IQNA – Washindi wa Mashindano ya Nne ya Kimataifa ya Qur’ani ya Balkan walitangazwa na kutunukiwa katika hafla ya kufunga mashindano hayo.
Habari ID: 3482560 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/08/01
TEHRAN (IQNA) – Adhana imesikika kwa mara ya kwanza katika msikiti mmoja mkongwe nchini kaskazini mwa Macedonia kwa mara ya kwanza baada ya miaka 107.
Habari ID: 3472251 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/02