iqna

IQNA

nasrallah
Indhari
IQNA-Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema utawala wa Israel "utalipa kwa damu" gharama ya mauaji ya hivi karibuni ya raia kusini mwa nchi hiyo, akisisitiza kwamba mauaji hayo hayawezi kuifanya harakati hiyo kuacha kuwaunga mkono Wapalestina katika Ukanda wa Gaza unaozingirwa.
Habari ID: 3478364    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/17

Kimbunga cha Al Aqsa
BEIRUT (IQNA) - Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu (Muqawama) ya Hizbullah ya Lebanon amesema Operesheni ya Kimbunge cha al-Aqsa kama kielelezo cha ujasiri, na uchamungu waa watu wa Palestina.
Habari ID: 3477859    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/08

Mapambano ya Kiislamu (Al-Muqawama Al-Islamiya)
TEHRAN (IQNA)- Viongozi wa harakati za mapambano ya Kiislamu (Al-Muqawama Al-Islamiya) za Palestina na Lebanon wameapa kushirikiana ili kutoa jibu la pamoja dhidi ya sera za uvamizi za utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3477543    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/03

Sayyid Hassan Nasrallah:
BEIRUT (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, lengo la kuvunjia heshima Qur'ani Tukufu ni kutaka kuzusha hitilafu baina ya Waislamu na Wakristo.
Habari ID: 3477276    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/13

Mhimili wa Muqawama
TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran jana Ijumaa alionana na Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon, Sayyid Hassan Nasrullah na kujadiliana naye masuala muhimu ya pande mbili, ya kieneo na ya kimataifa.
Habari ID: 3476931    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/29

Kiongozi wa Hizbullah atahadharisha
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amepuuzilia mbali vitisho vilivyotolewa hivi karibuni na maafisa wa utawala haramu wa Israel vya kuwepo uwezekano wa kuivamia kijeshi Lebanon na kusisitiza kuwa, uchokozi wowote wa Israel dhidi ya nchi hiyo ya Kiarabu utapata jibu la haraka.
Habari ID: 3476752    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/24

Kiongozi wa Hizbullah
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema, eneo bila kuwepo Israel si ndoto na matarajio tu bali ndio uhalisia utakashuhudiwa katika mustakabali.
Habari ID: 3476693    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/11

Muqawama
TEHRAN (IQNA) - Mwanachama mwandamizi wa harakati ya Ansarullah ya Yemen Mohammad Ali al-Houthi amempongeza Katibu Mkuu wa Hizbullah Sayed Hassan Nasrallah kwa mnasaba wa kuadhimisha miaka 40 ya kuasisiwa kwa harakati hiyo ya mapambano (muqawama) ya Kiislamu ya Lebanon.
Habari ID: 3475562    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/31

Sayyid Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema makombora yenye usahihi mkubwa katika kulenga shabaha ya harakati hiyo ya muqawama yana uwezo wa kupiga sehemu yoyote ya utawala haramu wa Israel; baharini au ardhini.
Habari ID: 3475541    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/26

Sayyid Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA) – Kiongozi wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon anasema harakati harakati hiyo ilikataa mapendekezo kadhaa ya hongo ya kifedha ya Marekani ili kusitisha mapambano yake na utawala wa Kizayuni wa Israel .
Habari ID: 3475525    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/22

Harakati ya Hizbullah
TEHRAN (IQNA) Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kuwa, Lebanon haitaki vita, lakini iwapo haitapata inachostahiki, utawala wa Kizayuni hautaruhusiwa kuchimba mafuta.
Habari ID: 3475520    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/20

Muqawama (Mapambano ya Kiislamu)
TEHRAN (IQNA)- Mkuu wa ofisi ya kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amekutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon katika mji mkuu wa nchi hiyo Beirut.
Habari ID: 3475418    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/24

Harakati ya Hizbullah
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon ameishukuru Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa misaada yake na kwamba, haikusita hata kidogo kuisaidia Lebanon.
Habari ID: 3475296    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/26

Sayyid Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA)- Sayyid Hassan Nasrallah, Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amehutubu kwa munasaba wa kukumbuka kuuawa shahidi Sayyid Mustafa Badruddin na kusema kukaliwa kwa mabavu ardhi za Palestina kulikuwa ni pigo kwa nchi za Kiarabu na mataifa yote ya eneo.
Habari ID: 3475271    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/20

Sayyid Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon, amewashukuru na kuwapongeza watu wote walioshiriki katika uchaguzi wa bunge uliofanyika hivi karibuni na akasema ushiriki mkubwa wa Walebanon katika uchaguzi huo na matokeo yake yamefikisha ujumbe wa uungaji mkono kwa Hizbullah au Muqawama na silaha zake.
Habari ID: 3475268    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/20

Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon Sayyid Hassan Nasrallah ameashiria uchunguzi wa maoni wa hivi karibuni na kusema tatizo la waliowengi nchini Lebanon si silaha za Hizbullah au Muqawama bali ni hali ya maisha.
Habari ID: 3475230    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/10

Kiongozi wa Hizbullah
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon, Sayyid Hassan Nasrallah amesema kuwa, wananchi wa Palestina hawatashindwa katika mapambano yao ya ukombozi dhidi ya utawala ghasibu wa Israel.
Habari ID: 3475118    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/12

TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon anatazamiwa kutoa hotuba Ijumaa kwa mnasaba wa kuwadia Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3475087    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/30

Sayyid Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, Marekani imetenda jinai nyingi dhidi ya wananchi wa mataifa mbalimbali ya dunia na kuiamini nchi hiyo ni ujuha na ujinga.
Habari ID: 3475025    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/09

TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon Sayyed Hassan Nasrallah ametoa hotuba muhimu katika ufunguzi wa kongamano linalofanyika mjini Beirut kwa mnasaba wa kumbukumbu ya mwaka wa 30 tangu alipouawa shahidi Katibu Mkuu wa Pili wa Hizbullah, Sayyid Abbas al-Musawi na kusema Marekani inabeba dhima ya mgogoro wa sasa wa Ukraine.
Habari ID: 3474990    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/01