iqna

IQNA

IQNA – Haram Tukufu ya Imam Ali (Alayhis Salaam) huko Najaf, Iraq, kwa sasa inashuhudia wingi mkubwa wa wafanyaziara na waombolezaji kuadhimisha kuingia kwa mwezi wa Muharram, ambao ulianza Ijumaa, tarehe 27 Juni.
Habari ID: 3480871    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/29

IQNA – Mwanazuoni Mwandamizi wa Kiislamu kutoka Iran Ayatullah Abdollah Javadi Amoli amesema Qur'ani na Ahl al-Bayt bado ni nguzo kuu za umoja kati ya Waislamu.
Habari ID: 3480662    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/10

Qur'ani Tukufu
IQNA – Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani yanaendelea katika mji mtakatifu wa Najaf, Iraq, yakishirikisha wanafunzi wa Vyuo Vikuu vya Kiislamu (Hauza) au  seminari kutoka nchi 10 za Kiislamu.
Habari ID: 3480078    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/19

IQNA – Katika kusherehekea siku ya kuzaliwa kwa Imam Ali (AS), mjumuiko wa Qur'ani umefanyika katika Haram au kaburi takatifu la Imam Ali (AS) huko Najaf, Iraq kwa hisani ya kituo cha  Dar al-Quran katika eneo hilo takatifu.
Habari ID: 3480045    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/13

Turathi za Kiislamu
IQNA – Maonyesho ya kimataifa katika Haram ya Imam Ali (AS) huko Najaf yanaonyesha kazi za sanaa zaidi ya 300 kwa ajili ya kusherehekea kuzaliwa kwa imam huyo. 
Habari ID: 3480042    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/12

Harakati za Qur'ani
IQNA – Idara ya Mfawidhi wa Haram Takatifu ya Hadhrat Abbas (AS) inaandaa vikao vya Qur'ani katika mji mtakatifu wa Najaf, Iraq.
Habari ID: 3479687    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/02

Jinai
IQNA - Nyumba ya Hujjatul Islam Sayyid Sadreddin Al-Qabanchi, Imamu wa Swala ya Ijumaa ya mji mtakatifu wa Najaf nchini Iraq, imeshambuliwa leo.
Habari ID: 3479670    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/30

Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Toleo la tano la Mashindano ya Qur’ani yaliyofanyika katika mji mtakatifu wa Najaf, Iraq, lilifikia tamati katika sherehe zilizofanyika wikendi.
Habari ID: 3479416    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/11

Najaf
IQNA – Idara ya Mfawidhi wa Haram ya Imam Ali (AS) huko Najaf, Iraq, iliweka idadi ya wafanyaziara waliozuru kaburi hilo tukufu katika siku ya 28 ya mwezi wa Hijri wa Safar kuwa karibu milioni 5.
Habari ID: 3479377    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/03

Harakati za Qur'ani
IQNA - Vituo vinne vya Qur'ani vimewekwa kwenye barabara zinazoelekea mji mtakatifu wa Najaf, Iraq.
Habari ID: 3479369    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/02

Maombolezo
IQNA – Bendera ya maombolezo ilipandishwa kwenye kaburi au Haram Takatifu ya Imam Ali (AS) huko Najaf, Iraq, kwa ajili ya kuadhimisha kumbukumbu ya kifo cha Mtume wa mwisho wa Mwenyezi Mungu, Mtume Muhammad (SAW) na kumbukumbu ya kuuawa shahidi Imam Hassan Mujtaba (AS). .
Habari ID: 3479368    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/02

Imam Ali (AS) Najaf, Iraq,
Siku ya Ashura inapokaribia, ua wa haram tukufu ya Imam Ali (AS) huko Najaf, Iraq, ulifunikwa na zulia jekundu.
Habari ID: 3479122    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/14

Karbala ya 1445
Kamati ya kitamaduni na kielimu ya Makao Makuu ya Arobaini ya Iran imesema makundi ya makari wanaume na wanawake, wasomaji Tarteel na makundi ya Tawasheeh yanaweza kujiandikisha kuwa sehemu ya msafara wa Qur'ani wa Arobaini wa mwaka huu.
Habari ID: 3479042    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/01

Maombolezo
IQNA - Zaidi ya waumini milioni moja walikusanyika kwenye HaramTukufu ya Imam Ali (AS) huko Najaf, Iraq katika maombolezo yaliyofanyika wakati wa kumbukumbu  ya kifo chake cha kishahidi na kushika sambamba na ibada za Usiku wa Laylatul Qadr.
Habari ID: 3478611    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/01

Arbaeen 1445
BAGHDAD (IQNA) – Wasimamizi wa Haram Takatifu Imam Ali (AS) huko Najaf na Hadhrat Abbas (AS) huko Karbala, Iraq wametangaza mipango ya kuwahudumia wanaozuru maeneo mawili matakatifu wakati wa msimu wa Arbaeen.
Habari ID: 3477481    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/22

Umoja wa Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Imamu Mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri Sheikh Ahmed al-Tayyeb anaripotiwa kupanga kusafiri kuelekea Iraq.
Habari ID: 3476965    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/06

Shughuli za Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) – Kozi ya kiwango cha juu ya Qur’ani Tukufu imeandaliwa kwa ajili ya wanafunzi wa Afrika wanaosoma sayansi ya Kiislamu katika vyuo vya Kiislamu vya mji mtakatifu wa Najaf, Iraq.
Habari ID: 3476030    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/03

Shughuli za Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Vituo vitano vya kusoma Qur'ani vimeanzishwa katika mji wa Najaf nchini Iraq huku waumini wakijitayarisha kushiriki katika maombolezo kwa mnasaba wa kukumbuka siku ya kuaga dunia Mtume Muhammad (SAW) katika siku zijazo.
Habari ID: 3475829    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/23

Arbaeen ya Imam Hussein AS
TEHRAN (IQNA)- Gavana wa Karbala, Iraq ametangaza kuwa, wafanyaziara kutoka nchi 80 katika maadhimisho ya mwaka huu za Arbaeen mwaka huu wa 1444 Hijria Qamari sawa na 2022 Miladia.
Habari ID: 3475792    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/16

TEHRAN (IQNA) – Afisa wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Najaf nchini Iraq amesema uwanja huo umeandaliwa kupokea zaidi ya safari 200 za ndege kila siku kuanzia siku ya kwanza ya mwezi wa Hijri wa Safar unaotazamiwa kuanza Agosti 29.
Habari ID: 3475632    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/16