Msomaji Qur'ani
IQNA - Mahmoud Shahat Anwar, qari maarufu wa Misri ambaye ni mtoto wa marehemu msomaji wa Qur'ani Sheikh Shahat Muhammad Anwar, alimuelezea baba yake kama mfano wake wa kwanza wa kuigwa na chanzo cha mwongozo.
Habari ID: 3478192 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/13
TEHRAN (IQNA)- Qarii mashuhuri wa Misri Mahmoud Shahat Anwar hivi karibuni alisoma aya za Qur'ani akiiga mtindo wa marehemu baba yake.
Habari ID: 3474787 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/10
TEHRAN (IQNA)- Qarii Mashuhuri wa Misri Sheikh Mahmoud Shahat hivi karibuni alisoma aya za Qur’ani katika sherehe iliyofanyika kwa mnasaba wa Milad un Nabi au maadhimisha ya kukumbuka kuzaliwa Mtume Muhammad SAW.
Habari ID: 3474466 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/24
TEHRAN (IQNA) - Mahmoud Shahat Anwar, qarii maarufu wa Misri amehudhuria sherehe za kuadhimisha kumbukumbu ya kuzaliwa Bwana Mtume Muhammad SAW maarufu kama Maulidi ambapo na kusoma aya za Qur'ani.
Habari ID: 3473337 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/07
TEHRAN (IQNA) – Qarii maarufu wa Misri Sheikh Mahmoud Shahat Anwar hivi karibuni alisoma aya za Qur'ani akiwa safarini katika jimbo la Dakahlia.
Habari ID: 3473221 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/01
TEHRAN (IQNA) – Hivi karibuni kumesambazwa qiraa yenye mvuto ya Qur'ani Tukufu ya qarii maarufu wa Misri Sheikh Mahmod Shahat Muhammad Anwar.
Habari ID: 3473184 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/19
TEHRAN (IQNA) – Qarii mashuhuri wa Misri, Mahmodu Shahat Anwar hivi karibuni alisoma aya za Qur'ani akiwa safarini katika jimbo la Dakahlia nchini humo.
Habari ID: 3473109 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/27