iqna

IQNA

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Washindani wanaendelea kuonyesha vipaji vyao katika duru ya mwisho ya toleo la 45 la Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani Tukufu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3476402    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/14

Mashindano ya Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) – Toleo la 23 la Mashindano ya Qur’ani Tukufu ya Sheikha Hind Bint Maktoum yalimalizika katika Umoja wa Falme za Kiarabu siku ya Alhamisi.
Habari ID: 3476401    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/14

Harakati za Qur'ani Sudan
TEHRAN (IQNA)- Idadi kubwa ya wananchi wameshiriki katika sherehe ya kuwapongeza wanafunzi wanafunzi 150 waliohifadhi Qur'ani katika shule za mji wa Hamshkorib Kaskazini-Mashariki mwa Sudan.
Habari ID: 3476399    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/13

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Afisa mmoja wa Palestina anasema takriban wakazi 13,000 Wapalestina katika mji wa al-Quds (Jerusalem) inayokaliwa kwa mabavu huenda wakalazimika kuyahama makazi yao kutokana na sera za utawala ghasibu wa Israel.
Habari ID: 3476398    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/13

Qiraa bora
TEHRAN (IQNA) – Muhammad Irshad Murabaei ni qari mwenye ulemavu wa macho nchini Algeria ambaye pia ni imamu wa sala nchini humo.
Habari ID: 3476393    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/12

Harakati za Qur'ani Misri
TEHRAN (IQNA) – Wizara ya Wakfu ya Misri imesema imetayarisha programu mbalimbali za Qur’ani Tukufu na za kidini kwa ajili ya mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3476388    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/11

Tafsiri na Wafasiri wa Qur'ani Tukufu /14
TEHRAN (IQNA) – Sayed Radhi katika kitabu chake ‘Talkhis al-Bayan fi Majazat al-Quran’ anazungumzia muujiza wa Qur'ani Tukufu kwa mtazamo balagha na sitiari.
Habari ID: 3476386    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/11

Wanazuoni Mashuhuri wa Ulimwengu wa Kiislamu /16
TEHRAN (IQNA) – Mwanachuoni na mtafiti wa Kimisri Abd al-Razzaq Nawfal alisoma sayansi ya kilimo lakini akavutiwa na fani ya masomo ya Kiislamu na hivyo akaamua kusoma taaluma ya miujiza ya kisayansi ya Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3476372    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/08

Shughuli za Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Rais wa Mauritania Mohamed Ould Ghazouani ametembelea maonyesho ya Qur'ani Tukufu katika mji mkuu wa nchi hiyo Nouakchott.
Habari ID: 3476370    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/07

Wanasoka Waislamu
TEHRAN (IQNA)-Klipu ya video inaendelea kusambaa katika mitandao ya kijamii ikumuonyesha mchezaji wa zamani wa Timu ya Soka ya Arsenal ya Uingereza, Vassiriki Abou Diaby akisoma aya za Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3476369    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/07

Sura za Qur'ani Tukufu /54
TEHRAN (IQNA) – Wanasayansi hawajapata sababu ya mpasuko unaoonekana katika mwezi lakini baadhi yao wanasema mpasuko huo ulijiri mamia ya miaka iliyopita.
Habari ID: 3476368    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/07

Waislamu Pakistan
TEHRAN (IQNA) – Serikali ya Pakistan itafuatilia tarjuma za Qur'ani Tukufu zilizo katika mitandao ya kijamii nchini humo ili kuhakikisha kuwa ni shahihi kwenye mitandao ya kijamii.
Habari ID: 3476362    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/06

Wanazuoni Mashuhuri wa Ulimwengu wa Kiislamu/14
TEHRAN (IQNA) – Kitabu kiitwacho ‘Mabahith fi Tafsir al-Madhuei’ (Majadiliano Kuhusu Tafsiri ya Kimadhari) ni mojawapo ya kazi kuu za mwanazuoni wa Syria Sheikh Mustafa Muslim kuhusu tafsiri ya Qur’ani.
Habari ID: 3476352    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/03

Tafsiri na Wafasiri wa Qur'ani Tukufu /13
TEHRAN (IQNA) – Tafsir ya Surabadi ni tafsiri ya Qur'ani Tukufu iliyoandikuwa na mwanachuoni wa Kisunni Aboubakr Atiq ibn Muhammad Heravi Nishaburi, anayejulikana kama Surabadi au Suriyani.
Habari ID: 3476347    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/02

Wanazuoni Mashuhuri wa Ulimwengu wa Kiislamu/13
TEHRAN (IQNA) – Sheikh Mustafa Muslim (1940-2021) alikuwa mtu mashuhuri katika uwanja wa sayansi za Qur’ani ambaye aliandika vitabu 90, ikiwa ni pamoja na ensaiklopidia za sayansi za Qur’ani.
Habari ID: 3476346    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/02

Historia ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) – Jumba la Makumbusho La Louvre la Paris limefungua maonyesho mapya ambayo kwa kiasi fulani yanaonyesha baadhi ya kurasa za mojawapo ya nakala kongwe zaidi za Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3476344    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/02

Sura za Qur'ani Tukufu / 52
TEHRAN (IQNA)- Mengi yamesemwa kuhusu akhera na maisha baada ya kifo na miongoni mwa imani kuu juu yake ni ile ya watu wa dini hasa Waislamu wanaoamini kuwa matendo ya kila mtu yatapimwa Siku ya Kiyama na kwa kuzingatia tathmini hiyo atakwenda ama peponi au motoni.
Habari ID: 3476334    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/31

Shughuli za Qur'ani Tukufu Misri
TEHRAN (IQNA) - Wizara ya Wakfu ya Misri katika ripoti iliangazia shughuli zake mwaka 2022, na kusema kuandaa mashindano ya kitaifa na ya kimataifa ya Qur'ani Tukufu kuwa miongoni mwa kazi muhimu zaidi ilizofanya.
Habari ID: 3476329    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/30

Shughuli za Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) - Jumuiya ya Misaada ya Al-Najat ya Kuwait imesema zaidi ya wanafunzi 4,600 wamefaidika na programu zake za elimu ya Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3476326    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/29

Uislamu na Ukristo
TEHRAN (IQNA) – Katika mnasaba wa Krismasi, ambayo ni siku ya kuadhimisha siku ya kuzaliwa Nabii Isa Masih bin Maryam-Amani ya Mwenyezi Mungu iwe juu yake-,, qari wa Iraq alisoma aya za Sura Al Imran ya Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3476322    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/28