iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA) – Wanaakiolojia wamegundua makaburi ya kale ya Waislamu kaskazini mashariki mwa Uhispania.
Habari ID: 3473408    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/30

TEHRAN (IQNA) – Wiki kadhaa baada ya kumaliza kujenga Msikiti wa Jamia wa Mji wa Zigoti nchini Uganda, Waislamu wa eneo hilo sasa wameanzisha mkakati wa kupanda miti na kujenga chuo cha Qur’ani kandi ya msikiti huo.
Habari ID: 3473406    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/29

TEHRAN (IQNA)- Mtu ambaye alipatikana na hatia ya kuuhujumu msikiti na kuua Waislamu sita katika mkoa wa Quebec nchini Canada mwaka 2017 sasa anaweza kuwasilisha ombi la kuachiliwa huru baada ya miaka 25 gerezani.
Habari ID: 3473398    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/27

TEHRAN (IQNA) - Wananchi wa Nigera jana Jumanne waliendeleza maandamano yao katika mji mkuu wa nchi hiyo, Abuja, kushinikiza kuachiliwa huru kiongozi wa Harakati ya Kiislamu, Sheikh Ibrahim Zakzaky.
Habari ID: 3473391    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/25

TEHRAN (IQNA) – Televisheni moja nchini Uganda imeandaa kipindi maalumu ambacho kimejadili vizingiti katika kufikia umoja baina ya Waislamu.
Habari ID: 3473386    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/23

TEHRAN (IQNA)- Ikiwa ni katika kuendeleza kampeni dhidi asasi za Kiislamu, Waziri wa Mambo ya Ndani wa Ufaransa Gerald Darminian ametangaza mpango wa kupiga marufuku Taasisi ya Kupambana na Chuki Dhidi ya Uislamu au Islamophobia Ufaransa (CCIF).
Habari ID: 3473378    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/20

TEHRAN (IQNA) – Jumba la Makumbusho la Sanaa za Kiislamu Cairo, Misri ni hifadhi kubwa zaidi ya athari za sanaa za Kiislamu duniani.
Habari ID: 3473375    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/19

TEHRAN (IQNA) – Mahakama nchini Sweden imeondoa marufuku ya vazi la Kiislamu la Hijabu katika shule za mji mmoja wa kaskazini mwa nchi hiyo ya bara Ulaya.
Habari ID: 3473371    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/18

TEHRAN (IQNA) – Qarii mashuhuri wa Misri Sheikh Mustafa Ghalwash katika moja ya safari zake nchini Iran alisoma Qur’ani Tukufu mbele ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu.
Habari ID: 3473369    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/17

TEHRAN (IQNA)- Polisi nchini Austrai wamekosolewa vikali kwa kuwasumbua na kuwakera Waislamu ambao wamekuwa wakihujumu maeneo yao na kuwauliza maswali ya dharau.
Habari ID: 3473368    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/17

TEHRAN (IQNA) – Wanachama Waislamu katika chama cha Leba cha Uingereza wamesema wameshuhudia chuki dhidi ya Uislamu katika chama hicho kikubwa zaidi Uingereza.
Habari ID: 3473362    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/15

TEHRAN (IQNA)- Malefu ya Wapalestina wameshiriki katika Swala ya Ijumaa wiki hii katika Msikiti wa Al Aqsa ulio katika mji wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na Israel.
Habari ID: 3473360    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/14

TEHRAN (IQNA)- Waendesha mashtaka nchini Ujerumani wamewafikisha kizimbani wanaume 10 wanachama wa mrengo wa kulia wa kibaguzi ambao walikuwa wanapanga kutekeleza hujuma dhidi ya Waislamu na kuipindua serikali ya Ujerumani.
Habari ID: 3473359    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/14

TEHRAN (IQNA) - Swala ya kwanza ya Ijumaa baada ya miaka 28 imeswaliwa leo katika msikiti wa kihistoria Yukhari Govhar Agha katika mji wa Shusha eneo linalozozaniwa baina ya Jamhuri ya Azeribajan na Armenia la Nagorno-Karabakh.
Habari ID: 3473357    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/13

TEHRAN (IQNA) – Sauti ya adhana imesikika baada ya miaka 28 katika msikiti wa kihistoria Yukhari Govhar Agha katika mji wa Shusha ulioko eneo linalozozaniwa baina ya Jamhuri ya Azeribajan na Armenia la Nagorno-Karabakh.
Habari ID: 3473354    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/12

TEHRAN (IQNA)- Msikiti katika mji wa Zaandam kaskazini magharibi mwa Indonesia umehujumiwa katika jinai ambayo imetajwa kuwa ya wenye chuki dhidi ya Uislamu.
Habari ID: 3473350    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/11

Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imetoa taarifa ikilaani uhalifu unaoendelea kufanywa na jeshi la utawala haramu wa Israel wa kubomoa nyumba na taasisi za Wapalestina katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu.
Habari ID: 3473346    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/10

TEHRAN (IQNA) - Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa amedai kuwa Paris inaheshimu dini ya Uislamu na kwamba Waislamu ni sehemu ya jamii ya Ufaransa.
Habari ID: 3473343    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/09

TEHRAN (IQNA) – Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameelezea matumaini yake kuwa uchaguzi mkuu wa Novemba 8 nchini Myanmar utaandaa mazingira ya kurejea nyumbani mamia ya maelefu ya wakimbizi Waislamu wa jamii ya Rohingya.
Habari ID: 3473338    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/07

TEHRAN (IQNA)- Wasomi, wanafikra, wanaharakati na wanazuoni wa Kiislamu duniani wametoa wito wa kutungwa sheria zinazozuia kuvunjiwa heshima Mitume wa Mwenyezi Mungu, dini za mbinguni na wafuasi wake.
Habari ID: 3473331    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/05