Usomaji Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Sheikh Abdul Aziz al-Kar’ani ni imami katika Msikiti wa Al Ghazi Ayyaz Casablanca, Morocco.
Habari ID: 3476142 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/24
Qur'ani nchini Misri
TEHRAN (IQNA) - Waziri wa Wakfu wa Misri alimteua Mustafa Muhammad Mustafa Abdullah Abu al-Amayim kama mwalimu wa mfano wa Qur'ani wa nchi hiyo mnamo 2022.
Habari ID: 3476135 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/23
Kombe la Dunia Qatar
TEHRAN (IQNA)- Hatu ya kusomwa Qur'ani Tukufu katika sherehe za ufunguzi wa Kombe la Dunia la 2022 nchini Qatar uliambatana na sifa nyingi kutoka kwa watumiaji wa mitandao ya kijamii katika intaneti, kiasi kwamba neno 'Quran' kwa Kiingereza limeongoza kwa siku kadhaa katika maneneo yanayotafutwa katika mitandao ya kijamii hasa Twitter.
Habari ID: 3476132 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/22
Harakati ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Kazi ya kutayarisha tarjuma ya Qur'ani Tukufu kwa lugha ya Kiebrania inaendelea nchini Misri, huku tafsiri ya Juzuu (sehemu) 20 ikiwa tayari imekamilika.
Habari ID: 3476130 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/22
Qur'ani Tukufu Inasemaje /37
TEHRAN (IQNA) – Ibara ya “kumkopesha Mwenyezi Mungu” imetajwa mara saba ndani ya Qur’an Tukufu kama uhimizaji dhahiri wa kuwasaidia wenye shida. Kifungu hiki cha maneno kina maana fulani iliyofichwa.
Habari ID: 3476129 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/22
Kombe la Dunia la Qatar
TEHRAN (IQNA) - Kombe la Dunia la FIFA la 2022 nchini Qatar lilianza Novemba 20 kwa usomaji wa aya ya Qur’ani Tukufu na yamkini hii ni mara ya kwanza katika historia ya kombe hilo.
Habari ID: 3476127 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/21
Tafsiri ya Qur’ani na Wafasiri /8
TEHRAN (IQNA) – Al-Tibbyan Fi Tafsir al-Qur’an iliyoandikwa na Sheikh Tusi ni tafsiri ya kwanza ya Qur’an Tukufu iliyoandikwa na mwanazuoni wa madhehebu ya Shia ambayo inajumuisha Sura zote za Qur’ani.
Habari ID: 3476123 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/21
Wasomaji maarufu wa Qur'ani Tukufu / 10
TEHRAN (IQNA) - Misri imeweza kuibua wasomaji wengi mashuhuri wa Qur’ani ambao wamevuma katika ulimwengu wa Kiislamu. Mmoja wao ni Sheikh Muhammad Abdul Aziz Hassan, qari ambaye aliweza kuingiza mitindo ya zamani na ya kisasa na kuunda mtindo wake wa qiraa ya Qur'ani Tukufu kusoma.
Habari ID: 3476105 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/17
Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Mashindano ya kuhifadhi Qur’ani yamezivutia familia nyingi huko Al-Quds (Jerusalem), katika ardhi ya Palestina inayokaliwa kwa mabavu.
Habari ID: 3476102 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/17
Tauhidi Katika Qur'ani Tukufu /2
TEHRAN (IQNA) – Kwa mujibu wa Qur’ani Tukufu, ukweli wa matendo ya mwanadamu utadhihirika Siku ya Kiyama na kila mtu atalipwa au kuadhibiwa kwa matendo yake wenyewe.
Habari ID: 3476100 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/16
Wanazuoni Mashuhuri wa Ulimwengu wa Kiislamu/5
TEHRAN (IQNA) -Valeria Porokhova ameandika mojawapo ya tafsiri bora zaidi za Qur'ani Tukufu katika lugha ya Kirusi.
Habari ID: 3476097 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/16
Wasomaji Qur'ani bingwa
TEHRAN (IQNA)- Klipu ya qiraa ya Qur'ani Tukufu ya qarii mashuhuri wa Misri marehemu Sheikh Ragheb Mustafa Ghalwash imesambazwa katika mitandao ya kijamii.
Habari ID: 3476096 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/16
Kanuni za Imani ya Kiislamu; Tauhidi (Imani ya Mungu Mmoja) /1
TEHRAN (IQNA) – Fitra (maumbile asili) inahusu mwelekeo wowote ulio ndani ya wanadamu wote bila ya kuelimishwa juu yake na kuwaongoza watu kwenye dini. Dhana hii imerejelewa ndani ya Quran kupitia maneno tofauti.
Habari ID: 3476090 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/15
Tafsiri ya Qur’ani na Wafasiri /6
TEHRAN (IQNA) – Sayyid Mostafa Khomeini alikuwa gwiji ambaye alianza kuandika tafsiri ya Qur’ani Tukufu iitwayo “Miftah Ahsan Al-Khazaein al-Ilahiya” lakini aliaga dunia kabla ya kuikamilisha.
Habari ID: 3476086 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/14
Shughuli za Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Hafla ilifanyika huko Maldives kwa ajili ya kutoa Tuzo za Kitaifa za Rais za Mafanikio Maalum na Nishani Maalum za Kuhifadhi Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3476076 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/12
Fikra za Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Kiumbe ambaye hajazaliwa ni zawadi kutoka kwa Mwenyezi Mungu. Kwa kurejelea hoja kadhaa za Qur'ani, haturuhusiwi kutoa mimba kwa vyovyote vile. Pamoja na hayo, utoaji mimba huwa kitendo kibaya baada ya mimba kupata roho.
Habari ID: 3476070 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/11
Waislamu Liberia
TEHRAN (IQNA) – Uongozi wa Shule ya Upili ya Kiarabu na Kiingereza ya Vijana ya Yaya Keita umetoa zawadi ya kontena la futi 40 la Misahafu (nakala za Qur'ani Tukufu) kwa Baraza la Kitaifa la Waislamu la Liberia.
Habari ID: 3476060 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/09
Uhakika katika Qur'ani Tukufu / 2
TEHRAN (IQNA) - Wanasayansi wamefikia natija kwamba moyo sio tu unasukuma damu, lakini pia unaelewa, unafikiri, na unaamuru na hii inaendana na kile aya za Qur'ani Tukufu zinavyosema.
Habari ID: 3476059 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/09
Tauhidi katika Qur'ani Tukufu/1
TEHRAN (IQNA) – Suala la mwanzo na mwisho wa dunia ni miongoni mwa maswali muhimu yaliyo mbele ya wanadamu na namna wanavyoyajibu huwa na athari kubwa katika maisha na hatima ya watu binafsi.
Habari ID: 3476055 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/08
Sura za Qur'ani Tukufu / 39
TEHRAN (IQNA) – Kuna mifano mingi ya miujiza ya kisayansi katika Qur'ani, ukiwemo mmoja katika Surah Az-Zumar. Hii ni miujiza kwa sababu ilitajwa katika Kitabu ambacho ni Kitakatifu karne nyingi zilizopita wakati wanadamu hawakuwa na habari nayo.
Habari ID: 3476054 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/08