TEHRAN (IQNA) -Kundi la kwanza la Waislamu wanaotekeleza Ibada ya Umrah limeingia leo katika Msikiti Mtakatifu wa Makka nchini Saudi Arabia kwa ajili ya Ibada ya Umrah baada ya ibada hiyo kufungwa kwa zaidi ya miezi sita kutokana na janga la corona.
Habari ID: 3473230 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/04
TEHRAN (IQNA) - Waislamu wa Ufaransa wameudhika kwa kauli za chuki dhidi ya Uislamu zilizotolewa na rais wa nchi hiyo Emmanuel Macron.
Habari ID: 3473226 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/03
TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imepinga madai ya afisa mwandamizi wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kuwa eti utawala bandia wa Israel umesitisha upanuzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni baada ya utawala huo kuanzisha uhusiano na nchi mbili za Kiarabu za UAE na Bahrain.
Habari ID: 3473222 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/02
TEHRAN (IQNA) – Harakati za Qur’ani nchini Misri zimeanza leo Jumamosi kufuatia idhini ya Chuo Kikuu cha Al Azhar.
Habari ID: 3473205 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/26
TEHRAN (IQNA) - Sala za Ijumaa zimeanza tena nchini Uganda baada ya kusimamishwa kwa muda wa takribani miezi sita kutokana na maambukizi ya kirusi cha corona.
Habari ID: 3473204 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/26
TEHRAN (IQNAQ)- Waislamu nchini Ujerumani watawakaribisha wasiokuwa Waislamu katika misikiti mnamo Oktoba 3 katika siku hii ambayo kila mwaka inajulikana kama ‘Siku ya Msikiti Wazi.’
Habari ID: 3473202 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/25
TEHRAN (IQNA)- Chama kikuu cha upinzani cha Bahrain kinachojulikana kama Jumuiya ya Kiislamu ya Al Wifaq kimetangaza kuwa kumefanyika maandamano 150 ya kupinga hatua ya watawala wa nchi hiyo kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3473198 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/23
TEHRAN (IQNA) – Saudi Arabia imesema itawaruhusu Waislamu walioko nchini humo kutekeleza Ibada ya Umrah kuanzia Oktoba Nne.
Habari ID: 3473197 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/23
TEHRAN (IQNA)- Baada ya miaka kadhaa ya vuta nikuvute, msikiti wa kwanza rasmi katika mji mkuu wa Ugiriki, Athens utafunguliwa rasmi mwezi ujao wa Oktoba.
Habari ID: 3473181 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/18
TEHRAN (IQNA) – Polisi nchini Bosnia wamewakamata Waserbia tisa ambao wanashukiwa kuhusika na mauaji ya Waislamu 44 katika kijiji kimoja mwanzoni mwa vita vya Bosnia mwaka 1990.
Habari ID: 3473179 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/17
TEHRAN (IQNA) - Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ametoa wito wa kuchukuliwa hatua zaidi kutokana na ukiukaji wa haki za binadamu unaofanyika nchini Myanmar dhidi ya jamii ya Waislamu wa Rohingya.
Habari ID: 3473170 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/15
TEHRAN (IQNA) – Mafundisho ya Qur’ani kwa njia ya intaneti yameandaliwa na Kituo cha Darul Qur’an nchini Lebanon. Kituo hicho kinafungamana na Mfawidhi wa Haram Takatifu ya Imam Hussein AS.
Habari ID: 3473169 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/14
TEHRAN (IQNA) –Waislamu nchini Sweden wametaka katiba ya nchi hiyo ifanyiwe marekenisho iliiwe na kipengee cha kupiga marufuku kuvunjiwa heshima matukufu ya kidini.
Habari ID: 3473168 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/14
Kufuatia jinai dhidi ya Waislamu wa Myanmar
TEHRAN (IQNA) - Bunge la Umoja wa Ulaya limefuta jina la Aung San Suu Kyi, kiongozi wa chama tawala nchini Myanmar ambaye pia ni Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo katika orodha ya tuzo ya kifakhari ya taasisi hiyo ya kutunga sheria ya Ulaya.
Habari ID: 3473157 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/11
TEHRAN (IQNA) – Korea Kusini imetangaza mpango wa kuzinduliwa televisheni itakayojulikana kama ‘Halal TV’ kwa lengo la kuwavutia watalii Waislamu nchini humo.
Habari ID: 3473152 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/09
TEHRAN (IQNA) – Waislamu wa mjini Durban Afrika Kusini wamelaani hatua ya mahakama moja nchini humo kuamuru adhana ipigwe marufuku katika msikiti mmoja mjini humo.
Habari ID: 3473149 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/08
TEHRAN (IQNA) – Wakimbizi 300 Warohingya wamewasilia Indonesia mapema Jumatatu na kusema wamekuwa baharini kwa muda wa miezi saba.
Habari ID: 3473147 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/07
TEHRAN (IQNA)- Waumini wasiopungua 17 wamepoteza maisha katika ajali ya mripuko wa bomba la gesi katika msikiti nchini Bangladesh.
Habari ID: 3473141 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/05
TEHRAN (IQNA) - Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekosoa tena suala la kuanzishwa uhusiano baina ya Imarati na utawala ghasibu wa Israel na kusisitiza kuwa: Jambo lililofanywa na kawaida kwa uhusiano huo ni kubinya shingo la Wapalestina kwa goti la Wazayuni.
Habari ID: 3473132 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/03
TEHRAN (IQNA)- Swala ya Ijumaa itaswaliwa tena nchini Uzbekistan kuanzia Septemba 4.
Habari ID: 3473131 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/02