iqna

IQNA

Kufuatia jinai dhidi ya Waislamu wa Myanmar
TEHRAN (IQNA) - Bunge la Umoja wa Ulaya limefuta jina la Aung San Suu Kyi, kiongozi wa chama tawala nchini Myanmar ambaye pia ni Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo katika orodha ya tuzo ya kifakhari ya taasisi hiyo ya kutunga sheria ya Ulaya.
Habari ID: 3473157    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/11

TEHRAN (IQNA) – Korea Kusini imetangaza mpango wa kuzinduliwa televisheni itakayojulikana kama ‘Halal TV’ kwa lengo la kuwavutia watalii Waislamu nchini humo.
Habari ID: 3473152    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/09

TEHRAN (IQNA) – Waislamu wa mjini Durban Afrika Kusini wamelaani hatua ya mahakama moja nchini humo kuamuru adhana ipigwe marufuku katika msikiti mmoja mjini humo.
Habari ID: 3473149    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/08

TEHRAN (IQNA) – Wakimbizi 300 Warohingya wamewasilia Indonesia mapema Jumatatu na kusema wamekuwa baharini kwa muda wa miezi saba.
Habari ID: 3473147    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/07

TEHRAN (IQNA)- Waumini wasiopungua 17 wamepoteza maisha katika ajali ya mripuko wa bomba la gesi katika msikiti nchini Bangladesh.
Habari ID: 3473141    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/05

TEHRAN (IQNA) - Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekosoa tena suala la kuanzishwa uhusiano baina ya Imarati na utawala ghasibu wa Israel na kusisitiza kuwa: Jambo lililofanywa na kawaida kwa uhusiano huo ni kubinya shingo la Wapalestina kwa goti la Wazayuni.
Habari ID: 3473132    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/03

TEHRAN (IQNA)- Swala ya Ijumaa itaswaliwa tena nchini Uzbekistan kuanzia Septemba 4.
Habari ID: 3473131    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/02

TEHRAN (IQNA) - Kwa mara nyingine tena jarida hilo la Kifaransa la Charlie Hebdo limeamua kwa makusudi kuwafanyia kejeli na istihzai Waislamu na dini tukufu ya Uislamu kwa kuchapisha vibonzo vyenye kuvunjia heshima matukufu ya Kiislamu.
Habari ID: 3473129    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/02

Waislamu wa mji wa Arusha nchini Tanzania walijimuika na wenzao duniani katika kukumbuka kuuawa shahidi Imam Hussein AS katika siku ya Ashura.
Habari ID: 3473128    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/01

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameitaja hatua ya serikali ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) ya kuanzisha uhusiano na utawala wa Kizayuni kuwa ni kuusaliti Ulimwengu wa Kiislamu, Ulimwengu wa Kiarabu na nchi za eneo na kadhia muhimu ya Palestina.
Habari ID: 3473127    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/01

Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Maulamaa Waislamu
TEHRAN (IQNA) - Mkuu wa Umoja wa Kimataifa wa Maulamaa wa Kiislamu amesema kwamba, kwa mujibu wa mafundisho ya Kiislamu, ni haramu kuwa na uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3473125    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/01

TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ametoa wito kwa kutatuliwa tatizo la mgogoro wa wakimbizi Warohingya kupitia utatuzi wa chanzo kikuu cha sababu za wao kukimbia makazi yao nchini Myanmar.
Habari ID: 3473113    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/28

TEHRAN (IQNA) –Mahakama nchini New Zealand imemhukumu kifungo cha maisha jela gaidi Brenton Tarrant baada ya kupatikana na hatia ya kuwaua Waislamu 51 wakati wa swala ya Ijumaa mwezi Machi mwaka jana katika mji wa Christchurch.
Habari ID: 3473108    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/27

TEHRAN (IQNA) – Waislamu Warohingya ambao ni wakimbizi nchini Bangladesh leo wameshiriki katika 'maandamano ya kimya kimya' kukumbuka mwaka wa tatu tokea waanze kufurushwa makwao nchini Myanmar.
Habari ID: 3473102    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/25

TEHRAN (IQNA) –Idara ya Polisi katika jimbo la Karbala nchini Iraq imetangaza kuwa ni marufuku kwa watu wasio wakaazi kuingia katika jimbo hilo hadi tarehe 13 Muharram inayosadifiana na 2 Septemba.
Habari ID: 3473099    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/24

TEHRAN (IQNA) – Waziri wa Wakfu nchini Misri Sheikh Mukhtar Gomaa, ameamuru kuazishwe kampeni ya kitaifa ya kutayarisha misikiti kote nchini kwa ajili ya Swala ya Ijumaa wiki hii.
Habari ID: 3473094    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/23

TEHRAN (IQNA) – Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) limetoa wito wa kutafutulwia suluhisho jipya na la kudumu kwa wakimbizi Waislamu wa jamii ya Rohingya walio ndani na nje ya Myanmar.
Habari ID: 3473092    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/22

TEHRAN (IQNA) – Waislamu nchini Uingereza wameitaka serikali ya nchi yao ichukue hatua kali dhidi ya China kutokana na kukandamizwa Waislamu wa jamii ya Uighur.
Habari ID: 3473088    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/20

TEHRAN (IQNA) - Ayatullah Ali Taskhiri, mshauri mwandamizi wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kuhusu masuala ya ulimwengu wa Kiislamu alikuwa mmoja kati ya walinganiaji wa umoja na ukuruba baina ya madhehebu za Kiislamu.
Habari ID: 3473082    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/19

TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kuyakurubisha Pamoja Madhehebu ya Kiislamu amesema kuwa: kuanzisha uhusiano wa kidiplomasia na utawala wa Kizayuni wa Israel ni kuisaliti Qurani Tukufu na kumpa mgongo Mtume wa Mwenyezi, Muhammad SAW
Habari ID: 3473078    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/17