iqna

IQNA

Chuki dhidi ya Uislamu
Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: Kuivunjia heshima Qur'ani ni kuvunjia heshima na kudunisha ubinadamu na thamani za Kiislamu, na jamii ya Kiislamu haitavumilia suala hilo.
Habari ID: 3477217    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/30

Chuki dhidi ya Uislamu
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani jinai ya kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu nchini Sweden au Uswidi na kusema kuwa, kinachotarajiwa kwa serikali ya nchi hiyo ni kuzuia jinai kama hizo na kwamba serikali ya nchi hiyo ndiyo inayobeba jukumu na dhima yote a kuvunjiwa heshima mara kwa mara matukufu ya Kiislamu nchini humo.
Habari ID: 3477216    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/30

Chuki dhidi ya Uislamu
Ayatullah Sayyid Ali Sistani, Marjaa wa Waislamu wa Kishia nchini Iraq amelaani hatua ya Uswidi (Sweden) kuruhusu kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu nchini humo na ameutaka Umoja wa Mataifa kuchukua hatua za kuzuia kukaririwa vitendo vya kuvunjiwa heshima kitabu cha Waislamu cha Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3477215    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/30

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA)- Ofisi ya Mwendesha Mashtaka wa Malmö nchini Uswidei (Sweden) imetoa waranti wa kukamatwa kwa mwanasiasa mwenye misimamo mikali wa Denmark mwenye asili ya Uswidei "Rasmus Paludan" ambaye hivi karibuni aliivunjia heshima Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3476964    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/06

Askofu Mkuu wa Vienna
TEHRAN (IQNA) – Askofu Mkuu wa Vienna anasema kumtusi Mtume Muhammad (SAW) pamoja na kuvunjia heshima Qur’ani Tukufu ni mambo ambayo hayawezi kuhalalishwa kwa kisingizio cha uhuru wa kujieleza.
Habari ID: 3476652    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/03

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) - Mamlaka za Uswidi ziliamua kutoruhusu uchomaji moto wa nakala Qur'ani huko Stockholm kwa vile kuvunjiwa heshima matukufu ya Kiislamu nchini humo kumelaaniwa vikali na ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 3476536    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/09

Harakati za Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Wanaharakati wa Qur'ani Tukufu kutoka Iran na baadhi ya nchi kadhaa katika taarifa yao wamelaani vitendo vya hivi majuzi vya kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu barani Ulaya, wakizitaka serikali za nchi za Kiislamu kuchukua hatua madhubuti dhidi ya hatua hizo za kufuru.
Habari ID: 3476532    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/08

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) - Maseneta wa Russia wamelitaka Bunge la Ulaya kukemea hadharani vitendo vya hivi karibuni vya kuvunjiwa heshima wa Qur'ani nchini Uswidi na Uholanzi.
Habari ID: 3476509    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/04

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) ametahadharisha juu ya kiwango cha kutisha cha chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia )kufuatia kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu huko Ulaya hivi karibuni.
Habari ID: 3476500    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/01

Kongamano
TEHRAN (IQNA) - Mkutano wa kwanza wa kimataifa wa vyombo vya habari na umoja wa Umma wa Kiislamu umefanyika hapa katika mji mkuu wa Iran siku ya Jumatatu.
Habari ID: 3476487    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/30

Wasomi wa Afrika Kusini
TEHRAN (IQNA) – Wasomi wa Afrika Kusini wamesema vitendo vya kuvunjia heshima Qur'ani Tukufu ambavyo vimeshuhudiwa barani Ulaya hivi karibuni vinapaswa kulaaniwa.
Habari ID: 3476486    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/30

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) - Kundi kuu la upinzani nchini Bahrain, Jumuiya ya Kitaifa ya Kiislamu ya al-Wefaq, limelaani utawala unaotawala wa kifalme wa ukoo wa Al Khalifa kwa kuwazuia Waislamu kufanya maandamano ya kupinga kuvunjiwa heshima Qur'ani barani Ulaya.
Habari ID: 3476476    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/28

Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa mjini Tehran amesema serikali za Magharibi zinaunga mkono kuvunjiwa heshima dini za Mwenyezi Mungu hususan Uislamu.
Habari ID: 3476470    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/27

Chuki dhidi ya Uislamu barani Ulaya
TEHRAN (IQNA) - Rais wa Iran amekashifu kudharauliwa kwa Qur'ani Tukufu na kusema ni dharau kwa Dini za Abrahamu (Ibrahimu )
Habari ID: 3476468    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/26

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Waislamu wa Madhehebu ya Shia nchini wa Bahrain Sheikh Isa Qassim amelaani vikali kitendo cha kuchomwa moto Qur'ani Tukufu hivi karibuni katika nchi za Ulaya.
Habari ID: 3476466    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/26

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa taarifa kufuatia kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu katika nchi kadhaa za Ulaya na kusisitiza kuwa: "Kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu kiwendawazimu chini ya nara ya 'uhuru wa maoni' ni ishara kuwa uistikbari unalenga Uislamu na Qur'ani Tukufu."
Habari ID: 3476465    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/26

Kuvunjiwa heshima Qur’ani Tukufu Ulaya
TEHRAN (IQNA) - Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri kimetoa wito wa kususia bidhaa za Uswidi na Uholanzi ili kukabiliana vitendo viovu vya kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu katika mataifa hayo ya Ulaya hivi karibuni.
Habari ID: 3476461    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/25

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) – Baada ya kuvunjiwa heshima Qur’ani Tukufu nchini Uswidi mwishoni mwa juma, kulikuwa na kitendo kingine cha kufuru kilichotekelezwa na mmoja wa vinara wa harakati za chuki dhidi ya Uislamu Ulaya, wakati huu nchini Uholanzi.
Habari ID: 3476456    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/24

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) – Kufuatia kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu nchini Uswidi (Sweden) kikundi cha vijana kusini mashariki mwa Uturuki kilisambaza maua ya waridi makanisani.
Habari ID: 3476449    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/23

Waislamu Sweden
TEHRAN (IQNA) – Msikiti katika mji wa kusini mwa Uswidi (Sweden) wa Jönköping umehujumiwa na kuharibiwa kwa mara ya tatu katika kipindi cha miezi mitatu iliyopita.
Habari ID: 3475759    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/10