TEHRAN (IQNA)- Askari wa utawala dhalimu wa Israel wamemuua shahidi kijana wa Palestina kwa kumpiga risasi katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
Habari ID: 3474246 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/01
TEHRAN (IQNA) – Tangu mwanzo wa mwaka huu wa 2021, Utawala wa Kizayuni wa Israeli umewakamata Wapalestina wasiopungua 1,900, pamoja na idadi kubwa ya watoto, kote mji wa al-Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na utawala huo.
Habari ID: 3474241 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/30
TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imesisitiza udharura wa kuendeleza mapambano dhidi ya utawala ghasibu wa Israel kwa kutumia suhula na nyenzo zote.
Habari ID: 3474228 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/26
TEHRAN (IQNA)-Kumekuwa na ongezeko la asilimia 60 ya idadi ya walowezi wa Kizayuni wanaouhujumi uwanja wa Msikiti wa Al-Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem), unaokaliwa kwa mabavu katika kipindi cha miezi mitatu iliyopita.
Habari ID: 3474225 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/25
TEHRAN (IQNA)- Jumamosi usiku, ndege za kivita za utawala Israel zilishambulia kwa mabomu maeneo kadhaa ya Ukanda wa Gaza ambapo Wapalestina wapatao 41 wamejeruhiwa, wawili wao wakiwa na majeraha makali.
Habari ID: 3474215 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/22
TEHRAN (INQA)- Algeria inasema misitu nchini humo imeteketezwa moto hivi karibuni na makundi mawili ambavyo ni ya "kigaidi", na moja ya kati ya makundi hayo linaungwa mkono na Morocco na utawala wa Kizayuni Israel.
Habari ID: 3474208 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/20
TEHRAN (IQNA)- Askari wa utawala haramu wa Israel wamewaua shahidi vijana wanne Wapalestina kwa kuwapiga risasi katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
Habari ID: 3474195 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/16
TEHRAN (IQNA)- Katika safari yake ya kwanza nchini Morocco tangu nchi hiyo ya Kiafrika ianzishe uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa utawala huo ghasibu amefungua rasmi ofisi za ubalozi wa utawala huo mjini Rabat.
Habari ID: 3474185 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/13
TEHRAN (IQNA)- Msemaji wa Harakati ya Jihad al Islami ya Palestina amelaani vikali safari ya Waziri wa Mambo ya Nje wa utawala haramu wa Israel nchini Morocco na kubainisha kuwa, ziara hiyo haikubaliki.
Habari ID: 3474182 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/12
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema harakati hiyo ya muqawama haitaki vita, lakini pia haigopi vita kwa kuwa ina uhakika wa kuibuka mshindi iwapo vitaibuka.
Habari ID: 3474170 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/08
TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imetoa taarifa na kusema wapiganaji wake wa kituo cha Shahidi Ali Muhsin Kamel na Shahidi Muhammad Qassim Tahal wamejibu mashambulizi ya karibuni ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya ardhi ya Lebanon kwa kuvurumisha maroketi kadhaa dhidi ya vituo vya kijeshi vya utawala huo.
Habari ID: 3474165 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/06
TEHRAN (IQNA) - Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel na walowezi wa Kizayuni walikiuka haki za Wapalestina katika zaidi ya mara 3,800 mwezi Julai katika katika maeneo yanayokaliwa kwa mabavu ya Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na mjini al-Quds (Jerusalem).
Habari ID: 3474162 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/05
TEHRAN (IQNA)- Nchi 14 za Afrika zimetangaza msimamo imara wa kupinga utawala wa haramu wa Israel kuwa mwanachama mtazamaji katika Umoja wa Afrika
Habari ID: 3474149 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/01
TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imesiistiza ulazima wa kuuwajibisha utawala haramu wa Israeli kwa uhalifu wake dhidi ya Wapalestina.
Habari ID: 3474141 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/30
TEHRAN (IQNA)- Nchi kadhaa za Afrika zinaendelea kupinga hatua ya utawala haramu wa Israel kuidhinishwa kuwa ‘mwanachama mwangalizi’ wa Umoja wa Afrika.
Habari ID: 3474140 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/30
TEHRAN (IQNA)- Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limesema mashambulio yaliyofanywa na jeshi la utawala haramu wa Kizayuni wa Israel katika vita vya siku 11 dhidi ya Ukanda wa Ghaza yalifikia kiwango cha jinai za kivita.
Habari ID: 3474134 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/28
TEHRAN (IQNA) - Mwanamichezo wa mchezo wa Judo kutoka Sudan Mohamed Abdalrasool amekuwa mwamichezo wa pili kukataa kucheza na Mu israel i Tohar Butbul katika michezo ya Olimpiki 2020 ya Tokyo.
Habari ID: 3474130 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/26
TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imelaani vikali uamuzi wa Umoja wa Afrika kuupa utawala haramu wa Israel hadi ya ‘mwangalizi’ katika taasisi hiyo ya nchi za Afrika.’
Habari ID: 3474122 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/24
TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imesema, shambulio la karibuni la utawala haramu wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Syria ni uchokozi na uvamizi wa waziwazi dhidi ya ardhi ya nchi hiyo na ardhi ya Lebanon.
Habari ID: 3474121 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/23
TEHRAN (IQNA)- Mwanamichezo wa mchezo wa Judo wa Algeria ameamua kujitoa kwenye michezo ya Olimpiki ya 2020 Tokyo inayofunguliwa rasmi leo katika mji mkuu huo wa Japan, ikiwa ni harakati ya kutangaza mshikamano na Palestina na kupinga kuanzishwa uhusiano na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3474120 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/23