iqna

IQNA

Kombe la Dunia la Qatar
TEHRAN (IQNA) – Klipu ya video imesambaa kwa kasi kubwa katika mitandao ya kijamuu ikimuonyesha Mbosnia Hafhid wa Qur'ani Fatih Seferagic akisoma baadhi ya aya baada ya ombi la mashabiki wa Morocco katika jiji kuu la Doha walipokuwa wakisherehekea ushindi wa kihistoria wa timu yao dhidi ya Kanada siku ya Alhamisi kwenye Kombe la Dunia la FIFA la 2022.
Habari ID: 3476196    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/04

Harakati za Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Jumuiya ya walimu na wataalamu wa Qur'ani Tukufu iliyoanzishwa nchini Mauritania ilianza shughuli zake katika sherehe iliyofanyika katika mji mkuu wa nchi hiyo, Nouakchott.
Habari ID: 3476193    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/04

Ukweli katika Qur'ani Tukufu / 8
TEHRAN (IQNA) – Kuna uwiano maridadi katika maumbile katika maeneo mbalimbali, kwa mfano kati ya kiasi cha oksijeni anachopokea binadamu na kiasi kinachotolewa na mimea na pia kati ya kaboni dioksidi iliyotolewa na binadamu na ile inayotumiwa na mimea.
Habari ID: 3476190    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/03

Sura za Qur'ani Tukufu /44
TEHRAN (IQNA) – Ukweli wa kila kitu uko wazi na dhahiri lakini wengine wanakanusha kwa sababu mbalimbali, kama vile kuepuka tishio kwa maslahi yao binafsi au ya kikundi.
Habari ID: 3476188    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/03

Qur'ani Tukufu katika Maisha
TEHRAN (IQNA) - Kongamano limepangwa kufanyika katika mji mkuu wa Malaysia Disemba 3 kujadili masuluhisho ya Qur'ani Tukufu kwa ajili ya kukabiliana na changamoto za siku hizi.
Habari ID: 3476185    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/02

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Rais wa Kyrgyzstan, Sadyr Japarov, amekutana na mwakilishi wa nchi hiyo aliyeibuka mshindi wa mashindano ya hivi karibuni ya kimataifa ya Qur'ani nchini Saudi Arabia.
Habari ID: 3476184    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/02

TEHRAN (IQNA) – Duru ya mwisho ya Mashindano ya 25 ya Kitaifa ya Qur’ani nchini Lebanon ilifanyika mjini Beirut Jumapili, Novemba 27.
Habari ID: 3476175    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/30

Harakati za Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) - Mamia ya watu walihudhuria mazishi ya Sheikh Mohamed Mahmoud al-Qadim, mwalimu na hafidh wa Qur'ani mzee zaidi katika Mkoa wa Gharbia nchini Misri
Habari ID: 3476174    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/30

Wanazuoni Mashuhuri wa Ulimwengu wa Kiislamu / 8
TEHRAN (IQNA) – Dkt. Fawzia al-Ashmawi alikuwa mwanazuoni ambaye alitumia maisha yake kueleza na kufafanua kuhusu hadhi ya wanawake katika Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3476171    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/30

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Wizara ya Wakfu ya Misri imesema inazindua mashindano ya walimu wa Qur'ani nchini humo.
Habari ID: 3476170    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/29

Harakati za Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Algeria imewazawadia safari Umrah kwa wanafunzi 168 wa vyuo vikuu ambao wamefanikiwa kuhifadhi Qur’ani Tukufu kikamilifu..
Habari ID: 3476162    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/28

Tafsiri za Qur'ani Tukufu na Wafasiri/ 9
TEHRAN (IQNA) – Mwandishi wa Tafsiri ya Qur'ani Tukufu ya Makhzan al-Irfan fi Tafsir al-Qur'an alikuwa ni mwanamke ambaye alifikia kiwango cha juu kabisa katika elimu ya Fiqh na alikuwamwanamke wa kwanza kuandika tafsiri nzima ya Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3476160    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/28

Harakati za Qur'ani Misri
TEHRAN (IQNA) - Baadhi ya maqarii au wasomaji maarufu zaidi wa Qur'ani Tukufu walihudhuria sherehe za uzinduzi wa msikiti katika Jimbo la Qalyubia nchini Misri.
Habari ID: 3476151    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/26

Usomaji Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Sheikh Abdul Aziz al-Kar’ani ni imami katika Msikiti wa Al Ghazi Ayyaz Casablanca, Morocco.
Habari ID: 3476142    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/24

Qur'ani nchini Misri
TEHRAN (IQNA) - Waziri wa Wakfu wa Misri alimteua Mustafa Muhammad Mustafa Abdullah Abu al-Amayim kama mwalimu wa mfano wa Qur'ani wa nchi hiyo mnamo 2022.
Habari ID: 3476135    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/23

Kombe la Dunia Qatar
TEHRAN (IQNA)- Hatu ya kusomwa Qur'ani Tukufu katika sherehe za ufunguzi wa Kombe la Dunia la 2022 nchini Qatar uliambatana na sifa nyingi kutoka kwa watumiaji wa mitandao ya kijamii katika intaneti, kiasi kwamba neno 'Quran' kwa Kiingereza limeongoza kwa siku kadhaa katika maneneo yanayotafutwa katika mitandao ya kijamii hasa Twitter.
Habari ID: 3476132    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/22

Harakati ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Kazi ya kutayarisha tarjuma ya Qur'ani Tukufu kwa lugha ya Kiebrania inaendelea nchini Misri, huku tafsiri ya Juzuu (sehemu) 20 ikiwa tayari imekamilika.
Habari ID: 3476130    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/22

Qur'ani Tukufu Inasemaje /37
TEHRAN (IQNA) – Ibara ya “kumkopesha Mwenyezi Mungu” imetajwa mara saba ndani ya Qur’an Tukufu kama uhimizaji dhahiri wa kuwasaidia wenye shida. Kifungu hiki cha maneno kina maana fulani iliyofichwa.
Habari ID: 3476129    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/22

Kombe la Dunia la Qatar
TEHRAN (IQNA) - Kombe la Dunia la FIFA la 2022 nchini Qatar lilianza Novemba 20 kwa usomaji wa aya ya Qur’ani Tukufu na yamkini hii ni mara ya kwanza katika historia ya kombe hilo.
Habari ID: 3476127    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/21

Tafsiri ya Qur’ani na Wafasiri /8
TEHRAN (IQNA) – Al-Tibbyan Fi Tafsir al-Qur’an iliyoandikwa na Sheikh Tusi ni tafsiri ya kwanza ya Qur’an Tukufu iliyoandikwa na mwanazuoni wa madhehebu ya Shia ambayo inajumuisha Sura zote za Qur’ani.
Habari ID: 3476123    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/21