifu utawala ghasibu wa Israel katika Miinuko ya Golan inayokaliwa kwa mabavu na utawala huo.
Habari ID: 3474630    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/02