iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA)- Misikiti kadhaa kote katika jimbo la New Jersey nchini Marekani imesema hotuba za Sala ya Ijumaa zitajadili kuhusu madhara ya ubaguzi wa rangi na halikadhalika kuhusu ukatili na jinao zinazotendwa na polisi nchini humo.
Habari ID: 3472837    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/05

TEHRAN (IQNA)- Baraza la Mashauriano la Jumuiya za Kiislamu Malaysia limelaani vikali ukatili wa polisi nchini Marekani na kusema ukosefu wa uadilifu na utumiaji mabavu ni dhatu ya mfumo wa utawala nchini Marekani.
Habari ID: 3472833    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/03

Mwanazuoni wa Kiislamu Lebanon
TEHRAN (IQNA)- Harakati za Mapambano ya Kiislamu (Muqawama) zimeweza kupata ushindi na adhama kutokana na fikra za kistratijia na kisiasa za Imam Khomeini-Mwenyezi Amrehemu- , amesema mwanazuoni wa Kiislamu nchini Lebanon.
Habari ID: 3472832    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/03

TEHRAN (IQNA) - Tarehe 14 Khordad sawa na tarehe 3 Juni, kulitangazwa habari ya huzini ya kuaga duniani Imam Khomeini (MA), mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3472831    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/03

TEHRAN (IQNA)- Naibu Spika wa Bunge la Iraq Hassan Karim al-Kaabi ametoa wito kwa Saudi Arabia kukarabati Makaburi ya Baqii katika mji mtakatifu wa Madina.
Habari ID: 3472826    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/02

TEHRAN (IQNA) – China inapaswa kuhimizwa isitishe sera zake cha chuki dhidi ya Waislamu hasa zile zinazowashusu Waislamu wa jamii wa Uighur.
Habari ID: 3472825    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/02

TEHRAN (IQNA) - Jeshi la Polisi la utawala wa Kizayuni wa Israel Ijumaa liliwazuia Wapalestina kuswali katika Msikiti wa Haram ya Nabii Ibrahim (Amani ya Mwenyezi Mungu Iwe Juu Yake) mjini al Khalil (Hebron) katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
Habari ID: 3472815    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/30

TEHRAN (IQNA) - Aya za Qur'ani Tukufu zimesomwa katika Kanisa Kubwa la Hagia Sophia ambalo sasa ni jumba la makumbusho mjini Istanbul Uturuki.
Habari ID: 3472812    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/29

TEHRAN (IQNA) – Wizara ya Wakfu ya Syria imetangaza kuanza swala za jamaa katika misikiti ya nchi hiyo kuanzia sikua ya Jumatano.
Habari ID: 3472808    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/27

TEHRAN (IQNA) – Mwakilishi wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini India amesisitiza umuhimu wa Waislamu kudumisha mafanikio waliyoweza kuyapata katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3472804    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/26

TEHRAN (IQNA) – Siku kuu ya Idul Fitr ni kati ya siku kuu muhimu zaidi katika ulimwengu wa Kiislamu na kawaida huwa siku ya mapumziko. Mwaka huu katika aghalabu ya nchi za Kiislamu kumekuwa na hali maalumu ya tahadhari wakati wa Idi ili kuzuia kuenea ugonjwa wa corona.
Habari ID: 3472799    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/25

TEHRAN (IQNA) - Rais Frank-Walter Steinmeier wa Ujerumani sambamba na kutoa pongezi kwa mnasaba wa Sikukuu ya Idul-Fitr, ametaka wananchi wote washirikiane kwa ajili ya kuwalinda Waislamu wa nchi hiyo.
Habari ID: 3472798    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/24

TEHRAN (IQNA)- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewatumia viongozi wa nchi za Kiislamu na Waislamu kote duniani salamu za kheri na fanaka kwa mnasaba wa kuwadia siku kuu ya Idul Fitr.
Habari ID: 3472795    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/24

TEHRAN (IQNA)- Jaji wa kwanza Muislamu mwenye kuvaa Hijabu ameteuliwa katika mfumo wa mahakama nchini Uingereza.
Habari ID: 3472794    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/23

Sayyid Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema hakuna shaka kuwa utawala wa Israel utasambaratika na amesisitiza kuwa, vita asili vitakuwa na Marekani.
Habari ID: 3472793    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/23

TEHRAN (IQNA) – Kiongozi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, ameutahadharisah vikali utawala wa Kizayuni wa Israel kuhusu kuchukua hatua zozote dhidi ya Msikiti wa Al-Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem).
Habari ID: 3472787    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/21

Rais Hassan Rouhani wa Iran
TEHRAN (IQNA) - Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria kukaribia maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Quds na kusisitiza kuwa, Quds (Jerusalem) katu haitasahauliwa na haitaendelea kubakia katika uvamizi wa madhalimu.
Habari ID: 3472785    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/20

TEHRAN (IQNA) – Kila mwaka kwa kuanza Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, familia za wenyeji wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) au Imarati hujumuika pamoja zaidi ya wakati wowote mwingine katika makwa.
Habari ID: 3472782    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/19

TEHRAN (IQNA) – Utawala wa jimbo la Java Mashariki nchini Indonesia umebatilisha idhini ya Sala ya Idul Fitr katika Msikiti wa Al Akbar mjini Surabaya baada ya wataalamu kuonya kuhusu matokeo mabaya ya mjumuiko wa watu wengi wakati wa kipindi hiki cha janga la COVID-19.
Habari ID: 3472780    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/19

TEHRAN (IQNA)- Sheikh Bujuma Albaz, Imamu na Khatibu katika Msikiti wa Mohammad wa Sita katika mji wa Bouznika ana sauti nzuri na yenye mvuto ya kusoma Qur'ani yenye kushabihiana na ile ya qarii mashuhuri wa Misri Abdul Basit Abdul Swamad.
Habari ID: 3472778    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/18