Arabaeen 1435
BAGHDAD (IQNA) - Wizara ya mambo ya ndani ya Iraq imesema zaidi ya wafanyaziara milioni 3.4 wa kigeni wameingia katika nchi hiyo ya Kiarabu tangu kuanza kwa msimu wa Arbaeen.
Habari ID: 3477546 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/04
TEHRAN (IQNA) – Afisa wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Najaf nchini Iraq amesema uwanja huo umeandaliwa kupokea zaidi ya safari 200 za ndege kila siku kuanzia siku ya kwanza ya mwezi wa Hijri wa Safar unaotazamiwa kuanza Agosti 29.
Habari ID: 3475632 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/16