Ahul Bayt wa Mtume Muhammad SAW
TEHRAN (IQNA)- Siku kama ya leo miaka 1433 iliyopita, yaani tarehe 3 Jumada Thani mwaka wa 11 hijria, Bibi Fatima Zahra Amani ya Mwenyezi Mungu iwe juu Yake- Salamullah Alayha- (SA), binti kipenzi cha Bwana Mtume Muhammad SAW na mke wa Imam Ali bin Abi Talib AS alikufa shahidi baada ya kuishi umri mfupi tu lakini uliojaa baraka.
Habari ID: 3476313 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/27
Harakati za Qur'ani nchini Iran
TEHRAN (IQNA) - Kamanda mwandamizi wa Majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameesema kumekuwa na ustawi mkubwa katika kutoa mafunzo kwa wanaohifadhi Qur'ani Tukufu katika majeshi ya Iran
Habari ID: 3476308 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/26
Qur'ani Tukufu Inasemaje /42
TEHRAN (IQNA) – Aya ndefu zaidi katika Qur’ani Tukufu inahusu masuala ya kisheria na jinsi ya kutengeneza nyaraka za biashara. Aya hii inaashiria jinsi Uislamu ulivyo mpana na jinsi unavyozingatia maelezo na kuandika mapatano.
Habari ID: 3476303 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/25
TEHRAN (IQNA) - Mohammad Al-Hady Toure ni kijana msomaji wa Qur'ani Tukufu kutoka Senegal ambaye ni maarufu katika duru za Qur'ani za nchi hiyo ya Afrika Magharibi
Habari ID: 3476301 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/25
Uislamu Maldives
TEHRAN (IQNA) – Duru ya 35 ya Mashindano ya Kitaifa ya Kuhifadhi Qur’ani ya Maldivi au Maldives imezinduliwa na makamu wa rais wa nchi hiyo, Faisal Naseem.
Habari ID: 3476297 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/24
Qiraa ya Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) – Osama al-Zahri al-Balushi, ni qari kijana huko Oman, na qiraa yake ya Qur'ani Tukufu katika sala ya jamaa imesambaa katika mitandao ya kijamii.
Habari ID: 3476289 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/22
Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA)- Taasisi ya Kijiji cha Utamaduni (Katara) nchini Qatar imetangaza Jumanne kwamba washiriki 1273 watawakilisha nchi 67 za Kiarabu na za kimataifa watashindania toleo la sita la "Tuzo ya Katara ya Kusoma Qur'ani Tukufu".
Habari ID: 3476283 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/21
Sura za Qur'ani Tukufu / 49
TEHRAN (IQNA) – Moja ya matatizo sugu katika dunia ya sasa ni ubaguzi wa rangi. Ingawa jitihada zimefanywa ili kukabiliana na jambo hilo baya, inaonekana kwamba kutozingatia mafundisho ya kidini kumezuia jamii kuondokana kabisa na ubaguzi wa rangi.
Habari ID: 3476281 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/21
Shughuli za Qur'ani Misri
TEHRAN (IQNA) – Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri kimetangaza kuwa vituo 538 vya watoto vimezinduliwa hivi karibuni.
Habari ID: 3476277 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/20
Mashindano ya Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) – Mashindano ya usomaji wa Qur'ani na Tajweed yaliyoandaliwa kwa ajili ya wanafunzi wa shule yamehitimishwa nchini Palestina.
Habari ID: 3476276 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/20
Shakhsia katika Qur'ani /21
TEHRAN (IQNA) - Watu wengi hawana subira mbele ya matatizo lakini wanapaswa kujua kwamba Mwenyezi Mungu anaweka magumu kwenye njia ya watu ili kuwajaribu. Nabii Ayub-Amani ya Mwenyezi Mungu Iwe Juu Yake (AS)-ambaye alikuwa ni mwenye kumshukuru Mwenyezi Mungu hata katika hali ngumu sana, anaweza kuwa mfano wa kuigwa katika suala hili.
Habari ID: 3476274 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/19
Wanazuoni Mashuhuri wa Ulimwengu wa Kiislamu /12
TEHRAN (IQNA) – Shughuli za kutarjumi Qur'ani Tukufu imeshuhudia maendeleo makubwa katika eneo la Balkan katika miongo ya hivi karibuni.
Habari ID: 3476273 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/19
Maonyesho ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Maktaba ya Umma ya Mfalme Abdulaziz huko Riyadh, Saudi Arabia, imeandaa maonyesho ya nakala adimu za Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3476272 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/19
Uislamu na Ukristo
TEHRAN (IQNA) – Papa Francis, katika ziara ya kwanza ya kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, alisafiri hadi Iraq mwezi Machi mwaka jana.
Habari ID: 3476271 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/19
Wanazuoni Mashuhuri wa Ulimwengu wa Kiislamu/11
TEHRAN (IQNA) - Fathi Mahdiyu ni msomi ambaye ametafsiri Kurani nzima kwa Kialbania huko Kosovo. Katika kitabu chake cha hivi punde zaidi ambacho kimetafsiriwa na kuchapishwa kwa Kiarabu hivi karibuni, anazungumzia mwenendo wa tafsiri ya Qur'ani katika nchi za Balkan.
Habari ID: 3476263 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/17
Harakati za Qur’ani Misri
TEHRAN (IQNA) - Wizara ya Wakfu ya Misri imesema imeshaandaa vikao vya kufunza Qur'ani Tukufu maalumu kwa watoto katika zaidi ya misikiti 6,000 kote Misri.
Habari ID: 3476257 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/16
Waislamu Pakistan
TEHRAN (IQNA) – Serikali ya Pakistani imetangaza kuwa ni lazima kupata Cheti cha Hakuna Pingamizi (NOC) kwa ajili ya kuagiza kutoka nje nchi Misahafu iliyochapishwa katika nchi zisizo za Kiislamu.
Habari ID: 3476255 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/16
Harakati za Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) – Semina ya pili ya Qur’ani ya Chuo Kikuu cha Kiarabu cha Amman katika mji mkuu wa Jordan ilifanyika katika kitivo cha teolojia ya Kiislamu cha chuo hicho.
Habari ID: 3476249 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/14
Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) – Waislamu wametakiwa kuchukua tahadhari kuhusu nakala za Qur’ani Tukufu zilizo katika mitandao ya intaneti na aplikesheni kwani imebainika kuwa baadhi zimepotoshwa kwa makusudi.
Habari ID: 3476222 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/09
Harakati za Qur'ani Algeria
TEHRAN (IQNA) - Wizara ya Wakfu na masuala ya Kiislamu ya Algeria imetangaza kuzindua duru ya awali ya mashindano ya kitaifa ya Qur'ani.
Habari ID: 3476218 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/08