iqna

IQNA

ghalwash
Wasomaji Qur'ani bingwa
TEHRAN (IQNA)- Klipu ya qiraa ya Qur'ani Tukufu ya qarii mashuhuri wa Misri marehemu Sheikh Ragheb Mustafa Ghalwash imesambazwa katika mitandao ya kijamii.
Habari ID: 3476096    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/16

TEHRAN (IQNA)- Ragheb Mustafa Ghalwash alikuwa mmoja kati ya wasomaji bora zaidi wa Qur'ai nchini Misri na ametajwa kuwa qarii kijana zaidi wakati wa 'zama za dhahabu' katika qiraa ya Qur'ani Tukufu nchini Misri.
Habari ID: 3474890    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/04

TEHRAN (IQNA)- Hakuna shaka kuwa mmoja kati ya wasomaji bora zaidi wa Qur'ani Tukufu nchini Misri alikuwa ni Ragheb Mustafa Ghalwash.
Habari ID: 3474076    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/06

TEHRAN (IQNA) – Qarii mashuhuri wa Misri Sheikh Mustafa Ghalwash katika moja ya safari zake nchini Iran alisoma Qur’ani Tukufu mbele ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu.
Habari ID: 3473369    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/17