TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) Ismail Haniya amesema rais Joe Biden wa Marekani na Naftali Bennet waziri mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel hawaafiki utatutzi wowote wa kisiasa wa kadhia ya Palestina.
Habari ID: 3474365 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/30
TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS kwa mara nyingine tena imeishukuru serikali, makundi ya kisiasa, wazee wa koo na viongozi wa makabila ya Iraq, kwa msimamo wao wa kupinga kuanzishwa mapatano na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3474355 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/28
TEHRAN (IQNA)- Mkutano mkuu wa chama cha Leba nchini Uingereza umepigia kura na kupitisha hoja ya kuitambua Israel kuwa ni utawala unaotenda jinai ya ubaguzi wa Apathaidi, na kukifanya kuwa chama cha kwanza kikubwa cha siasa barani Ulaya kuchukua msimamo huo dhidi ya utawala haramu wa Kizayuni.
Habari ID: 3474349 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/27
TEHRAN (IQNA)- Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, hii leo mapambano na muqawama ni upanga na ngao ya wananchi wa Palestina na kwamba, taifa la Palestina limeazimia na kukusanya nguvu zake kwa ajili ya ukombozi wa ardhi yake.
Habari ID: 3474345 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/26
TEHRAN (IQNA)- Wanajeshi wa utawala dhalimu wa Israel wamemuua Mpalestina aliyekuwa katika maandamani ya amani ya kupinda ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
Habari ID: 3474342 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/25
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Msikiti wa al-Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) amesisitiza kuwa, hatua ya Wazayuni ya kung'ang'a kuingia kinyume cha sheria katika Msikiti wa al-Aqsa inaweka wazi njama zao za kutaka kutwisha uhakika mpya kuhusiana na kibla hicho cha kwanza cha Waislamu.
Habari ID: 3474335 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/24
TEHRAN (IQNA)- Maandamano yanafanyika maeneo mbali mbali duniani kulitaka shirika la Ujerumani la mavazi la michezo la Puma kusitisha uungaji mkono kwa utawala wa kibaguzi wa Israel.
Habari ID: 3474334 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/24
Ripoti
TEHRAN (IQNA0- Mateka 6 wa Kipalestina wametoa pigo kali kwa hadhi ya utawala wa Kizayuni wa Israel kwa hatua yao ya kuchimba njia ya chini ya ardhi iliyopewa jina la "Handaki ya Uhuru".
Habari ID: 3474323 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/21
TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) kwa mara nyingine imelaani vikali mkataba wa kuanzishwa uhusiano wa kawaida baina ya madola ya Kiarabu na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3474315 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/19
Kiongozi Muadhamu katika mkutano na wanamichezo wa Olimpiki na Paralimpiki
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amesema, kutotambuliwa na kususiwa utawala ghasibu wa Israel katika michezo ni jambo muhimu sana.
Habari ID: 3474308 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/18
TEHRAN (IQNA)- Umepita mwaka mmoja tangu kulipotiwa saini makubaliano baina ya utawala haramu wa Israel na nchi mbili za Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) na Bahrain, ambapo mataifa hayo ya Kiarabu yaliafiki kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala huo ghasibu.
Habari ID: 3474304 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/17
TEHRAN (IQNA)- Tawi la chama cha pili kwa ukubwa cha wafanyikazi wakubwa nchini Marekani, Shirikisho la Walimu la Marekani (AFT), limelaani utawala ghasibu wa kijeshi wa Israeli na sera zake "ubaguzi wa rangi."
Habari ID: 3474301 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/16
TEHRAN (IQNA)- Mwanamichezo wa mchezo wa Judo wa Algeria, Fethi Nourine (Fat-hi Nurin), ambaye alifadhilisha kujitoa kwenye michezo ya Olimpiki ya Tokyo kuliko kucheza na mwakilishi wa utawala haramu wa Israel, bado anaendelea kugonga vichwa vya habari.
Habari ID: 3474278 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/09
TEHRAN (IQNA)- Mateka Wapalestina wameteketeza moto jela mbili za utawala wa Kizayuni wa Israel wanakoshikiliwa kulalamikia hali mbaya katika vizuizi hivyo vya kuogofya.
Habari ID: 3474276 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/09
TEHRAN (IQNA)- Makundi ya mapambano ya ukombozi wa Palestina yametahadharisha kwamba, hali ya Ukanda wa Gaza inakaribia kuripuka na yameupa utawala wa Israel siku 15 kuruhusu bidhaa muhimu kwa ajili ya raia wa Palestina katika eneo hilo.
Habari ID: 3474274 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/08
TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imepongeza kitendo cha kishujaa cha Wapalestina sita ambapo walitoroka jela lenye ulinzi mkali la utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3474270 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/07
TEHRAN (IQNA)- Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina ,kwa kifupi Hamas, katika mji wa Quds Tukufu ametoa mwito kwa Wapalestina kujitokeza kwa wingi katika Msikiti wa al-Aqsa ili kuuhami na kuulinda dhidi ya uvamizi wa Walowezi wa Kizayuni, wakati wa sherehe na matambiko yao.
Habari ID: 3474263 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/06
Kiongozi wa Ansarullah
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema Saudi Arabia, utawala wa Kizayuni wa Israel na Marekani ziko kwenye muungano mmoja.
Habari ID: 3474252 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/03
TEHRAN (IQNA) - Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, imesema ufalme wa Bahrain kweli umeonyesha kuhusika kwake katika jinai zinazofanywa na utawala wa haramu wa Israeli dhidi ya Wapalestina kwa kumteua balozi wake wa kwanza kuhudumu katika utawala wa Israel.
Habari ID: 3474250 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/02
TEHRAN (IQNA) - Serikali ya Mauritania imekanusha madai ya kuwasiliana na utawala wa Kizayuni wa Israel kwa ajili ya kuanzisha uhusiano wa kidiplomasia.
Habari ID: 3474249 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/02