GAZA (IQNA) - Tangu kuanza kwa mashambulizi ya anga katika Ukanda wa Gaza tarehe 7 mwezi Oktoba, utawala wa Israel ulishambulia kwa mabomu na kuharibu misikiti saba katika eneo hilo lililozingirwa na waisraeli.
Habari ID: 3477714 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/11
GAZA (IQNA) - Zaidi ya wakazi 120,000 wa Wapalestina wa Ukanda wa Gaza wameyakimbia makazi yao kutokana na mzozo unaoendelea kati ya vikosi vya upinzani na jeshi la Israel, Umoja wa Mataifa ulisema.
Habari ID: 3477702 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/09
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kuratibu Masuala ya Kibinadamu (OCHA) imesema zaidi ya Wapalestina milioni mbili huko Gaza (Ghaza) wanateseka kutokana na mzingiro wa miaka 16 wa utawala haramu wa Israel dhidi ya eneo hilo.
Habari ID: 3476492 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/31
Mashindano ya Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) – Mashindano ya usomaji wa Qur'ani na Tajweed yaliyoandaliwa kwa ajili ya wanafunzi wa shule yamehitimishwa nchini Palestina.
Habari ID: 3476276 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/20
Mapambano dhidi ya Israel
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon wapigania ukombozi wa Palestina kwa kupata uthubutu na ujasiri wa kujibu jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina.
Habari ID: 3475594 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/08