Chuki dhidi ya Uislamu
ROME (IQNA) - Papa Francis, Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, amelaani kibali alichopewa mtu mwenye msimamo mkali kuchoma nakala ya Qur'ani Tukufu nchini Uswidi wiki iliyopita.
Habari ID: 3477230 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/03
Chuki dhidi ya Uislamu
STOCKHOLM (IQNA) - Serikali ya Uswidi (Sweden) Jumapili ilitoa taarifa baada ya nakala ya Qur'ani Tukufu kuchomwa moto nje ya msikiti katika mji mkuu wa nchi hiyo, Stockholm.
Habari ID: 3477229 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/03
Chuki dhidi ya Uislamu
MUSCAT (IQNA)- Mufti wa Oman ametoa wito wa kususiwa bidhaa za Sweden kufuatia kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu huko Uswidi (Sweden).
Habari ID: 3477228 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/02
Chuki dhidi ya Uislamu
BRUSSELS (IQNA)- Umoja wa Ulaya umelaani vikali tukio la hivi majuzi la kuchomwa moto nakala ya Qur'ani Tukufu nje ya msikiti katika mji mkuu wa Stockholm nchini Uswidi, na kulitaja kuwa ni "kitendo cha wazi cha uchochezi."
Habari ID: 3477225 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/02
Chuki dhidi ya Uislamu
Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema mataifa ya Waislamu yana wajibu na jukumu la kulaani na kupinga vitendo vya nchi za Magharibi vya kuvunja heshima matukufu ya Kiislamu, hususan Qurani Tukufu.
Habari ID: 3477223 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/01
Chuki dhidi ya Uislamu
Rais wa Pakistan Arif Alvi amelaani vikali kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu nchini Uswidi (Sweden), huku akitaka kuchukuliwa hatua za kukomesha vitendo hivyo vya kufuru.
Habari ID: 3477222 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/01
Chuki dhidi ya Uislamu
Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imetangaza mkutano wa dharura kufuatia kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu hivi karibuni katika mji mkuu wa Stockholm wa Uswidi.
Habari ID: 3477220 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/01
Chuki dhidi ya Uislamu
Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: Kuivunjia heshima Qur'ani ni kuvunjia heshima na kudunisha ubinadamu na thamani za Kiislamu, na jamii ya Kiislamu haitavumilia suala hilo.
Habari ID: 3477217 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/30
Chuki dhidi ya Uislamu
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani jinai ya kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu nchini Sweden au Uswidi na kusema kuwa, kinachotarajiwa kwa serikali ya nchi hiyo ni kuzuia jinai kama hizo na kwamba serikali ya nchi hiyo ndiyo inayobeba jukumu na dhima yote a kuvunjiwa heshima mara kwa mara matukufu ya Kiislamu nchini humo.
Habari ID: 3477216 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/30
Chuki dhidi ya Uislamu
Ayatullah Sayyid Ali Sistani, Marjaa wa Waislamu wa Kishia nchini Iraq amelaani hatua ya Uswidi (Sweden) kuruhusu kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu nchini humo na ameutaka Umoja wa Mataifa kuchukua hatua za kuzuia kukaririwa vitendo vya kuvunjiwa heshima kitabu cha Waislamu cha Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3477215 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/30
Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA)- Ofisi ya Mwendesha Mashtaka wa Malmö nchini Uswidei (Sweden) imetoa waranti wa kukamatwa kwa mwanasiasa mwenye misimamo mikali wa Denmark mwenye asili ya Uswidei "Rasmus Paludan" ambaye hivi karibuni aliivunjia heshima Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3476964 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/06
Askofu Mkuu wa Vienna
TEHRAN (IQNA) – Askofu Mkuu wa Vienna anasema kumtusi Mtume Muhammad (SAW) pamoja na kuvunjia heshima Qur’ani Tukufu ni mambo ambayo hayawezi kuhalalishwa kwa kisingizio cha uhuru wa kujieleza.
Habari ID: 3476652 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/03
Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) - Mamlaka za Uswidi ziliamua kutoruhusu uchomaji moto wa nakala Qur'ani huko Stockholm kwa vile kuvunjiwa heshima matukufu ya Kiislamu nchini humo kumelaaniwa vikali na ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 3476536 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/09
Harakati za Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Wanaharakati wa Qur'ani Tukufu kutoka Iran na baadhi ya nchi kadhaa katika taarifa yao wamelaani vitendo vya hivi majuzi vya kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu barani Ulaya, wakizitaka serikali za nchi za Kiislamu kuchukua hatua madhubuti dhidi ya hatua hizo za kufuru.
Habari ID: 3476532 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/08
Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) - Maseneta wa Russia wamelitaka Bunge la Ulaya kukemea hadharani vitendo vya hivi karibuni vya kuvunjiwa heshima wa Qur'ani nchini Uswidi na Uholanzi.
Habari ID: 3476509 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/04
Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) ametahadharisha juu ya kiwango cha kutisha cha chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia )kufuatia kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu huko Ulaya hivi karibuni.
Habari ID: 3476500 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/01
Kongamano
TEHRAN (IQNA) - Mkutano wa kwanza wa kimataifa wa vyombo vya habari na umoja wa Umma wa Kiislamu umefanyika hapa katika mji mkuu wa Iran siku ya Jumatatu.
Habari ID: 3476487 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/30
Wasomi wa Afrika Kusini
TEHRAN (IQNA) – Wasomi wa Afrika Kusini wamesema vitendo vya kuvunjia heshima Qur'ani Tukufu ambavyo vimeshuhudiwa barani Ulaya hivi karibuni vinapaswa kulaaniwa.
Habari ID: 3476486 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/30
Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) - Kundi kuu la upinzani nchini Bahrain, Jumuiya ya Kitaifa ya Kiislamu ya al-Wefaq, limelaani utawala unaotawala wa kifalme wa ukoo wa Al Khalifa kwa kuwazuia Waislamu kufanya maandamano ya kupinga kuvunjiwa heshima Qur'ani barani Ulaya.
Habari ID: 3476476 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/28
Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa mjini Tehran amesema serikali za Magharibi zinaunga mkono kuvunjiwa heshima dini za Mwenyezi Mungu hususan Uislamu.
Habari ID: 3476470 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/27