Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Vipindi vya toleo la sita la Tuzo ya Katara ya Kuhifadhi Qur’ani Tukufu vitaonyeshwa kwenye Televisheni ya Qatar katika mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3476747 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/23
Harakati za Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Rais wa Maldives (Maldivi) alitoa wito kwa watu kuutumia vyema mwezi mtukufu wa Ramadhani, ambao huenda ukaanza siku ya Alhamisi, na kutafuta faraja na nguvu katika mwanga wa nuru ambayo ni Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3476738 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/21
Aya za Machipuo/ 2
TEHRAN (IQNA) - Wakati Wairani na mataifa mengine kadhaa wakisherehekea siku kuu ya Nowruz, kuashiria mwanzo wa majira ya machipuo, ni wakati muafaka wa kuashiria aya za Qur'ani Tukufu kuhusu kuhuishwa ardhi katika majira ya kuchipua baada ya msimu wa majira ya baridi kali. Kwa hakika machipuo nidalili za rehema na uwezo wa Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3476737 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/21
Wanamichezo Waislamu
Tehran (IQNA) - Picha za Sadio Mane mchezaji wa Timu ya Soka ya Taifa ya Senegal ambaye pia ni mchezaji wa Klabu Bayern Munich ya Ujerumani akisoma Qur’ani Tukufu imesambaa katika mitandao kijamii na kuwavutia .
Habari ID: 3476736 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/21
Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) - Hatua ya hivi majuzi ya wanajeshi kadhaa wa Ukraine kuteketeza moto nakala ya Qur'ani Tukufu inaendelea kulaaniwa vikali , huku rais wa Jamhuri ya Chechnya katika Shirikisho la Russia akiapa kuwatafuta na kuwaadhibu wale waliohusika na kitendo hicho kichafu.
Habari ID: 3476722 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/18
Tarjuma ya Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) - Maktaba ya Kitaifa ya Russia imeandaa hafla siku ya Alhamisi kumkumbuka na kumuenzi marehemu mwanahistoria wa mashariki na mtarijumani wa Qur'ani Tukufu kwa Kirusi Ignatius Krachkovsky.
Habari ID: 3476721 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/17
Mwezi wa Ramadhani
TEHRAN (IQNA) - Jumuiya ya Darul Qur'an al-Karim ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inapanga kufanya duru 2,500 za usomaji wa Qur'ani nchini wakati wa mwezi mtukufu ujao wa Ramadhani.
Habari ID: 3476712 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/16
Harakati za Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Washindi wa toleo la 9 la mashindano ya Qur'ani kwa Waislamu barani Ulaya walitunukiwa zawadi katika hafla ya kufunga iliyofanyika Ujerumani.
Habari ID: 3476711 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/15
Harakati za Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) – Toleo la tano la semina kuhusu miujiza ya kimatibabu ya Qur'ani Tukufu ilianza katika Mji wa Gaza.
Habari ID: 3476710 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/15
Qur'ani Tukufu Inasemaje/ 47
TEHRAN (IQNA) – Mwito unapowaalika watu kumwamini Mwenyezi Mungu, wapo wanaofuata wito na kunakuwa na umoja miongoni mwa wanaoukubali wito huu.
Habari ID: 3476709 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/15
Maonyesho ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Tehran
TEHRAN (IQNA) - Mkuu Duru ya 30 ya Maonyesho ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Tehran amesema mawaziri wa wakfu na utamaduni wa nchi saba watatembelea tukio hilo la Qur'ani.
Habari ID: 3476703 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/14
Harakati za Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) - Serikali imekubali kuchangia USD 450,000 kwa Jumuiya ya Kitaifa ya Taasisi za Kuhifadhi Qur'ani Tukufu (Tahfidh Al-Quran) ili kuwezesha taasisi za tahfiz nchini, amesema Naibu Waziri Mkuu Datuk Seri Dk Ahmad Zahid Hamidi.
Habari ID: 3476697 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/12
Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Toleo la 9 la Mashindano ya Qur’ani Tukufu kwa Waislamu wa barani Ulaya yataanza Ijumaa mjini Hamburg, Ujerumani.
Habari ID: 3476681 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/09
Qurani Tukufu
TEHRAN (IQNA) – Sherehe ilifanyika katika mji wa Giza, Misri, kwa ajili ya kuwaenzi wasichana ambao wamejifunza Qur’ani Tukufu kwa moyo kikamilifu.
Habari ID: 3476677 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/08
Mwezi wa Ramadhani
TEHRAN (IQNA) - Wizara ya Masuala ya Kiislamu ya Saudia imesema inapanga kusambaza nakala milioni moja za Qur'ani Tukufu katika lugha tofauti katika nchi 22.
Habari ID: 3476673 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/07
Qiraa ya Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) – Maelfu ya watu walihudhuria mahafali ya kusoma Qur’ani Tukufu iliyofanyika Bangladesh ambapo qari wa Misri Mahmoud Kamal al-Najjar alisoma aya za Kitabu kitakatifu.
Habari ID: 3476667 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/06
Askofu Mkuu wa Vienna
TEHRAN (IQNA) – Askofu Mkuu wa Vienna anasema kumtusi Mtume Muhammad (SAW) pamoja na kuvunjia heshima Qur’ani Tukufu ni mambo ambayo hayawezi kuhalalishwa kwa kisingizio cha uhuru wa kujieleza.
Habari ID: 3476652 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/03
Harakati za Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) – Muda wa mwisho wa kushiriki katika mashindano ya kimataifa ya 'Miujiza ya Qur'ani na Sunnah' umeongezwa kwa miezi miwili, kwa mujibu wa waandaaji.
Habari ID: 3476646 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/02
Umoja wa Waislamu
TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu Idara ya Mfawidhi wa Haram Takatifu ya Imam Hussein (AS) huko Karbala, Iraq, amesema Waislamu duniani kote wanapaswa kuungana chini ya bendera ya Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3476640 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/28
Mwezi wa Ramadhani
TEHRAN (IQNA) – Katibu Mkuu wa Baraza la Dunia la Ahl-ul-Bayt (AS) alisisitiza haja ya kuandaa vikao vya Qur’ani katika Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Ahl-ul-Bayt (AS) katika mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3476638 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/28