IQNA – Mashambulizi ya anga ya utawala katili wa Israel katika Ukanda wa Gaza unaozingirwa yamesababisha vifo vya zaidi ya watu 100, wakiwemo 33 waliokuwa wakijisitiri katika shule.
Habari ID: 3480492 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/04
Muqawama
IQNA- Harakati ya Mapambano ya Kiislamu Palestina (Hamas) imeidhinisha pendekezo la kusimamisha mapigano kwa Ukanda wa Gaza ambayo yamefikiwa kwa upatanishi wa Misri na Qatar.
Habari ID: 3480060 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/15
Jinai za Israel
IQNA - Kituo cha Kiislamu cha A-Azhar cha Misri kimebainisha matumaini kwamba mwaka wa 2025 utakuwa mwaka wa ushindi na amani kwa Wapalestina wanaokabiliwa na mauaji ya kimbari ya utawala wa Kizayuni wa Israel huko Gaza.
Habari ID: 3479990 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/01
Jinai za Israel
IQNA - Shambulio la anga la utawala haramu wa Israel kaskazini mwa Ukanda wa Gaza limeripotiwa kuwaua watu 10 wa familia ya Khallah, wakiwemo watoto saba, kulingana na shirika la uokoaji la Ulinzi wa Raia wa Palestina.
Habari ID: 3479931 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/21
Jinai za Israel
IQNA-Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa limepitisha kwa wingi mkubwa wa kura maazimio mawili, moja la kutaka kusitishwa kwa mapigano mara moja katika Ukanda wa Ghaza na la pili la kuutaka utawala wa Kizayuni wa Israel uondoe marufuku yake kwa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuwahudumia Wakimbizi wa Palestina, UNRWA.
Habari ID: 3479893 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/12
Jinai za Israel
IQNA-Mataifa na shakhsia mbalinmbali ulimwenguni wameendelea kupongeza uamuzi wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) wa kutoa kibali cha kukamatwa Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel, Benjamin Netanyahu, na aliyekuwa waziri wake wa vita Yoav Gallant, wakituhumiwa kutenda jinai za vita.
Habari ID: 3479792 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/22
Jinai za Israel
IQNA-Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani ametoa mwito wa kufanyika uchunguzi wa jamii ya kimataifa kuhusu "mauaji ya halaiki" ya utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Gaza
Habari ID: 3479767 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/18
Watetezi wa Palestina
IQNA - Mgomo wa kula ulioanzishwa na idadi kadhaa ya wanaharakati wa Jordan kwa mshikamano na watu wa Gaza umeingia siku yake ya kumi Jumatatu.
Habari ID: 3479741 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/12
Diplomasia
IQNA - Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema utawala wa Marekani unaomaliza muda wake unatarajiwa kutumia muda uliobakia madarakani kukomesha hujuma za Israel huko Gaza na Lebanon.
Habari ID: 3479738 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/11
Siasa
IQNA - Mwenyekiti wa Baraza la Wanazuoni Wataalamu la Iran ameilaani Marekani kwa kutoa uungaji mkono wa kila namna kwa utawala wa Kizayuni wa Israel katika hujuma zake za mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina.
Habari ID: 3479706 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/05
Watetezi wa Palestina
IQNA – Madiwani 114 wa Muslim wa chama tawala cha Leba Uingereza wamemuandikia barua Waziri Mkuu wa Uingereza, wakitaka kuwekewa vikwazo vya mara moja vya silaha dhidi ya Israel huku vikosi vya utawala huo vikiendelea kutumia silaha na zana za viita zinazotolewa na nchi za Magharibi kutekeleza mauaji ya kimbari huko Palestina na Lebanon.
Habari ID: 3479611 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/18
Jinai za Israel
IQNA - Waziri wa Mambo ya Nje wa Norway amelaani "vita vya kikatili" vya utawala wa Israel huko Gaza na ukiukaji wake wa kanuni za vita.
Habari ID: 3479584 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/13
Watetezi wa Palestina
IQNA - Wataalamu na wasomii walioshiriki katika mkutano wa kimataifa wa haki za binadamu mjini Tehran wameikosoa nchi za Magharibi kwa undumilakuwili na unafiki kuhusu suala la Palestina.
Habari ID: 3479571 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/10
Jinai za Israel
IQNA - Idadi ya Wapalestina waliouawa kwa mabomu na risasi za Israel katika Ukanda wa Gaza tokea Oktoba mwaka jana sasa imepindukia 42,000, wengi wakiwa ni wanawake na watoto.
Habari ID: 3479569 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/10
Jinai za Israel
IQNA – Ukweli kwamba utawala haramu wa Israel umeangamiza familia 902 katika Ukanda wa Gaza katika kipindi cha mwaka mmoja uliopita ni ushahidi usiopingika wa dhamira ya utawala wa Israel kutekeleza mauaji ya kimbari .
Habari ID: 3479549 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/06
Jinai za Israel
IQNA - Apple, YouTube na majukwaa mengine ya vyombo vya habari yamehimizwa na kikundi cha kutetea Waislamu cha Marekani kufuta podikasti ya kila wiki ya Wazayuni Waisraeli ya lugha ya Kiingereza ambayo husifu mauaji ya kimbari ya Wapalestina huko Gaza.
Habari ID: 3479385 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/05
Jinai za Israel
IQNA – Utawala wa Kizayuni wa Israel umekuwa ukitumia maji kama silaha ya vita dhidi ya Wapalestina huko Gaza, ikionyesha kutojali maisha ya binadamu na kukiuka sheria za kimataifa.
Habari ID: 3479185 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/26
IQNA-Kongresi ya Marekani imekosolewa sana kwa kumpa Waziri Mkuu wa Israel, katili Benjamin Netanyahu, jukwaa la kuhutubia wawakilishi na maseneta wa nchi hiyo licha ya kiongozi huyo kutambuliwa kuwa ni mhalifu wa kivita na mtenda jinai dhidi ya binanadamu kutokana na mauaji ya kimbari yanayoendelea huko Gaza.
Habari ID: 3479180 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/25
Kadhia ya Palestina
Vikosi vya utawala katili wa Kizayuni wa Israel vimefanya mashambulizi ya kikatili dhidi ya kambi ya wakimbizi ya al-Mawasi karibu na mji wa Khan Younis, kusini mwa Gaza na kuua Wapalestina wasiopungua 90.
Habari ID: 3479120 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/14
Kadhia ya Palestina
Njaa imetanda katika Ukanda wa Gaza baada ya zaidi ya miezi tisa ya vita vya mauaji ya halaiki ya Israel kwenye eneo la pwani ya Palestina, kundi la wataalamu huru wa Umoja wa Mataifa wanaonya.
Habari ID: 3479106 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/11