qurani tukufu - Ukurasa 53

IQNA

Waliobobea
IQNA – Muhammad Abdul Hadi Muhammad al-Hilbawi alizaliwa katika wilaya ya Bab al-Sharia mjini Cairo mnamo Februari 9, 1946, alianza kuhifadhi Qur’ani Tukufu akiwa mtoto chini ya uongozi wa babu yake.
Habari ID: 3478328   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/10

Chuki dhidi ya Uislamu
IQNA-Mahakama ya Uhajiri ya Uswidi (Sweden) imetangaza kwamba, mtafuta hifadhi wa Iraq, ambaye amefanya vitendo kadhaa vya kuivunjia heshima Qur'ani Tukufu, atafukuzwa nchini humo.
Habari ID: 3478324   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/09

Watetezi wa Palestina
IQNA - Mashabiki wa soka wanamtaja Mousa Mohammad Mousa Sulaiman Al-Tamari kama "Messi wa Jordan".
Habari ID: 3478318   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/07

Qur'ani Tukufu
IQNA - Maonyesho yanayoangazia kazi za sanaa za Qur'ani Tukufu na bidhaa husika kutoka Iran yamezinduliwa katika mji mkuu wa Thailand wa Bangkok.
Habari ID: 3478317   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/07

Teknolojia
IQNA - Kongamano la teknolojia ya Qur'ani Tukufu limepangwa kufunguliwa katika mji mkuu wa Saudia wa Riyadh wikendi hii. Itahudhuriwa na kundi la wataalam, wasomi na weledi wa teknolojia.
Habari ID: 3478316   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/07

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Jopo la waamuzi wa Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani yanayoendelea Port Said, Misri, limewataja washindi wa duru ya kwanza.
Habari ID: 3478314   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/06

Pepo Katika Qur'ani / 4
IQNA – Imebainishwa katika aya za Qur’ani Tukufu kwamba dunia hii ni mahali ambapo mwonekano wa mambo unadhihiri na akhera ni mahali pa kuteremshwa Malakut yao.
Habari ID: 3478309   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/05

Harakati za Qur'ani
IQNA - Wawakilishi kutoka zaidi ya nchi 40 wanashiriki katika mashindano ya 19 ya kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Algeria.
Habari ID: 3478307   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/05

Utamaduni
IQNA - Waandaaji wa toleo la 55 la Maonyesho ya Kimataifa ya Vitabu ya Cairo wanasema Misahafu au nakala za Qur’ani Tukufu ni vitabu vinavyouzwa kwa wingi zaidi katika hafla hiyo ya kitamaduni.
Habari ID: 3478306   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/05

Pepo Katika Qur'ani /3
IQNA – Qur’ani Tukufu, katika Surah Muhammad (SAW), inataja mito minne peponi ambayo ndani yake kuna maji safi, maziwa, Sharaban Tahur (mvinyo usiolewesha), na asali safi inayotiririka.
Habari ID: 3478298   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/03

Watetezi wa Qur'ani
IQNA - Washiriki wa mashindano ya kimataifa ya Qur'ani huko Port Said, Misri, walifanya maandamano ya kuwaunga mkono Wapalestina wanaodhulumiwa wa Gaza.
Habari ID: 3478294   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/03

Harakati za Qur'ani
IQNA - Vituo kadhaa vya Qur'ani vimejengwa kwenye njia ya mamilioni ya wafanyaziara wanaotaka kuadhimisha kumbukumbu ya kuuawa shahidi Imam Musa Kadhim (AS) nchini Iraq.
Habari ID: 3478290   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/02

Pepo Katika Qur'ani /2
IQNA – Wakati uzuri wa pepo hauelezeki au kudirikiwa kikamilifu na mwanadamu, Qur'ani Tukufu inailinganisha na mandhari ya ajabu katika dunia hii ambayo daima ni ya kijani kibichi na yenye shime na mito ya maji safi ambayo inapita chini ya bustani zake.
Habari ID: 3478285   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/01

Qarii
IQNA – Sheikh Shaban Abdul Aziz Sayyad, qari mashuhuri wa Misri ambaye alijulikana kwa ufasaha, uwezo na umahiri wake wa kusoma Qur’ani Tukufu, alifariki Januari 29, 1998, akiwa na umri wa miaka 58.
Habari ID: 3478284   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/01

IQNA - Siku ya 27 ya mwezi wa Hijri wa Rajab iliteuliwa kuwa Siku ya Kitaifa ya Kurani Tukufu nchini Iraq.
Habari ID: 3478283   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/01

Uislamu
IQNA - Makumi ya vijana wa Kiislamu nchini Madagaska (Madagascar) walishiriki katika tukio la kipekee kama sehemu ya ibada ya Itikaf, iliyomalizika Januari 26, 2024.
Habari ID: 3478282   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/01

Watetezi wa Palestina
IQNA - Mufti Mkuu wa Tajikistan amesisitiza ulazima wa kuwepo umoja katika ulimwengu wa Kiislamu ili kuiokoa Palestina kutokana na ukandamizaji na kukaliwa kwa mabavu.
Habari ID: 3478277   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/30

Harakati za Qur'ani
IQNA - Maonesho ya 31 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Tehran yatafanyika wakati wa likizo ya Nowruz, yaani mwaka mpya wa Kiirani katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani afisa mmoja alisema.
Habari ID: 3478276   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/30

Harakati ya Qur'ani
IQNA - Wizara ya Utamaduni na Miongozo ya Kiislamu ya Iran imetangaza kuzindua kituo cha tarjama au tarjuma ya Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3478275   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/30

Pepo Katika Qur'ani/2
IQNA – Baraka ambazo waumini watazipata peponi hatuwezi kuzifahamu na kuzidiriki kikamilifu kwani akhera ni dunia iliyo bora zaidi, kubwa na ya juu kuliko dunia hii.
Habari ID: 3478274   Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/29