iqna

IQNA

IQNA- Mkuu wa Shirika la Iran la Utamaduni na Mahusiano ya Kiislamu (ICRO) amesema kuwa mazungumzo kati ya nchi za Kiislamu ni hitaji lisiloweza kuepukika katika kutatua changamoto za msingi za ubinadamu.
Habari ID: 3480688    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/15

IQNA – Qari na hafidh maarufu wa Qur’ani Tukufu kutoka Iran, Ustadh Hamed Shakernejad, ametajwa kuwa balozi wa kimataifa wa Qur’an wa Iran.
Habari ID: 3480323    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/07

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Kufuatia mauaji ya hivi sasa yanayofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Gaza, hakutakuwa na nafasi kwa ulimwengu wa Kiislamu kutegemea mazungumzo ya makubaliano na utawala huo, mwanazuoni mmoja wa Kiislamu amesema.
Habari ID: 3477895    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/15

Mkuu wa ICRO katika mkutano na Askofu wa Armenia
TEHRAN (IQNA) – Mkuu wa Shirika la Utamaduni na Mahusiano ya Kiislamu Iran (ICRO) anasema moja ya majukumu ya pamoja ya Uislamu na Ukristo ni kukuza nafasi ya dini katika maisha ya watu binafsi.
Habari ID: 3475707    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/30

Umoja wa Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Mkuu wa Shirika la Iran la Utamaduni na Uhusiano wa Kiislamu (ICRO) amesema ustaarabu mpya wa Kiislamu unaweza kupatikana tu kupitia umoja wa Waislamu.
Habari ID: 3475302    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/27