Sayyid Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon Sayyid Hassan Nasrallah amesema hali ya ndani ya utawala ghasibu wa Israel u na matukio ya kimataifa yote kwa pamoja yanaashiria kuangamia utawala huo katili.
Habari ID: 3474968 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/24
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Harakati ya Hizbuallah ya Lebanon Sayyid Hassan Nasrallah amezilaani nchi za Waislamu ambazo zimeanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel na kuutaja utawala huo kuwa ni ‘utawala wa muda’ ambao unaelekea kusambaratika.
Habari ID: 3474934 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/16
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon Sayyid Nasrallah ameonya kuwa vita vyovyote dhidi ya Iran vitasababisha mlipuko mkubwa katika eneo la Asia Magharibi (Mashariki ya Kati).
Habari ID: 3474909 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/09
Sayyid Nasrallah
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kitendo cha kupuuza uwepo wa vikosi vamizi vya Marekani nchini Iraq, ni sawa na kuuawa shahidi kwa mara ya pili Luteni Jenerali Qasem Soleimani, aliyekuwa Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu.
Habari ID: 3474763 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/04
TEHRAN (IQNA)- Wafungwa Wapalestina wakiwa katika mahakama moja ya utawala wa Kizayuni wa Israel huko Nazareth wamempongeza Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah Sayyed Hassan Nasrallah.
Habari ID: 3474657 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/08
Sayyid Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA)- Sayyid Hassan Nasrallah amesema kuliweka jina la Hizbullah kwenye orodha ya makundi ya kigaidi hakutaathiri hata chembe azma na irada ya muqawama au mapambano.
Habari ID: 3474609 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/27
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Hizbullah amesema kuwa, mazoezi kijeshi yanayofanywa mara kwa mara ya na utawala haramu wa Israel ni kielelezo cha wasiwasi na woga wa utawala huo mkabala wa Lebanon
Habari ID: 3474544 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/12
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon Sayyed Hassan Nasrallah ametoa wito kwa Waislamu duniani kuungana ili waweze kukabiliana na njama za maadui.
Habari ID: 3474446 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/20
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema chama cha Al-Quwwatul-Lubnaniyyah (Lebanese Forces) kinalenga kuibua vita vya ndani nchini humo.
Habari ID: 3474442 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/19
Sayyid Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amelitaka Baraza la Mawaziri la nchi hiyo ya Kiarabu liombe kufutiwa vikwazo vya kuagiza mafuta kutoka Iran ili yawasaidia wananchi wa nchi hiyo ya Kiarabu.
Habari ID: 3474413 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/12
TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon kuhusu matukio ya karibuni kabisa ya kisiasa ya nchi hiyo na eneo.
Habari ID: 3474395 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/08
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kuwa, kambi ya muqawama inajivunia na uadu na ubeberu wa Marekani, uadui wa utawala haramu wa Israel na mipango ya utawala huo ghasibu dhidi ya harakati hii.
Habari ID: 3474218 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/23
Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amehutubu kwa mnasaba wa Siku ya Ashura na kusema, 'kukabiliana na utawala wa Kizayuni ni kipaumbele cha harakati ya muqawama (mapambano ya Kiislamu)"
Habari ID: 3474206 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/19
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa harakati ya Lebanon Hezbullah anasema kushindwa kwa Marekani nchini Afghanistan kunaonyesha ujinga wa wa wakuu wa Washington na kukosekana mahesabu katika sera zao kigeni.
Habari ID: 3474201 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/18
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema, kwa sasa harakati ya Hizbullah ni nembo kubwa ya muqawama na ina taathira ya kustaajabisha kitaifa na pia kikanda.
Habari ID: 3474188 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/14
TEHRAN (IQNA)-Katibu mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesistiza ulazima wa wale wanaohudhuria maombolezo ya Muharram kuzingatia kanuni za kiafya.
Habari ID: 3474181 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/11
Sayyid Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon ametahadharisha kuhusu njama za maadui za kuitumbukiza nchi hiyo kwenye lindi la vita vya ndani vya wenyewe kwa wenyewe.
Habari ID: 3474157 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/04
TEHRAN (IQNA)- Jumuiya ya Qur’ani ya Tawjih na Irshad ya Lebanon imetangaza washiriki 10 bora wa Mashindano ya Kwanza ya Kimataifa ya Qur’ani ya Oula-al-Qiblatain.
Habari ID: 3474106 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/16
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amelaani vikali hatua ya Marekani kuteka tovuti za vyombo vya habari vinavyounga mkono harakati za muqwama au mapambano ya Kiislamu na Iran katika eneo.
Habari ID: 3474074 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/06
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon Sayyed Hassan Nasrallah amempongeza Sayyid Ebrahim Raeisi kufuatia ushindi wake katika uchaguzi wa rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran uliofanyika Ijumaa.
Habari ID: 3474023 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/20