iqna

IQNA

Mawaidha
TEHRAN (IQNA) – Baadhi ya aya za Qur’ani Tukufu zinahusu Usiku wa Qadr (Laylatul Qadr) na zinaweza kutusaidia kutambua hadhi muhimu ya usiku huu iwapo tutazingatia.
Habari ID: 3476850    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/11

Mwezi wa Ramadhani
Kwa mujibu wa Surat Al-Qadr katika Qur'ani Tukufu, Ramadhani ni mwezi uliobarikiwa ambapo Mtume Muhammad SAW aliteremshiwa Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3476848    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/11

Mawaidha
TEHRAN (IQNA) – Kwa mujibu wa aya za Qur’ani Tukufu, Usiku wa Qadr au Laylatul Qadr ni usiku wenye fadhila nyingi zaidi mbele ya Mwenyezi Mungu. Usiku huu una sifa maalum na hadhi maalum sana miongoni mwa Waislamu.
Habari ID: 3476840    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/09

Siku ya Kimataifa ya Quds
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon ameto mwito kwa wapenda haki kujitokeza kwa wingi katika maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds.
Habari ID: 3476832    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/08

Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran amesema kuwa, Siku ya Kimataifa ya Quds ni kumbukumbu ya Imam Khomeini (MA) na nembo ya kuwa hai tafa la Kiislamu la Iran.
Habari ID: 3476829    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/07

Shakhsia katika Qur'ani Tukufu /36
TEHRAN (IQNA) – Baada ya kuona dalili za adhabu ya Mwenyezi Mungu, watu wa Nabii Yunus walitubu lakini Yunus (AS) hakusubiri na akasisitiza juu ya adhabu yao. Kwa hiyo, kwa amri ya Mwenyezi Mungu, nyangumi akammeza Yunus (AS).
Habari ID: 3476820    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/06

Umrah
TEHRAN (IQNA) - Katika siku 10 za mwanzo za mwezi uliobarikiwa wa Ramadhani zaidi ya nakala 30,000 za Qur'ani zilisambazwa miongoni mwa Waislamu wanaoshiriki kaktika Hija Ndogo ya Umrah na wageni wa Msikiti Mkuu wa Makka, Al Masjid Al Haram a, na Msikiti wa Mtume SAW, Al-Masjid an-Nabawi,.
Habari ID: 3476817    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/05

Mawaidha
TEHRAN (IQNA) – Muumini wa kweli si yule anayefikiria tu kuhusu mambo ya kiroho kwa sababu muumini wa kweli hawezi kuwa mwenye kutojali ukiukwaji wa haki za wengine.
Habari ID: 3476816    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/05

Wasomaji Maarufu wa Qur'ani Tukufu /30
TEHRAN (IQNA) – Baada ya kusikia kisomo cha Qur'ani cha qari mashuhuri wa Misri Sheikh Muhammad Rifat wakati wa Vita vya Pili vya Dunia, rubani mmoja wa Kanada alipendezwa na Uislamu na baadaye akaenda Misri kusilimu mbele ya msomaji huyo maarufu wa Quran Tukufu.
Habari ID: 3476812    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/04

Waziri wa Utamaduni na Muongozo wa Kiislamu Iran
TEHRAN (IQNA) - Waziri wa Utamaduni na Miongozo ya Kiislamu Iran ameyataja Maonyesho ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Tehran kama fursa kwa nchi za Kiislamu kukusanyika pamoja na kunufaika na mafundisho ya Kiislamu na Qur'ani.
Habari ID: 3476809    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/04

Ushirikiano wa Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Kituo cha Utamaduni cha Iran mjini Kampala, mji mkuu wa Uganda, kimetia saini mkataba wa maelewano (MoU) na Idhaa ya Kiislamu ya Bilal ya nchi hiyo ya kuhusu ushirikiano katika nyanja za kitamaduni.
Habari ID: 3476807    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/03

Kukabiliana na maadui wa Uislamu
TEHRAN (IQNA) - Yemen imepiga marufuku kuingia kwa bidhaa zinazozalishwa na nchi za Ulaya ambazo zimewezesha kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu, ambapo kiongozi wa harakati ya muqawama ya Ansarullah ameitaja hatua wanayochukua kuwa ni "vikwazo vya kiuchumi".
Habari ID: 3476802    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/02

Maonyesho ya Qur'ani ya Tehran
TEHRAN (IQNA)- Maonyesho ya 30 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Tehran yamefunguliwa rasmi Jumamosi na Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Sayyid Ebrahim Raisi.
Habari ID: 3476799    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/02

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) - Wizara ya Mambo ya Nje ya Uturuki imemwita balozi wa Denmark nchini humo ili kutoa malalamiko yake ya kupinga kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu katika nchi hiyo ya Ulaya.
Habari ID: 3476795    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/01

Kiongozi wa Ansarullah
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa harakati ya wananchi ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, watu wanaoongoza jinai ya kuvunjia heshima matukufu ya Kiislamu na kulikariri hilo ni lobi za Wazayuni.
Habari ID: 3476789    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/31

Mwezi wa Ramadhani
TEHRAN (IQNA) – Kwa mwaka wa pili mfululizo, mamia ya Waislamu waliokuwa katika Saumu ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani walifuturu na kusali Sala ya tarawehe katika uwanja wa Times Square mjini New York nchini Marekani.
Habari ID: 3476786    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/30

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA)- Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani wimbi la kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu na makundi yenye misimamo mikali ya mrengo wa kulia nchini Denmark na katika nchi nyingine za Ulaya.
Habari ID: 3476779    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/29

Mwezi wa Ramadhani
TEHRAN (IQNA)- Mwenyezi Mungu Mtukufu amewataka waumini kuwa na uthabiti na kushikamana katika sala zao na wasiwe kama washirikina. Haya ni kwa mujibu wa aya ya 31 ya Surah Ar-Rumn katika Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3476778    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/29

Mwezi wa Ramadhani
TEHRAN (IQNA) - Mwezi mtukufu wa Ramadhani, unaosifiwa kuwa ni mwezi wa Qur'ani Tukufu, ni fursa nzuri zaidi ya kujikurubisha na kitabu hicho cha Mwenyezi Mungu na kutafakari aya zake.
Habari ID: 3476777    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/29

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, Qarii wa Qur'ani ni mfikishaji wa ujumbe na risala ya Mwenyezi Mungu na ili kufikisha ujumbe huo kwa njia nzuri ana haja ya kuwa na sauti nzuri na usomaji bora kabisa.
Habari ID: 3476750    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/24