waislamu - Ukurasa 38

IQNA

TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imetoa taarifa na kusema hatua ya Marekani kuiwekea vikwazo Harakati ya Wapiganaji wa Kujitolea Iraq maarufu kama Al Hashd Al Shaabi (PMU( ni sawa na kuipa harakati hiyo medali ya fahari.
Habari ID: 3473541    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/09

TEHRAN (IQNA) - Makumi ya wabunge wa Algeria wameandaa muswada wa sheria inayolenga kuufanya kuwa ni uhalifu uanzishwaji wa uhusiano wowote wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3473536    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/08

TEHRAN (IQNA) –Bangladesh imewahamisha Waislamu 1,804 wakimbizi wa jamii ya Rohiingya kutoka katika kambi ya wakimbizi ya Cox's Bazar na kuwapeleka katika kisiwa cha mbali ambacho hadi sasa hakikuwa na wanadamu katika Ghuba ya Bengali .
Habari ID: 3473530    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/06

TEHRAN (IQNA) – Waislamu katika mji mmoja nchini Marekani wanaendeleza kampeni ya kuelimisha umma kuhusu vazi la Kiislamu la Hijabu na faida zake.
Habari ID: 3473529    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/06

TEHRAN (IQNA) - Jumuiya ya Kimataifa ya Maulamaa wa Kiislamu (IUMS) imetoa fatua ya kuususia kikamilifu utawala haramu wa Kizayuni wa Israel na kutangaza kwamba, haijuzu kuuuzia wala kununua chochote kinachozalishwa na utawala huo mpaka utakapokomesha ukaliaji wake ardhi kwa mabavu.
Habari ID: 3473524    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/04

TEHRAN (IQNA)- Msikiti mmoja umehujumiwa katika mji wa Baden-Wurttemberg kusini magharibi mwa Ujerumani mara mbili katika kipindi cha wiki mbili.
Habari ID: 3473518    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/02

TEHRAN (IQNA) – Semina ya Nabii Isa Masih, yaani Yesu, -Amani ya Mwenyezi Mungu Iwe Juu Yake-imefanyika nchini Kenya katika fremu ya 'Mazungumzo Baina ya Dini'.
Habari ID: 3473510    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/31

TEHRAN (IQNA) – Januari 27 2017 ni siku ambayo Waislamu Wamarekani hawataishau. Katika siku hiyo, Rais Donald Trump wa Marekani alitia saini dikrii ya kuwapiga marufuku Waislamu nchini humo.
Habari ID: 3473503    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/29

TEHRAN (IQNA)- Muasisi wa kituo kikubwa zaidi cha Qur’ani Tukufu nchini Senegal amefariki dunia.
Habari ID: 3473499    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/27

TEHRAN (IQNA) -Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amewatumia ujumbe Wakristo wa Iran na duniani kwa ujumla akiwatakia kheri wakati wakisherehekea Krismasi.
Habari ID: 3473492    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/26

TEHRAN (IQNA) - Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kitendo cha baadhi ya nchi za Kiarabu cha kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel ni kuwasaliti wananchi wa Palestina na umma wa Kiislamu kwa ujumla.
Habari ID: 3473488    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/24

TEHRAN (IQNA) – Indoneisa imekanusha ripoti kuwa iko tayari kuanzisha uhusiano wa kidiplomasia na utawala bandia wa Israel.
Habari ID: 3473487    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/24

TEHRAN (IQNA) -Msomi wa Kiislamu aliyeongoza mkakati dhidi ya misimamo mikali ya kidini, Sheikh Ahmed Lemu, ameaga dunia leo Alkhamisi akiwa na umri wa miaka 90.
Habari ID: 3473486    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/24

TEHRAN (IQNA) - Mkuu wa Kamati Kuu ya Mapinduzi ya Wananchi wa Yemen ameashiria kuendelea kuchimbwa mashimo na njia za chini kwa chini kuelekea katika msikiti mtakatifu wa al-Aqswa ambao ni kibla cha kwanza cha Waislamu na kueleza kwamba, Waislamu wanapaswa kutumia nyenzo na suhula zote kukabiliana na njama hizo.
Habari ID: 3473483    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/23

TEHRAN (IQNA) - Wanazuoni zaidi ya 12 wa Kiislamu kutoka madhehebu ya Shia wanashikiliwa bila kufunguliwa mashtaka nchini Saudi Arabia huku ufalme huo ukishadidisha ukandamizaji wa jamii za waliowachache nchini humo.
Habari ID: 3473482    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/22

TEHRAN (IQNA) - Taasisi mbalimbali za kutetea haki za binadamu zimetoa radiamali kufuatia hatua ya utawala wa Saudi Arabia kumtia mbaroni mwana wa kiume wa Sheikh Nimr Baqir al Nimr.
Habari ID: 3473479    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/22

TEHRAN (IQNA) -Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, sera za Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) za kuunga utawala wa Kizayuni wa Israel ni kwa madhara ya haki za Wapalestina.
Habari ID: 3473477    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/21

TEHRAN (IQNA) – Wanafunzi 80 wa Qur'ani Tukufu ambao walikuwa wametekwa kaskazini mashariki mwa Nigeria wamenusuriwa.
Habari ID: 3473476    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/21

TEHRAN (IQNA) Waziri Mkuu wa Pakistan Imran Khan amekanusha kuwepo mashinikizo ya aina yoyote ya kuitaka nchi hiyo ijiunge na safu ya nchi zinazofanya mapatano na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3473474    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/20

TEHRAN (IQNA) – Maelfu ya Wapalestina leo wamshiriki katika Swala ya Ijumaa katika kibla cha kwanza cha Waislamu, yaani Msikiti wa Al Aqsa ulioko mjini Quds (Jerusalem).
Habari ID: 3473467    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/18