iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA) – Kwa mujibu wa Mfawidhi wa Haram Takatifu za Al-Kadhimayn nchini Iraq, zaidi ya wafanyaziyara milioni 12 walitembelea eneo hilo takatifu alikozikwa Imam Kadhim (AS). Mjumuiko huo umefanyika kwa mnasaba wa kukumbuka kuuawa shahidi mtukufu huyo.
Habari ID: 3476577    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/17

TEHRAN (IQNA)- Msikiti wa Bibi Heybat uko katika mji mkuu wa Jamhuri ya Azerbaijan, Baku na una usanifu majengo wenye mvuto.
Habari ID: 3474688    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/17

TEHRAN (IQNA)- Magaidi wameshambulia msafara wa wafanyaziara wa Imam Kadhim AS, Imam wa Saba wa Mashia katika eneo la Al Kadhimiya katika mkoa wa Baghdad nchini Iraq.
Habari ID: 3473719    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/09