iqna

IQNA

Tafsiri za Qur'ani Tukufu na Wafasiri / 10
TEHRAN (IQNA) – Kwa kuzingatia mtazamo mpana wa Ayatullah Abolqassem Khoei kuhusu vyanzo vya tafsiri na matumizi yake makubwa ya hoja za kimantiki katika Al-Bayan Fi Tafsir al-Quran, tunaweza kusema mbinu yake katika kuandika tafsiri hii ya Qur’ani inategemea Ijtihad.
Habari ID: 3476207    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/06

TEHRAN (IQNA)- Hivi karibuni katika mitandao ya kijamii kumesambaa klipu ya qiraa ya Qur'ani Tukufu ya vijana sita kutoka nchi mbali mbali za Kiislamu.
Habari ID: 3476203    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/06

Shakhsia katika Qur’ani /19
TEHRAN (IQNA) – Nabii Yusuf ameelezewa kuwa ni mtume ambaye alikuwa na sura nzuri na mwenye utambuzi na ujuzi.
Habari ID: 3476202    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/05

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Duru ya nusu fainali ya mashindano ya nchi nzima ya Qur'ani yaliyoandaliwa na Kituo cha Dar-ul-Quran cha Imam Ali (AS) nchini Iran inaendelea.
Habari ID: 3476201    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/05

Harakati za Qur'ani Misri
TEHRAN (IQNA) – Hajj Hassan Juneidi ni mwanamume wa Misri ambaye, pamoja na mkewe, wameanzisha kituo cha kutoa misaada kwa ajili ya kufundisha Qur’ani kwa watoto wenye ulemavu wa macho.
Habari ID: 3476200    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/05

Kongamano la Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Tukio lililopewa jina la “Kongamano la Kimataifa la Qu’ani” lilifanyika Kuala Lumpur siku ya Jumamosi kwa kushirikisha mamia ya watu.
Habari ID: 3476198    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/05

Wasomaji maarufu wa Qur'ani Tukufu / 13
TEHRAN (IQNA) – Qiraa ya Qur'ani Tutufu ya qari wa Misri marehemu Shahat Muhammad Anwar ni Hazin (yenye sauti ya huzuni) na hiyo ndiyo imependekezwa katika Hadithi.
Habari ID: 3476197    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/04

Kombe la Dunia la Qatar
TEHRAN (IQNA) – Klipu ya video imesambaa kwa kasi kubwa katika mitandao ya kijamuu ikimuonyesha Mbosnia Hafhid wa Qur'ani Fatih Seferagic akisoma baadhi ya aya baada ya ombi la mashabiki wa Morocco katika jiji kuu la Doha walipokuwa wakisherehekea ushindi wa kihistoria wa timu yao dhidi ya Kanada siku ya Alhamisi kwenye Kombe la Dunia la FIFA la 2022.
Habari ID: 3476196    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/04

Harakati za Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Jumuiya ya walimu na wataalamu wa Qur'ani Tukufu iliyoanzishwa nchini Mauritania ilianza shughuli zake katika sherehe iliyofanyika katika mji mkuu wa nchi hiyo, Nouakchott.
Habari ID: 3476193    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/04

Ukweli katika Qur'ani Tukufu / 8
TEHRAN (IQNA) – Kuna uwiano maridadi katika maumbile katika maeneo mbalimbali, kwa mfano kati ya kiasi cha oksijeni anachopokea binadamu na kiasi kinachotolewa na mimea na pia kati ya kaboni dioksidi iliyotolewa na binadamu na ile inayotumiwa na mimea.
Habari ID: 3476190    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/03

Sura za Qur'ani Tukufu /44
TEHRAN (IQNA) – Ukweli wa kila kitu uko wazi na dhahiri lakini wengine wanakanusha kwa sababu mbalimbali, kama vile kuepuka tishio kwa maslahi yao binafsi au ya kikundi.
Habari ID: 3476188    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/03

Qur'ani Tukufu katika Maisha
TEHRAN (IQNA) - Kongamano limepangwa kufanyika katika mji mkuu wa Malaysia Disemba 3 kujadili masuluhisho ya Qur'ani Tukufu kwa ajili ya kukabiliana na changamoto za siku hizi.
Habari ID: 3476185    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/02

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Rais wa Kyrgyzstan, Sadyr Japarov, amekutana na mwakilishi wa nchi hiyo aliyeibuka mshindi wa mashindano ya hivi karibuni ya kimataifa ya Qur'ani nchini Saudi Arabia.
Habari ID: 3476184    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/02

TEHRAN (IQNA) – Duru ya mwisho ya Mashindano ya 25 ya Kitaifa ya Qur’ani nchini Lebanon ilifanyika mjini Beirut Jumapili, Novemba 27.
Habari ID: 3476175    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/30

Harakati za Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) - Mamia ya watu walihudhuria mazishi ya Sheikh Mohamed Mahmoud al-Qadim, mwalimu na hafidh wa Qur'ani mzee zaidi katika Mkoa wa Gharbia nchini Misri
Habari ID: 3476174    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/30

Wanazuoni Mashuhuri wa Ulimwengu wa Kiislamu / 8
TEHRAN (IQNA) – Dkt. Fawzia al-Ashmawi alikuwa mwanazuoni ambaye alitumia maisha yake kueleza na kufafanua kuhusu hadhi ya wanawake katika Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3476171    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/30

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Wizara ya Wakfu ya Misri imesema inazindua mashindano ya walimu wa Qur'ani nchini humo.
Habari ID: 3476170    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/29

Harakati za Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Algeria imewazawadia safari Umrah kwa wanafunzi 168 wa vyuo vikuu ambao wamefanikiwa kuhifadhi Qur’ani Tukufu kikamilifu..
Habari ID: 3476162    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/28

Tafsiri za Qur'ani Tukufu na Wafasiri/ 9
TEHRAN (IQNA) – Mwandishi wa Tafsiri ya Qur'ani Tukufu ya Makhzan al-Irfan fi Tafsir al-Qur'an alikuwa ni mwanamke ambaye alifikia kiwango cha juu kabisa katika elimu ya Fiqh na alikuwamwanamke wa kwanza kuandika tafsiri nzima ya Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3476160    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/28

Harakati za Qur'ani Misri
TEHRAN (IQNA) - Baadhi ya maqarii au wasomaji maarufu zaidi wa Qur'ani Tukufu walihudhuria sherehe za uzinduzi wa msikiti katika Jimbo la Qalyubia nchini Misri.
Habari ID: 3476151    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/26