hilali

IQNA

IQNA-Nchi tatu za Uturuki, Singapore na Oman zimetangaza rasmi kuwa siku ya Alhamisi, tarehe 19 Februari, ndiyo siku ya kwanza ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3481931    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/13

IQNA – Wakati mamilioni ya Waislamu duniani kote wakisubiri kwa hamu kuwasili kwa mwezi mtukufu wa Ramadhani na maandalizi yakiendelea, hesabu za kiastronomia zinaonesha kuwa mwisho wa mwezi wa Shaaban 1447 Hijria kiastronomia utasadifiana na Jumatano, Februari 18.
Habari ID: 3481914    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/10

IQNA — Kwa mujibu wa wataalamu wa elimu ya nyota, mwezi mtukufu wa Ramadhani mwaka 2026 kwa hesabu za kiastronomia unatarajiwa kuanza Alhamisi, Februari 19, katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), baada ya kuthibitika kuwa hilali haitoweza kuonekana mapema kuashiria mwanzo wa mwezi huo.
Habari ID: 3481886    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/03

Kituo cha Kimataifa cha Astronomia
TEHRAN (IQNA) – Kituo cha Kimataifa cha Astronomia (IAC) kimesema Siku Kuu ya Idul Fitr, ambayo inaadhimisha mwisho wa mwezi mtukufu wa Ramadhani, huenda ikaangukia Jumamosi.
Habari ID: 3476880    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/17

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) – Watu wawili walirusha kitu kinachofanana na bomu la molotov kwenye nembo kubwa ya hilali nje ya Msikiti wa Fatima al-Zahra huko Long Island, New York, Marekani siku chache kabla ya sherehe ya Kiislamu ya Idul Adha.
Habari ID: 3475498    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/13

TEHRAN (IQNA) – Mwanachama wa Kamati ya Hilali ya Mwezi nchini Iran amesema hilali ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani haitazamiwi kuonekana Alhamisi Aprili 23.
Habari ID: 3472695    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/23

TEHRAN (IQNA)-Wizara ya Wakfu na Masuala ya Kidini Oman imetangza kuwa Mei 17 itakuwa siku ya kwanza ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani mwaka huu.
Habari ID: 3471500    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/07

Rais Hassan Rouhani
Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, hujuma ya kinyama ya Saudi Arabia katika jirani ya Yemen ni kosa la kistratejia.
Habari ID: 3277848    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/10