Watetezi wa Palestina
IQNA – Madiwani 114 wa Muslim wa chama tawala cha Leba Uingereza wamemuandikia barua Waziri Mkuu wa Uingereza, wakitaka kuwekewa vikwazo vya mara moja vya silaha dhidi ya Israel huku vikosi vya utawala huo vikiendelea kutumia silaha na zana za viita zinazotolewa na nchi za Magharibi kutekeleza mauaji ya kimbari huko Palestina na Lebanon.
Habari ID: 3479611 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/18
TEHRAN (IQNA)- Italia imetangaza kusitisha uuzaji silaha zake kwa Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kutokana na jinai za kivita ambazo tawala hizo mbili zinafanya huko Yemen.
Habari ID: 3473603 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/30
TEHRAN (IQNA) – Serikali ya Iraq imepanga kuishtaki Marekani kutokana na kitendo cha wakuu wa Washington kukiouka mamlaka ya kujitawala ya Iraq.
Habari ID: 3473458 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/15
TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema nchi hii katu haitafanya mazungumzo kuhusu uwezo wa makombora yake ya kujihami.
Habari ID: 3473275 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/19