Shakhsia katika Qur'ani Tukufu /29
TEHRAN (IQNA) – Bani Isra’il, ambao wakati wa utume wa Musa (AS) waliasi baadhi ya amri za Mwenyezi Mungu, waliendelea na uasi wao baada ya kifo cha Musa.
Habari ID: 3476501 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/01
Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) ametahadharisha juu ya kiwango cha kutisha cha chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia )kufuatia kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu huko Ulaya hivi karibuni.
Habari ID: 3476500 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/01
Kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA)- Naibu Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu katika baadhi ya nchi za Magharibi, vitendo vya kigaidi na kuuawa Waislamu huko Pakistan ni ishara ya kufilisika nchi za Magharibi.
Habari ID: 3476498 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/01
Mashindano ya Qur'ani Tukufu kwa njia ya televisheni
TEHRAN (IQNA) - Usajili wa wanaotaka kushiriki toleo la 16 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Kanali ya Televisheni ya Al-Kawthar TV utaanza Jumamosi, Februari 4.
Habari ID: 3476495 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/31
Kongamano
TEHRAN (IQNA) - Mkutano wa kwanza wa kimataifa wa vyombo vya habari na umoja wa Umma wa Kiislamu umefanyika hapa katika mji mkuu wa Iran siku ya Jumatatu.
Habari ID: 3476487 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/30
Mazungumzo ya kidini
TEHRAN (IQNA) – Mkuu wa Shirika la Utamaduni na Mahusiano ya Kiislamu (ICRO) amesema kurudiwa kwa kesi za kuvunjia heshima matukufu ya kidini na ukimya au uhalalishaji unaofanywa na serikali za Magharibi kwa jina la uhuru wa kujieleza unaonyesha mwelekeo wa kimfumo wa kueneza chuki.
Habari ID: 3476484 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/29
Harakati za Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Waziri Mkuu wa Malaysia Anwar Ibrahim alitembelea Tamasha la Kimataifa la Sanaa la Qur'ani Tukufu la Restu, linaloendelea katika nchi hiyo ya Kusini Mashariki mwa Asia.
Habari ID: 3476483 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/29
Wasomaji Maarufu wa Qur'ani Tukufu /24
TEHRAN (IQNA) – Shaban Abdul Aziz Sayyad alikuwa miongoni mwa makari mashuhuri wa Misri ambaye alisoma Qur’ani kwa shauku na usomaji wake ulikuwa maarufu sana.
Habari ID: 3476482 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/29
Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Waziri wa Wakfu wa Misri amesema wawakilishi wa nchi 58 watashiriki katika Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya nchi hiyo.
Habari ID: 3476481 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/29
Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) - Akademia ya Elimu, Utamaduni na Utafiti ya Iran (ACECR) imelaani vikali vitendo vya kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu barani Ulaya, na kubainisha kwamba vitendo hivyo viovu vinaonyesha "chuki kubwa" ya maadui dhidi ya Uislamu.
Habari ID: 3476479 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/28
Harakati za Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Sherehe ilifanyika katika Mkoa wa Tokat, kaskazini mwa Uturuki, kwa ajili ya kuwapongeza wanafunzi 258 ambao wameweza kuhifadhi Qur'ani Tukufu kikamilifu.
Habari ID: 3476478 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/28
Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Idara ya Wakfu na Masuala ya Kiislamu ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) ilitangaza uzinduzi wa usajili kwa ajili ya mashindano ya 13 ya Qur'ani Tukufu nchini humo.
Habari ID: 3476477 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/28
Iran ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Baada ya kuswali Sala ya Ijumaa, wananchi kote katikaa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wamejitokeza mitaani na kulaani hatua za hivi karibuni za nchi za Magharibi na Ulaya zikiongozwa na Marekani za kudhalilisha matukufu ya Kiislamu na kuliwekea vikwazo Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC).
Habari ID: 3476471 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/27
Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa mjini Tehran amesema serikali za Magharibi zinaunga mkono kuvunjiwa heshima dini za Mwenyezi Mungu hususan Uislamu.
Habari ID: 3476470 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/27
Chuki dhidi ya Uislamu barani Ulaya
TEHRAN (IQNA) - Rais wa Iran amekashifu kudharauliwa kwa Qur'ani Tukufu na kusema ni dharau kwa Dini za Abrahamu (Ibrahimu )
Habari ID: 3476468 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/26
Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Waislamu wa Madhehebu ya Shia nchini wa Bahrain Sheikh Isa Qassim amelaani vikali kitendo cha kuchomwa moto Qur'ani Tukufu hivi karibuni katika nchi za Ulaya.
Habari ID: 3476466 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/26
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa taarifa kufuatia kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu katika nchi kadhaa za Ulaya na kusisitiza kuwa: "Kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu kiwendawazimu chini ya nara ya 'uhuru wa maoni' ni ishara kuwa uistikbari unalenga Uislamu na Qur'ani Tukufu."
Habari ID: 3476465 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/26
Kuvunjiwa heshima Qur’ani Tukufu Ulaya
TEHRAN (IQNA) - Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri kimetoa wito wa kususia bidhaa za Uswidi na Uholanzi ili kukabiliana vitendo viovu vya kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu katika mataifa hayo ya Ulaya hivi karibuni.
Habari ID: 3476461 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/25
Wasomaji Maarufu wa Qur'ani Tukufu /21
TEHRAN (IQNA) – Abdel Aziz Akasha alikuwa qari wa Misri ambaye alipata umaarufu baada ya kuanzisha mtindo maalum katika usomaji wa Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3476457 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/24
Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) – Baada ya kuvunjiwa heshima Qur’ani Tukufu nchini Uswidi mwishoni mwa juma, kulikuwa na kitendo kingine cha kufuru kilichotekelezwa na mmoja wa vinara wa harakati za chuki dhidi ya Uislamu Ulaya, wakati huu nchini Uholanzi.
Habari ID: 3476456 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/24