ukanda wa gaza - Ukurasa 5

IQNA

Jinai za Israel
IQNA-Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani mauaji yaliyofanywa na jeshi la utawala katili wa Israel dhidi ya wanafamilia wa Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) katika Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3478673    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/12

Qur'ani Tukufu
IQNA - Kundi la wahifadhi na wasomaji Qur'ani wamehitimu kozi ya Qur'ani iliyofanyika katika kambi moja ya wakimbizi huko Gaza.
Habari ID: 3478650    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/08

Kadhia ya Palestina
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema vikosi vya mapambano ya Kiislamu ya wapigania ukombozi au Muqawama na Wapalestina wote katika Ukanda wa Gaza ndio washindi kwenye medani ya vita na utawala wa Kizayuni wa Israel ni mwangamizaji wa kizazi na akasisitiza kwa kusema: kilele cha kuheshimika na kusimama imara watu wa Gaza na Palestina na kushindwa utawala wa Kizayuni katika vita hivyo vya miezi sita ni tukio na jambo lenye rehma za Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3478598    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/29

Ukanda wa Gaza
IQNA – Mjumuiko mkubwa wa futari umefanyika katika mji wa Rafah, kusini mwa Gaza, licha ya kuendelea mashambulizi ya utawala haramu Israel dhidi ya mji huo.
Habari ID: 3478586    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/26

Matukio ya Palestina
IQNA-Francesca Alnanese Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu za Palestina alisema jana katika ripoti kali iliyowasilishwa kwa umoja huo kuwa Israel imeua watoto wengi zaidi katika Ukanda wa Gaza katika kipindi cha miezi mitano iliyopita.
Habari ID: 3478514    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/14

Kadhia ya Palestina
IQNA- Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa: "Kusimama kidete na kishujaa wanamuqawama au wanamapamano wa Wapalestina wa Gaza, ni matukio ambayo yanakaribiana na muujiza, na yote haya yametokana na utamaduni wa Qurani na dalili zake tukufu kwa ulimwengu wote."
Habari ID: 3478513    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/14

Hali ya Gaza
IQNA – Jumuiya ya Kimataifa wa Wanazuoni wa Kiislamu (IUMS) imetoa wito kwa Waislamu kutoa Zaka na sadaqa katika mwezi mtukufu wa Ramadhani ili kuwaunga mkono watu wa Gaza.
Habari ID: 3478488    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/11

Watetezi wa Palestina
IQNA - Wnawake wanaharakati wanaounga mkono Palestina wameandamana katike eneo la Freedom Plaza katika mji mkuu wa Marekani, Washington, DC, kutangaza mshikamano na wanawake wa Kipalestina wanaoteseka huko Gaza, huku utawala wa Kizayuni wa Israel ukiendeleza mauaji ya kimbari katika eneo hilo.
Habari ID: 3478472    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/09

Hali ya Palestina
IQNA - Mashambulio yasiyokoma ya utawala katili wa Israel kwenye Ukanda wa Gaza uliozingirwa yamewanyima Waislamu duniani furaha ya mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3478469    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/08

Jinai za Israel
IQNA - Wakati dunia ikiadhimisha Siku ya Kimataifa ya Wanawake hii leo, ofisi ya vyombo vya habari vya serikali huko Gaza imeomboleza wanawake 8,900 wa Kipalestina waliouawa tangu Oktoba wakati utawala katili wa Israel ulipoanza mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina katika eneo hilo.
Habari ID: 3478468    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/08

Kadhia ya Palestina
IQNA-Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina, UNRWA, limeonya kuhusu vifo vingi vya watoto katika Ukanda wa Gaza huku kukiwa na ukosefu mkubwa wa chakula na upatikanaji wa maji salama na huduma za matibabu katika eneo hilo.
Habari ID: 3478456    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/05

Kadhia ya Palestina
IQNA - Makundi kadhaa ya wapigania ukombozi wa Palestina yametoa wito kwa watetezi wa haki kote ulimwenguni kujiunga na kampeni ya kimataifa iliyopewa jina la "Kimbunga cha Ramadhani.
Habari ID: 3478449    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/04

IQNA- Wapalestina wanaoishi katika kambi za wakimbizi Rafah, kusini mwa Ukanda wa Gaza, wanajiandaa kwa ajili ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani huku wanajeshi wa Israel wakiendelea vita vya mauaji ya kimbari dhidi ya eneo hilo.
Habari ID: 3478445    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/04

Watetezi wa Palestina
IQNA-Maandamano makubwa yamefanyika mbele ya ubalozi wa Israel mjini Washington DC, Marekani kulaani vita vya mauaji ya kimbari vinavyoendelezwa na utawala wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3478443    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/03

Jinai za Israel
IQNA - Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Al-Mustafa kinapanga kuandaa kongamano la kimataifa la "Miaka 75 ya kukaliwa kwa mabavu Palestina".
Habari ID: 3478437    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/01

Jinai za Israel
IQNA - Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ameeleza kusikitishwa kwake na ukatili ambao utawala wa Israel imekuwa ukitekelezwa kwa miezi kadhaa vita vyake vya mauaji ya kimbari dhidi ya Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3478435    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/01

Matukio yanayohusu Palestina
IQNA-Gazeti la New York Post limechapisha maelezo mapya kuhusu mwanajeshi wa Jeshi la Anga la Marekani, Aaron Bushnell ambaye alijichoma moto mbele ya ubalozi wa Israel mjini Washington akipinga mauaji ya kimbari yanayofanywa na utawala huo dhidi ya watu wa Gaza, na kumnukuu rafiki yake akisema kwamba Bushnell alimwambia ameona taarifa za siri zinazoonyesha ushiriki wa "vikosi vya jeshi Marekani katika kuua idadi kubwa ya Wapalestina.”
Habari ID: 3478433    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/29

Kadhia ya Al Aqsa
IQNA-Mkuu wa Ofisi ya Siasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amewataka Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu na utawala ghasibu Israel kuandamana hadi Msikiti wa Al-Aqsa katika siku ya kwanza ya mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3478432    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/29

Watetezi wa Palestina
IQNA-Waziri Kiongozi wa Scotland Humza Yousaf ameitaka Serikali ya Uingereza kusitisha uuzaji wa silaha kwa utawala wa Israel kutokana na utawala huo wa Kizayuni kuendeleza mauaji ya kimbari ya raia Wapalestina katika Ukanda Gaza.
Habari ID: 3478417    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/26

Jinai za Israel
IQNA-Rais Luiz Inácio Lula da Silva wa Brazil amesema kuwa, kinachofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel kwenye Ukanda wa Ghaza ni mauaji ya KIMBARI.
Habari ID: 3478407    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/24