iqna

IQNA

Shughuli za Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) – Kozi ya kiwango cha juu ya Qur’ani Tukufu imeandaliwa kwa ajili ya wanafunzi wa Afrika wanaosoma sayansi ya Kiislamu katika vyuo vya Kiislamu vya mji mtakatifu wa Najaf, Iraq.
Habari ID: 3476030    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/03

Shughuli za Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Vituo vitano vya kusoma Qur'ani vimeanzishwa katika mji wa Najaf nchini Iraq huku waumini wakijitayarisha kushiriki katika maombolezo kwa mnasaba wa kukumbuka siku ya kuaga dunia Mtume Muhammad (SAW) katika siku zijazo.
Habari ID: 3475829    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/23

Arbaeen ya Imam Hussein AS
TEHRAN (IQNA)- Gavana wa Karbala, Iraq ametangaza kuwa, wafanyaziara kutoka nchi 80 katika maadhimisho ya mwaka huu za Arbaeen mwaka huu wa 1444 Hijria Qamari sawa na 2022 Miladia.
Habari ID: 3475792    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/16

TEHRAN (IQNA) – Afisa wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Najaf nchini Iraq amesema uwanja huo umeandaliwa kupokea zaidi ya safari 200 za ndege kila siku kuanzia siku ya kwanza ya mwezi wa Hijri wa Safar unaotazamiwa kuanza Agosti 29.
Habari ID: 3475632    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/16

TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Kiislamu nchini Iraq Ayatullah Sayyid Ali Sistani amekutana na Papa Francis, Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani ambapo katika mji mtakatifu wa Najaf, Iraq.
Habari ID: 3473707    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/06

TEHRAN (IQNA)- Ujumbe kutoka makao makuu ya Kanisa Katoliki Duniani, Vatican, umetembelea Haram Takatifu ya Imam Ali AS mjini Najaf, Iraq.
Habari ID: 3473645    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/12

TEHRAN (IQNA) - Idadi kubwa ya Wairaki wametembea kwa miguu kutoka mji wa Karbala kuelekea Najaf kwa lengo la kushiriki katika shughuli ya maombolezo na kukumbuka tukio chungu la kuaga dunia Mtume Muhammad SAW.
Habari ID: 3473262    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/15

Khatibu wa Sala ya Ijumaa katika mji wa Najaf, Iraq katika hotuba zake jana amesema kuwa, ‘maeneo mengi ya Iraq yamekomboloewa kutokana na baraka ya fatwa ya Jihad al-Kifai iliyotolewa na Ayatullah Sistani.’
Habari ID: 3313860    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/13