waislamu - Ukurasa 43

IQNA

TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imepinga madai ya afisa mwandamizi wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kuwa eti utawala bandia wa Israel umesitisha upanuzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni baada ya utawala huo kuanzisha uhusiano na nchi mbili za Kiarabu za UAE na Bahrain.
Habari ID: 3473222   Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/02

TEHRAN (IQNA) – Harakati za Qur’ani nchini Misri zimeanza leo Jumamosi kufuatia idhini ya Chuo Kikuu cha Al Azhar.
Habari ID: 3473205   Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/26

TEHRAN (IQNA) - Sala za Ijumaa zimeanza tena nchini Uganda baada ya kusimamishwa kwa muda wa takribani miezi sita kutokana na maambukizi ya kirusi cha corona.
Habari ID: 3473204   Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/26

TEHRAN (IQNAQ)- Waislamu nchini Ujerumani watawakaribisha wasiokuwa Waislamu katika misikiti mnamo Oktoba 3 katika siku hii ambayo kila mwaka inajulikana kama ‘Siku ya Msikiti Wazi.’
Habari ID: 3473202   Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/25

TEHRAN (IQNA)- Chama kikuu cha upinzani cha Bahrain kinachojulikana kama Jumuiya ya Kiislamu ya Al Wifaq kimetangaza kuwa kumefanyika maandamano 150 ya kupinga hatua ya watawala wa nchi hiyo kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3473198   Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/23

TEHRAN (IQNA) – Saudi Arabia imesema itawaruhusu Waislamu walioko nchini humo kutekeleza Ibada ya Umrah kuanzia Oktoba Nne.
Habari ID: 3473197   Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/23

TEHRAN (IQNA)- Baada ya miaka kadhaa ya vuta nikuvute, msikiti wa kwanza rasmi katika mji mkuu wa Ugiriki, Athens utafunguliwa rasmi mwezi ujao wa Oktoba.
Habari ID: 3473181   Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/18

TEHRAN (IQNA) – Polisi nchini Bosnia wamewakamata Waserbia tisa ambao wanashukiwa kuhusika na mauaji ya Waislamu 44 katika kijiji kimoja mwanzoni mwa vita vya Bosnia mwaka 1990.
Habari ID: 3473179   Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/17

TEHRAN (IQNA) - Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ametoa wito wa kuchukuliwa hatua zaidi kutokana na ukiukaji wa haki za binadamu unaofanyika nchini Myanmar dhidi ya jamii ya Waislamu wa Rohingya.
Habari ID: 3473170   Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/15

TEHRAN (IQNA) – Mafundisho ya Qur’ani kwa njia ya intaneti yameandaliwa na Kituo cha Darul Qur’an nchini Lebanon. Kituo hicho kinafungamana na Mfawidhi wa Haram Takatifu ya Imam Hussein AS.
Habari ID: 3473169   Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/14

TEHRAN (IQNA) –Waislamu nchini Sweden wametaka katiba ya nchi hiyo ifanyiwe marekenisho iliiwe na kipengee cha kupiga marufuku kuvunjiwa heshima matukufu ya kidini.
Habari ID: 3473168   Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/14

Kufuatia jinai dhidi ya Waislamu wa Myanmar
TEHRAN (IQNA) - Bunge la Umoja wa Ulaya limefuta jina la Aung San Suu Kyi, kiongozi wa chama tawala nchini Myanmar ambaye pia ni Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo katika orodha ya tuzo ya kifakhari ya taasisi hiyo ya kutunga sheria ya Ulaya.
Habari ID: 3473157   Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/11

TEHRAN (IQNA) – Korea Kusini imetangaza mpango wa kuzinduliwa televisheni itakayojulikana kama ‘Halal TV’ kwa lengo la kuwavutia watalii Waislamu nchini humo.
Habari ID: 3473152   Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/09

TEHRAN (IQNA) – Waislamu wa mjini Durban Afrika Kusini wamelaani hatua ya mahakama moja nchini humo kuamuru adhana ipigwe marufuku katika msikiti mmoja mjini humo.
Habari ID: 3473149   Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/08

TEHRAN (IQNA) – Wakimbizi 300 Warohingya wamewasilia Indonesia mapema Jumatatu na kusema wamekuwa baharini kwa muda wa miezi saba.
Habari ID: 3473147   Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/07

TEHRAN (IQNA)- Waumini wasiopungua 17 wamepoteza maisha katika ajali ya mripuko wa bomba la gesi katika msikiti nchini Bangladesh.
Habari ID: 3473141   Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/05

TEHRAN (IQNA) - Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekosoa tena suala la kuanzishwa uhusiano baina ya Imarati na utawala ghasibu wa Israel na kusisitiza kuwa: Jambo lililofanywa na kawaida kwa uhusiano huo ni kubinya shingo la Wapalestina kwa goti la Wazayuni.
Habari ID: 3473132   Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/03

TEHRAN (IQNA)- Swala ya Ijumaa itaswaliwa tena nchini Uzbekistan kuanzia Septemba 4.
Habari ID: 3473131   Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/02

TEHRAN (IQNA) - Kwa mara nyingine tena jarida hilo la Kifaransa la Charlie Hebdo limeamua kwa makusudi kuwafanyia kejeli na istihzai Waislamu na dini tukufu ya Uislamu kwa kuchapisha vibonzo vyenye kuvunjia heshima matukufu ya Kiislamu.
Habari ID: 3473129   Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/02

Waislamu wa mji wa Arusha nchini Tanzania walijimuika na wenzao duniani katika kukumbuka kuuawa shahidi Imam Hussein AS katika siku ya Ashura.
Habari ID: 3473128   Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/01