TEHRAN (IQNA)- Vituo 200 vya Qur’ani Tukufu nchini Jordan vimetangaza kuandaa darsa maalumu za kuhifadhi Qu’rani Tukufu kwa kuzingatia kanuni za afya wakati huu wa janga la corona.
Habari ID: 3473006 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/27
TEHRAN (IQNA) Mnyanyua vyuma wa kike kutoka Latvia, ambaye aliwahi kuwa bingwa wa dunia, Bi. Rebecca Koha ametangaza kusilimu.
Habari ID: 3473005 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/27
TEHRAN (IQNA) – Makundi kadhaa ya wanawake Waislamu nchini Australia wamejitolea kugawa misaada ya chakula kwa wasiojiweza mjini Melbourne katika kipindi hiki cha janga la COVID-19 au corona.
Habari ID: 3473001 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/26
TEHRAN (IQNA) – Jumuiya ya Kimataifa ya Mwamko wa Kiislamu imeipongeza Uturuki kwa hatua yake ya kulirejeshea jengo la kihistoria la Hagia Sophia hadi yake ya msikiti.
Habari ID: 3473000 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/26
TEHRAN (IQNA) – Mufti Mkuu wa Ghana amesema inajuzu kwa Waislamu nchini humo kuswali Swala ya Idul Adha nyumbani.
Habari ID: 3472998 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/25
Swala ya kwanza ya Ijumaa imeswaliwa katika Msikiti wa Hagia Sophia, Istanbul Uturuki baada ya zaidi ya miaka 86 ambapo maelfu ya waumini wameshiriki katika swala hiyo mnamo Julai 24, 2020
Habari ID: 3472996 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/25
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Bahrain Ayatullah Sheikh Isa Qassim amesema Wabahrain wataendeleza mapambano yao ya kisiasa hadi haki zao zitambuliwa na watawala wa nchi hiyo.
Habari ID: 3472990 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/23
TEHRAN (IQNA) – Mkuu wa Shirika la Kiislamu la Haki za Binadamu (IHRC) lenye makao yake London amelaani kimya cha jamii ya kimataifa kuhusu ukandamizaji wa jamii za Waislamu waliowachache nchi mbali mbali duniani.
Habari ID: 3472989 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/22
TEHRAN (IQNA) – Kitabu kuhusu Nafasi ya Waislamu katika Utamaduni wa Ufilipino kilichoandikwa na mwambata za zamani wa utamaduni wa Iran katika nchi hiyo ya kusini mwa Asia kimezinduliwa.
Habari ID: 3472987 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/22
TEHRAN (IQNA) – Saudi Arabia imesema itaweka faini kali na vifungo vya jela kwa watu na mashirika ambayo yatawasafirisha mahujaji wasio na kibali cha Hija.
Habari ID: 3472983 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/20
TEHRAN (IQNA) – Mawakili wa Sheikh Ibrahim Zakzaky wameitaka Mahakama Kuu ya Nigeria kutupilia mbali kesi dhdi ya yake itoe amri ya kuachiliwa huru mara moja mwanazuoni huyo na mke wake.
Habari ID: 3472976 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/18
TEHRAN (IQNA) – Waislamu kote Scotland nchini Uingereza wameshiriki katika Swala ya Ijumaa wameshiriki katika Swala ya Ijumaa kwa mara ya kwanza baada ya miezi kadhaa baada ya misikiti kufunguwa ili kuzuia kuenea ugonjwa wa corona.
Habari ID: 3472975 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/18
TEHRAN (IQNA) - Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema mauaji ya kimbari ya maelfu ya Waislamu wa Srebrenica yalifanyika kutokana na Ulaya kufeli kutekeleza majukumu yake ya msingi.
Habari ID: 3472955 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/12
TEHRAN (IQNA) – Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) limesema Wayemen wasiopungua milioni 10 wa Yemen wanaandamwa na ubaha mkubwa wa chakula na hivyo wanahitaji misaada ya dharura ili kuzuia baa la njaa.
Habari ID: 3472950 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/11
TEHRAN (IQNA) - Mpalestina ameuawa shahidi kwa kupigwa risasi na wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
Habari ID: 3472947 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/10
TEHRAN (IQNA) – Misikiti itaanza kufunguliwa tena nchini Morocco kuanzia Julai 15 baada ya kufungwa kwa miezi kadhaa ili kuzuia kuenea kwa kasi ugonjwa wa COVID-19 au corona.
Habari ID: 3472945 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/09
Sayyid Nasrallah:
TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema Marekani ndio utawala dhalimu zaidi duniani na chokochoko zote zilizofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Lebanon zimefanyika kwa uungaji mkono wa Washington.
Habari ID: 3472941 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/08
TEHRAN (IQNA) – Serikali ya Kenya imetangaza kuwa maeneo ya ibada yatafunguliwa tena nchini humo lakini kwa sharti la kuzingatia kanuni na sheria maalumu za kuzuia kuenea ugonjwa wa COVID-19 au corona.
Habari ID: 3472938 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/07
TEHRAN (IQNA) –Mmoja wa viongozi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amepongeza ujumbe wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran kwa mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Hamas na kusema: “ Ujumbe wa kiongozi wa Iran unaashiria himaya ya kudumu kwa malengo ya Palestina.”
Habari ID: 3472935 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/06
TEHRAN (IQNA) – Mahakama ya Uturuki siku ya Alhamisi ilisikiliza kesi kuhusu Jumba la Makumbusho la Hagia Sophia mjini Istanbul kurejeshwa katika hadhi yake ya msikiti.
Habari ID: 3472926 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/03