iqna

IQNA

Jinai za Israel
IQNA-Utawala wa Kizayuni wa Israel umewauwa maprofesa 94 wa vyuo vikuu, mamia ya walimu, na maelfu ya wanafunzi katika Ukanda wa Gaza katika muda wa miezi mitatu, kwa mujibu wa shirika moja huru la kutetea haki za binadamu.
Habari ID: 3478233    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/22

Jinai za Israel
IQNA-Serikali za Mexico na Chile zimeitaka Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) kuchunguza na kuwashtaki maafisa wa utawala wa Israel ambao wamehusika katika jinai za kivita dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3478215    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/19

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza katika kikao cha maimamu wa Ijumaa kote Iran kuwa: Watu madhulumu na wenye nguvu wa Ghaza wameweza kuwaathiri walimwengu kwa mapambano yao.
Habari ID: 3478205    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/16

Jinai za Israel
IQNA - Shirika la Umoja wa Mataifa la kutoa misaada ya kibinadamu (OCHA) liliripoti kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel umeendelea kuzuia utoaji wa misaada muhimu ya kibinaadamu ikiwa ni pamoja na dawa muhimu na mafuta ya kuendesha huduma za maji na usafi wa mazingira kaskazini mwa Gaza.
Habari ID: 3478204    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/16

Jinai za Israel
IQNA - Ofisi ya Kamishna Mkuu wa Haki za Kibinadamu (OCHR) imesisitiza haja ya kusitishwa mara moja mapigano katika Ukanda wa Gaza ili kumaliza mauaji na mateso ya wananchi wakati vita vya utawala wa Israel dhidi ya eneo hilo vikwa vinakaribia kutimia siku 100.
Habari ID: 3478189    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/13

Watetezi wa Palestina
IQNA-Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) imeanza kusikiliza shauri la kesi iliyofunguliwa na Afrika Kusini dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel, ambayo inaishutumu kwa kufanya mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina wa Gaza.
Habari ID: 3478184    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/11

Watetezi wa Palestina
IQNA-Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, amesema utawala haramu wa Israel umeshindwa kufikia malengo yake yoyote baada ya takriban siku 100 za vita vya mauaji ya kimbari katika Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3478183    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/11

Watetezi wa Palestina
IQNA- Nchi zaidi zimeungana na Afrika Kusini katika kesi iliyowasilishwa dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) kuhusu vita vya mauaji ya kimbari vya utawala huo kwenye dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza unaozingirwa.
Habari ID: 3478182    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/11

Watetezi wa Palestina
IQNA - Mkutano wa kimataifa umepangwa kufanyika Tehran wikendi hii kutangaza mshikamano na Wapalestina wa Ukanda wa Gaza, ambao wamekuwa chini ya mashambulizi yasiyo na kikomo ya utawala haramu Israel kwa zaidi ya miezi mitatu.
Habari ID: 3478181    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/11

Jinai za Israel
IQNA-Spika wa Bunge la Iran Mohammad Baqer Qalibaf anasema utawala wa Kizyauni wa Israel uliasisiwa kwa mauaji ya kimbari na vita na hivyo kuendelea kuwepo kwake kunategemea kutekeleza jinai hizo za kutisha.
Habari ID: 3478179    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/10

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, njama kubwa za maadui ni kuwatoa uwanjani wananchi wa Iran na kwamba Ukanda wa Gaza hivi sasa ni mfano wa wazi na wa kivitendo wa nguvu kubwa za wananchi huku akisisitiza kuwa historia haitasahau jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya wanawake na watoto Wapalestina.
Habari ID: 3478174    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/09

Jitihada
IQNA - Licha ya mashambulizi ya mauaji ya kimbari yanayotekelezwa na Israel dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza ambayo yamepelekea watu ya 23,000 kupoteza maisha na malaki kuyahama makazi yao, mafunzo ya Qur'ani Tukufu yanaendelea katika eneo hilo lililozingirwa.
Habari ID: 3478163    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/07

Watetezi wa Palestina
IQNA – Makumi ya makundi na mashirika ya kijamii nchini Marekani yametangaza azma ya kushiriki katika maandamano makubwa yaliyopangwa kufanyika Washington, DC, kuunga mkono Wapalestina wanaodhulumiwa na utawala haramu wa Israel katika Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3478158    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/06

Jinai za Israel
IQNA – Jinamizi ambalo watoto wa Gaza wanapitia linazidi kuwa mbaya siku hadi siku, mkurugenzi mtendaji wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) alisema.
Habari ID: 3478156    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/06

Jinai za Israel
IQNA – Utawala katili wa Israel umefyatua zaidi ya tani 65,000 za makombora na mabomu kwenye Ukanda wa Gaza tangu Oktoba 7, 2023, na kuua takriban watu 22,438, wengi wao wakiwa wanawake na watoto.
Habari ID: 3478150    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/05

Jinai za Israel
IQNA-Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, imeashiria mpango wa utawala wa Kizayuni wa Israel wa kuwafukuza kwa umati Wapalestina katika Ukanda wa Gaza na kutahadharisha kuwa, pendekezo la viongozi wa utawala huo wa Kizayuni la kutaka kupunguzwa idadi ya wakazi wa Gaza ni jinai ya kivita.
Habari ID: 3478128    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/01

Watetezi wa Palestina
IQNA-Afrika Kusini imefungua kesi dhidi ya utawala wa Kizayuni Israel katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) kuhusu mashambulizi ya "mauaji ya kimbari" ya utawala huo dhidi ya Gaza, ambayo hadi sasa yameua zaidi ya Wapalestina zaidi ya 21,500.
Habari ID: 3478112    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/30

Watetezi wa Palestina
IQNA-Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria chimbuko la matukio ya hivi karibuni huko Palestina na kusema kuwa, Marekani na utawala wa Kizayuni zinapaswa kushtakiwa kwa kufanya mauaji ya kimbari huko Gaza.
Habari ID: 3478082    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/24

Kadhia ya Palestina
IQNA-Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema utawala wa Israel hauwezi kufanya jinai nyingi kiasi hiki dhidi ya Wapalestina huko Ghaza bila ya uungaji mkono wa Marekani na Uingereza.
Habari ID: 3478081    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/23

Watetezi wa Palestina
IQNA-Wapiganaji wa harakati ya Mapambano ya Kiislamu (muqawama) ya Hizbullah ya Lebanon wameendelea na mashambulizi yao dhidi ya ngome za kijeshi la utawala haramu Israel karibu na mpaka kati ya Lebanon na ardhi zinazokaliwa kwa mabavu (Israel), kujibu vita vya utawala huo haramu wa Israel dhidi Wapalestina katika Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3478048    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/17