TEHRAN (IQNA) – Misikiti imefunguliwa tena nchini Algeria baada ya kufungwa kwa muda wa miezi mitano.
Habari ID: 3473074 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/16
Imamu wa saba wa Waislamu wa madhehebu ya Shia duniani, ni Imam Musa bin Ja'afar Al-Kadhim (AS) ambaye ana lakabu ya Babul Hawaij, kwa sababu ya watu kutasawali kwa Mwenyezi Mungu Mola Mweza kupitia kwake.
Habari ID: 3473071 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/16
TEHRAN (IQNA) – Maandamano makubwa yamefanyika nchini India kulaani kitendo cha kuchapshwa maandishi yanayomvunjia heshima Mtume Mtukufu wa Uislamu Muhammad, Rehma na Amani ya Allah iwe Juu Yake na Kizazi Chake (SAW)
Habari ID: 3473064 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/13
Afisa wa Umoja wa Mataifa
TEHRAN (IQNA) – Mkuu wa taasisi ya Umoja wa Mataifa inayochunguza jinai dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya nchini Myanmar amesema Shirika la Facebook limekataa kutoa ushahidi wa jinai za kimataifa hata baada ya kuahidi kushirikiana kuhusu katika kadhia hiyo.
Habari ID: 3473058 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/11
TEHRAN (IQNA) - Mahakama moja wa Kiislamu nchini Nigeria imemhukumu kifo mwanamuziki ambaye alikufuru na kumvunjia heshima Mtume Muhammad SAW.
Habari ID: 3473056 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/11
TEHRAN (IQNA) – Polisi katika jimbo la Minnesota Marekani wanawasaka vijana wawili ambao walimpiga na kumuumiza kiongozi wa Waislamu katika eneo hilo.
Vijana hao wawili wanakisiwa kuwa na umri wa miaka 20 hivi na mmoja ni mzungu huku mwingine akiwa na asili ya Afrika.
Habari ID: 3473050 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/09
TEHRAN (IQNA)- Serikali ya Canada imeongeza walinzi wa Ali Saad al-Jabri, mkuu wa zamani wa Idara ya Ujasusi ya Saudi Arabia ikihofia kuuawa na serikali na Saudi Arabia.
Habari ID: 3473049 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/09
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi wa harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema, kujiweka mbali Waislamu na Uwalii wa Umma ndio sababu kuu ya matatizo uliyonayo Umma wa Kiislamu.
Habari ID: 3473048 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/09
TEHRAN (IQNA) – Kituo cha Qur’ani (Darul Qur’an) katika Idara ya Mfawidhi wa Haram ya Imam Hussein AS huko Karbala, Iraq imeandaa darsa za Qur’ani katika msimu wa joto.
Habari ID: 3473047 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/08
Sayyid Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, mlipuko uliotokea katika bandari ya Beirut ni janga kubwa la kibinadamu na kitaifa.
Habari ID: 3473045 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/08
TEHRAN (IQNA) - Serikali ya India imepiga marufuku watu kutoka nje katika eneo la Kashmir na kuweka hatua kandamizi za usalama wakati huu kumbukumbu ya mwaka mmoja tangu New Delhi ilipofuta mamlaka ya utawala wa ndani katika eneo hilo lenye idadi kubwa zaidi ya Waislamu.
Habari ID: 3473038 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/05
TEHRAN (IQNA)- Misikiti katika Umoja wa Falme za Kiarbau (UAE) itaruhusiwa kuwa na asilimia 50 ya idadi ya wanaoweza kuswali ndani yake kuanzia Agosti 3.
Habari ID: 3473025 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/02
TEHRAN (IQNA) – Qarii kutoka Tanzania ameibuka mshindi katika mashindano ya kusoma Qur’ani (qiraa) ya Chuo Kikuu cha Al Qasimia cha Sharjah katika Umoja wa Falme za Kiarabu.
Habari ID: 3473023 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/01
TEHRAN (IQNA) – Misikiti katika mji mkuu wa China, Beijing iliandaa Swala ya Idul Adha siku ya Ijumaa.
Habari ID: 3473021 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/01
TEHRAN (IQNA) – Waislamu katika maeneo mbali mbali duniani wameshiriki katika Swala ya Idul Adha huku swala hiyo ikiwa imeathiriwa pakubwa na janga la COVID-19 au corona.
Habari ID: 3473019 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/31
Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika ujumbe wa Idi
TEHRAN (IQNA) - Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa mkono na kheri na fanaka na kuwapongeza viongozi wa nchi za Kiislamu kwa mnasaba wa Sikukuu hii kubwa ya Idul Adh'ha.
Habari ID: 3473016 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/31
TEHRAN (IQNA) – Baada ya msikiti wa Hagia Sophia kufunguliwa mjini Istanbul, Uturuki, idadi kubwa ya watalii wa kigeni na wa ndani ya nchi wamefika katika msikiti huo.
Habari ID: 3473015 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/30
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema: "Katika matukio ya sasa ya Marekani na harakati ya kupinga ubaguzi wa rangi iliyopo, msimamo wetu thabiti ni wa kuwaunga mkono wananchi na kulaani mwenendo wa kikatili wa utawala wa ubaguzi wa rangi wa nchi hiyo."
Habari ID: 3473011 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/29
TEHRAN (IQNA)- Mtafiti kutoka Ethiopia amekusanya vitabu na makala za kale za Kiislamu na Kiarabu.
Habari ID: 3473009 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/28
TEHRAN (IQNA) – Waislamu wanaotekeleza ibada ya Hija wamewasilia katika mji mtakatifu wa Makka kutoka maeneo mbali mbali ya Saudi Arabia huku kukiwa na hatua kali za kuzuia kuenea ugonjwa wa corona.
Habari ID: 3473007 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/27