iqna

IQNA

Waislamu Marekani
TEHRAN (IQNA)-Jaji wa kwanza Mwislamu mwenye kuvaa Hijabu katika historia ya Marekani, ambaye alianza kazi yake miezi miwili iliyopita katika hafla ya kiapo kwa Qur'ani Tukufu, anasema kwamba ana nia ya kutetea haki za Waislamu wa Marekani.
Habari ID: 3475697    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/29

Hujjatul Islam Muhsin Qara’ati
TEHRAN (IQNA) – Mwalimu na mfasiri mashuhuri wa Qur’ani Tukufu katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran anasema tafsiri za Qur’ani Tukufu zinapaswa kueleweka kwa umma na pia wakati huo huo kuwa na mvuto kwa wataalamu.
Habari ID: 3475687    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/27

Ukanda wa Gaza
TEHRAN (IQNA) – Mkusanyiko wa waliohifadhi Qur’ani Tukufu kikamilifu ulifanyika katika Ukanda wa Gaza ambapo washiriki walihitimisha Qur'ani.
Habari ID: 3475672    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/24

Harakati za Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Abdullah Mustafa, qarii wa Qur'ani Tukufu Misri mwenye ulemavu wa macho amehofadhi Qur'ani Tukufu kikamilifu kwa kusikiliza kupitia redio na simu yake ya mkononi.
Habari ID: 3475667    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/23

Qur'ani Tukufu nchini Misri
TEHRAN (IQNA)- Idara Kuu ya Masuala ya Qur'ani ya Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar ilitangaza kuanza kwa shughuli za vikao vya Qur'ani Tukufu kwa ajili ya walimu na waliohifadhi Qur'ani wa vituo vyenye uhusiano na kituo hiki kote Misri.
Habari ID: 3475665    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/22

u
TEHRAN (IQNA)- Shule ya mtandaoni ya kufundisha Qur'ani Tukufu na lugha ya Kiarabu kwa raia wa Algeria wanaoishi katika nchi mbalimbali za dunia ilizinduliwa kwa idhini ya Wizara ya Mambo ya Nje ya nchi hii.
Habari ID: 3475664    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/22

Kuvunjiwa heshima Uislamu
TEHRAN (IQNA) - Waziri wa zamani wa Mambo ya Nje wa Uswidi (Sweden) Jan Eliasson ametoa wito wa kukomesha uchomaji moto wa Qur'ani Tukufu unaofanywa na wafuasi sugu wa siasa kali za mrengo wa kulia, akibainisha kuwa kitendo kama hicho ni sawa na uhalifu chini ya sheria za Uswidi.
Habari ID: 3475647    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/19

Shughuli za Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Wizara ya Wakfu ya Misri imezindua vikao maalumu Qur'ani kwa wanawake katika majimbo manne ya nchi hiyo kwa mara ya kwanza.
Habari ID: 3475641    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/18

Fikra za Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Usalama ni miongoni mwa mahitaji muhimu ya jamii na kitendo chochote kinachovuruga kipengele hiki kinachukuliwa kuwa ni dhambi ya kijamii.
Habari ID: 3475639    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/17

Kuhifadhi Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) – Ilimchukua msichana wa Kipalestina mwezi mmoja tu kuhifadhi Qur'ani Tukufu kikamilifu katika hatua amabyo imetajwa kuwa ni ya aina yake.
Habari ID: 3475635    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/17

Fikra za Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Ufisadi katika nyanja yoyote husababisha kudhoofisha misingi. Jamii iliyoathiriwa na ufisadi itaona matatizo mbalimbali katika ngazi ya mtu binafsi, familia na kijamii. Kwa hiyo, jamii yoyote salama hujitahidi kupambana na ufisadi na kuuzuia.
Habari ID: 3475633    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/16

Kuamurisha mema na kukataza maovu
TEHRAN (IQNA) – Kwa mujibu wa Fiqh ya Kiislamu, baadhi ya masharti yanatakiwa kutekelezwa linapokuja suala la kutekeleza agizo la Qur’ani la kuwakataza wengine kufanya maovu.
Habari ID: 3475628    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/15

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Mashindano ya kimataifa ya Qur'ani ya Kuwait yataandaliwa tena mwaka huu baada ya kusitishwa kwa muda wa miaka mitatu.
Habari ID: 3475624    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/15

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA)- Mkuu wa Vyuo vya Kiislamu nchini Iran amelaani vikali kitendo cha kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu huko Hamburg, Ujerumani.
Habari ID: 3475617    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/13

Haraakti za Qur'ani
TEHRAN (IQNA)- Maonyesho yanayohusiana na sekta ya uchapishaji Qur’ani Tukufu yamefanyika katika mji wa Asir nchini Saudi Arabia.
Habari ID: 3475614    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/12

Waliowachache
TEHRAN (IQNA) – Waziri wa Pakistan wa Masuala ya Kidini na Upatanifu wa Dini Mbalimbali amesisitiza kwamba Qur’ani Tukufu iliteremshwa kwa ajili ya wanadamu wote, si kwa ajili ya Waislamu pekee.
Habari ID: 3475613    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/12

Ibada
TEHRAN (IQNA) – Sala ni moja ya nguzo za Uislamu na Waislamu wanaamini kuwa ibada hii ni daraja linalowaunganisha na Mwenyezi Mungu SWT. Kwa hivyo, Sala ni muhimu sana kwa kila Muislamu.
Habari ID: 3475610    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/11

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA)- Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali kitendo cha kichochezi cha kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu, na kutusiwa matukufu ya Kiislamu nchini Ujerumani.
Habari ID: 3475593    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/08

Sura za Qur'ani Tukufu /23
TEHRAN (IQNA) – Surah Al-Mu’minun ni sura ya Makki ya Qur’ani Tukufu inayoeleza sifa za waumini wa kweli.
Habari ID: 3475575    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/03

Tafakari
TEHRAN (IQNA) – Kwa mtazamo wa Qur’ani Tukufu, wanadamu ni bora kuliko viumbe wengine kutokana na akili na hekima zao na ni kwa ajili ya sifa hii, miongoni mwa nyinginezo, ambapo mwanadamu amechaguliwa kuwa khalifa wa Mwenyezi Mungu duniani.
Habari ID: 3475570    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/02