IQNA – Muungano mpana wa makundi ya kisiasa, mashirika ya kiraia, wasomi, watafiti, waandishi na watu mashuhuri umetangaza maandamano ya kimya yatakayofanyika kote Ufaransa Jumapili, Mei 11, kulaani kuongezeka kwa chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia).
Habari ID: 3480659 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/09
IQNA-Ripoti mpya ya Taasisiya India Hate Lab (IHL) imebaini ongezeko kubwa la matukio ya hotuba na kauli za chuki katika maeneo mbalimbali nchini India kufuatia shambulio la kigaidi lililotokea Pahalgam, Jammu na Kashmir, mnamo Aprili 21.
Habari ID: 3480633 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/04
IQNA – Wabunge wa Ufaransa siku ya Jumanne walikusanyika kwa heshima kuu kumkumbuka Muislamu aliyepoteza maisha katika shambulio la kusikitisha ndani ya msikiti uliopo kusini mwa nchi hiyo.
Habari ID: 3480619 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/30
IQNA – Chama kimoja cha misimamo mikali ya mrengo wa kulia nchini Italia, kinachoongozwa na Naibu Waziri Mkuu Matteo Salvini, kinahunguzwa rasmi baada ya wabunge wa upinzani kuwasilisha malalamiko kuwa chama hicho kimesambaza picha zinazozalishwa na Akili Bandia (AI) zinazokuza ubaguzi wa rangi na dhana za Chuki dhidi ya Uislamu au Islamophobia.
Habari ID: 3480561 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/19
IQNA-Umoja wa Ulaya umetangaza azma ya kukabiliana na uhalifu wa chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) katika nchi za Ulaya.
Habari ID: 3480556 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/18
IQNA – Mwanaume mmoja kutoka mji wa Widnes, Uingereza, amekamatwa na kufunguliwa mashtaka kuhusiana na tukio la wizi katika msikiti wa Warrington.
Habari ID: 3480525 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/11
IQNA – Sheikh Ahmed al-Tayeb, imamu mkuu wa Al-Azhar ya Misri, amesisitiza haja ya kuunda hifadhidata za kurekodi uhalifu dhidi ya Waislamu na Uislamu (Islamophobia).
Habari ID: 3480394 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/18
IQNA – Uturuki imeutaka Umoja wa Mataifa (UM) kuteua mjumbe maalum wa kupambana na chuki dhidi ya Uislamu au Islamofobia, ikisisitiza haja inayoongezeka ya kukabiliana na kauli na vitendo vya chuki na ubaguzi dhidi ya Waislamu.
Habari ID: 3480264 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/25
IQNA-Idadi ya matukio na vitendo vya chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu nchini Uingereza iliongezeka kufikia kiwango cha juu zaidi mwaka 2024. Hayo ni kwa mujibu wa taarifa zilizokusanywa na shirika la ufuatiliaji la Tell MAMA, ambalo limesema vita vya Gaza "vimechochea kupita kiasi" masuala ya chuki dhidi ya Waislamu kwenye mitandao ya kijamii.
Habari ID: 3480241 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/19
Waislamu Marekani
IQNA - Kundi la kutetea haki za Waislamu Marekani limelitaka Baraza la Seneti kumkataa Peter Hegseth, mteule wa Donald Trump kuwa Waziri wa Ulinzi (Pentagon), kutokana na misimamo yake dhidi ya Uislamu.
Habari ID: 3479761 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/16
Chuki Dhidi ya Uislamu
IQNA - Msikiti wa Imam Ridha (AS) umeshambuliwa na kuteketezwa moto huko New Lynn, Auckland, nchini New Zealand kuharibiwa vibaya, huku jamii ya Waislamu ikishtushwa na tukio hilo.
Habari ID: 3479710 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/06
Chuki dhidi ya Waislamu Marekani
IQNA - Seneta wa Illinois Sara Feigenholtz anakabiliwa na ongezeko la wito wa kujiuzulu baada ya kutuma ujumbe wa chuki dhidi ya Uislamu kwenye akaunti yake ya mtandao wa kijamii.
Habari ID: 3479686 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/02
Chuki dhidi ya Uislamu
IQNA-Uchunguzi mpya umebaini kuwepo 'ongezeko kubwa na lenye kutia wasiwasi" la ubaguzi wa rangi dhidi ya Waislamu barani Ulaya hasa baada ya utawala haramu wa Israel wa kuanzisha vita vya mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina wanaodhulumiwa katika Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3479641 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/25
Chuki dhidi ya Uislamu
IQNA - Rasmus Paludan mwanasiasa wa siasa kali za mrengo wa kulia wa Denmark na Uswidi ambaye aliivunjia heshima Qur'ani Tukufu ameshtakiwa kwa mara kadhaa nchini Uswidi (Sweden) ambapo sasa mekataa kufika mahakamani.
Habari ID: 3479599 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/15
Chuki dhidi ya Uislamu
IQNA – Ripoti ya Ofisi ya Mambo ya Ndani Uingereza imefichua ongezeko la karibu 40% ya vitendo vya chuki za kidini huwa zinawalenga Waislamu katika maeneo ya England na Wales.
Habari ID: 3479579 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/12
Chuki dhidi ya Uislamu
IQNA - Mwanaume mmoja wa eneo la New Jersey Marekani amekiri kutenda uhalifu wa chuki kwa kuharibu kituo cha wanafunzi wa Kiislamu katika Chuo Kikuu cha Rutgers mapema mwaka huu, maafisa walitangaza Alhamisi.
Habari ID: 3479575 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/11
Waislamu Uingereza
IQNA - Takriban mashirika 80 ya Kiislamu na viongozi wa jamii za Waislamu wametoa wito kwa serikali ya Uingereza kuchukua hatua madhubuti ili kukabiliana na ongezeko la chuki dhidi ya Uislamu nchini humo.
Habari ID: 3479352 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/30
Chuki dhidi ya Uislamu
IQNA - Mzee wa miaka 75 amepigwa risasi mara kadhaa nje ya msikiti wa Masjid An-Nur kaskazini mwa Minneapolis nchini Marekani siku ya Jumatatu jioni.
Habari ID: 3479309 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/21
Waislamu Uingereza
IQNA -Kuna wasiwasi unaoongezeka miongoni mwa Waislamu wa Uingereza kuhusu usalama wao baada ya ghasia za hivi majuzi nchini humo.
Habari ID: 3479295 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/18
Chuki dhidi ya Uislamu
IQNA - Mwanaume Myahudi, Izak Kadosh wa eneo la Brooklyn, Marekani anakabiliwa na mashtaka zaidi ya 40, ikiwa ni pamoja na jaribio la pili la mauaji na uhalifu wa chuki, kutokana na vitendo vyake vya chuki dhidi ya jirani yake Muislamu, Ahmed Chebira.
Habari ID: 3479288 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/17