iqna

IQNA

Ufundishaji Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) – Klipi ya video inayomuonyesha mtoto wa miaka minne akimfundisha Qur'ani ndugu yake wa miaka mitatu imesambaa kwenye mitandao ya kijamii.
Habari ID: 3475928    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/14

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)-Katika muendelezo wa mpango wa chuki dhidi ya Uislamu, mara hii walowezi wa Kizayuni wamechoma moto nakala kadhaa za Qur'ani Tukufu huko katika ardhi za Palestina zilizopachikwa jina bandia la Israel.
Habari ID: 3475919    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/12

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Al Azhar cha nchini Misri kimelaani kile ilichokitaja kuwa ugaidi za Kizayuni, baada ya Walowezi wa Kiyahudi kuchoma moto Qur'ani Tukufu katika eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan, huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.
Habari ID: 3475912    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/11

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Hafla ya kufunga toleo la 6 la tuzo ya Kimataifa ya Qur’ani ya Sheikha Fatima Bint Mubarak kwa wanawake ilifanyika Dubai ambapo washindi walipokea tuzo zao.
Habari ID: 3475905    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/09

Qur'ani na Teknolojia
TEHRAN (IQNA)- Aplikesheni au Apu ya Qur’ani Tukufu yai "habloliman" imezinduliwa nchini Iran hivi karibuni ambapo humpa mtumiaji uwepo wa kusoma na kusikililiza Qur’ani Tukufu pamoja kozi 48 za mafunzo ya usomaji sahihi wa Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3475894    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/07

Fikra za Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Jahl (ujinga) ni sifa isiyofaa kwa mwanadamu kwani sio tu kwamba inaleta madhara kwa mtu mwenyewe, bali pia inaweza kuwapoteza watu wengine au makundi ya watu.
Habari ID: 3475893    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/07

Fikra za Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Qur’ani Tukufu ni kitabu cha maisha kinachowaongoza wanadamu kwenye ukamilifu na ufanisi; kwa hivyo inategemewa kwamba Kitabu hiki kitatoa majibu kwa maswali ya kimsingi kuhusu maisha.
Habari ID: 3475885    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/05

Fikra za Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Watu wana sura tofauti katika ulimwengu huu. Wengine ni warembo na wengine si warembo. Hawakuchagua jinsi wanavyoonekana bali Mungu amewachagua.
Habari ID: 3475880    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/04

Fikra za Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Wanadamu wanamkumbuka Mwenyezi Mungu kwa sifa na majina tofauti. Sifa hizi zinarejelea katika ukuu, nguvu, na huruma ya Mungu miongoni mwa sifa zingine.
Habari ID: 3475879    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/04

Sura za Qur'ani Tukufu /33
TEHRAN (IQNA) – Tofauti kati ya wanaume na wanawake ipo tu kwenye miili yao kwani wote wawili kwa mtazamo wa kiroho wako sawa na wanaweza kufikia ukamilifu. Uislamu hauoni tofauti kati ya wanaume na wanawake kwa mtazamo huu.
Habari ID: 3475870    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/02

Fikra za Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Katika imani ya Kiislamu, Barzakh ni jukwaa baina ya dunia na akhera ambalo linatutayarisha kutoka kwenye hatua ya dunia hii tuliyopo hadi dunia ijayo.
Habari ID: 3475865    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/01

Fikra za Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Wakati wa uhai wake na katika safari yake hapa duniani, mwanadamu hukabiliana na matatizo na dhiki mbalimbali.
Habari ID: 3475861    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/30

Fikra za Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Misikiti ina nafasi maalum katika Uislamu. Misikiti sio tu ni sehemu za ibada au Sala bali pia ina kazi mbalimbali za kidini, kijamii na kisiasa.
Habari ID: 3475860    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/30

Fikra za Kiislamu
Qur'ani Tukufu inataja kuota na athari zake kama suala muhimu, ikigusia juu yake katika aya kadhaa.
Habari ID: 3475842    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/26

Kujifunza Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Sheikh Mohamed Ata al-Basyuni ni mwalimu wa Qur'ani mwenye umri wa miaka 85 katika mji mmoja mkoani Gharbia nchini Misri.
Habari ID: 3475839    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/25

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Mwakilishi wa Iran katika Mashindano ya 28 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Croatia alitwaa tuzo ya juu katika kategoria ya qiraa au kisomo.
Habari ID: 3475838    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/25

TEHRAN (IQNA) – Chuo Kikuu cha Al Qasimia, katika Umoja wa Falme za Kiarabu(UAE), kimehitimisha duru ya kwanza la Jukwaa la Kimataifa la Qur’ani.
Habari ID: 3475832    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/24

Fikra za Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Uislamu unasisitiza juu ya mwingiliano mzuri wa kiuchumi, ukisisitiza kwamba mtu anapaswa kujitahidi kupata pesa kwa nj ambazo ni ‘Halal’ au kwa mujibu wa mafundisho ya Kiislamu.
Habari ID: 3475830    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/23

Fikra za Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Mwanadamu kiuhalisia hufuata ukweli. Anataka kusikia, kuona na kusema ukweli, lakini wakati mwingine husahau asili yake na kwa kusema uwongo o na hivyhuacha ukweli.
Habari ID: 3475823    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/22

Wasomaji Maarufu wa Qur'ani Tukufu /4
TEHRAN (IQNA)- Qarii maarufu wa Qur’ani kutoka Misri,marhum Ustadh Sidiq Minshawi alikuwa na qiraa ambayo imedumu na inaendelea kuwavutia mamilioni hadi leo.
Habari ID: 3475818    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/21