iqna

IQNA

IQNA – Watu kutoka maeneo mbalimbali ya Yemen walifanya maandamano makubwa siku ya Ijumaa kulaani uhalifu wa Israeli dhidi ya Wapalestina na kitendo cha hivi karibuni cha kuchomwa motot nakala ya Qur’an Tukufu nchini Marekani.
Habari ID: 3481160    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/30

IQNA – Maandamano ya kuunga mkono Palestina yalifanyika mjini Copenhagen, mji mkuu wa Denmark, ambapo waandamanaji zaidi ya 10,000 walitisha mwito wa kumaliza vita huko Gaza na kuhimiza Denmark kutambua taifa la Palestina.
Habari ID: 3481135    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/25

IQNA – Watu katika miji na miji midogo kote Australia walijitokeza kwa wingi Jumapili kuonyesha uungaji mkono wao wa dhati kwa Palestina na kulaani ukatili wa Israel huko Gaza.
Habari ID: 3481129    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/24

IQNA- Maandamano yafanyika Uingereza kulaani  mauaji ya kimbari yanayotekelezwa na Israel dhidi ya Gaza Maandamano makubwa yamefanyika nje ya ubalozi wa utawala wa Israel mjini London, Uingereza kulaani mauaji ya kimbari yanayotekelezwa na utawala huo dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3481127    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/24

IQNA – Maelfu ya Wamoroko walikusanyika Jumapili katika mji mkuu, Rabat, kuonyesha mshikamano wao na watu wa Palestina na kulaani uhalifu unaoendelea wa utawala katili wa Israel katika Ukanda wa Gaza. 
Habari ID: 3480541    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/14

IQNA – Watu wa Tunisia wamefanya maandamano katika mji mkuu Tunis na miji mingine siku ya Ijumaa, wakitaka kuwekwa sheria ya kuzuia uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni. 
Habari ID: 3480531    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/12

Kadhia ya Palestina
IQNA-Makumi ya maelfu ya wananchi wa Morocco wamejitokeza katika kona zote za nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika kushiriki maandamano ya kuunga mkono kadhia ya Palestina na kupinga mpango wa Rais Donald Trump wa Marekani kuhusu Gaza.
Habari ID: 3480221    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/15

Waungaji mkono Palestina
IQNA - Maelfu ya wananchi wa Yemen waliingia barabarani mjini Saada kutangaza uungaji mkono wao kwa mataifa ya Palestina na Lebanon na kulaani vitendo vya uchokozi vya utawala wa Israel dhidi ya Syria.
Habari ID: 3479896    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/14

Watetezi wa Palestina
IQNA-Wananchi wa Yemen wamefanya maandamano mapya ya kila wiki katika mji mkuu Sana'a na miji kadhaa nchini humo kusisitiza uungaji mkono wao kwa Wapalestina wanaokabiliwa na vita vya mauaji ya kimbari yanayotekelezwa na Israel.
Habari ID: 3479868    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/07

Kadhia ya Palestina
IQNA - Chuo Kikuu cha Hashemite cha Jordan kimeshutumiwa kwa kuwakandamiza wanafunzi wanaoiunga mkono Palestina.
Habari ID: 3479720    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/08

Watetezi wa Palestina
IQNA - Watu katika mji mkuu wa Uingereza wa London walifanya maandamano siku ya Jumamosi, wakitaka kusitishwa kwa vita vya mauaji ya halaiki vya utawala wa Israel dhidi ya Gaza. Zaidi ya watu 30,000 walishiriki katika maandamano ya kupaza sauti ya mshikamano na wapalestina wanaodhulumiwa katika Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3479619    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/20

Muqawama
IQNA - Maandamano yamefanyika katika mji mkuu wa Iraq wa Baghdad siku ya Ijumaa kulaani jinai zinazoendelea za utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Gaza na Lebanon.
Habari ID: 3479580    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/12

Watetezi wa Palestina
IQNA - Katika kuadhimisha kumbukumbu ya Operesheni ya Kimbunga cha Al-Aqsa iliyotekelezwa dhidi ya Israel na Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, mwaka jana,  waandamanaji wanaounga mkono Palestina wamejitokeza kwa wingi katika mitaa ya Manhattan, New York, Jumatatu usiku.
Habari ID: 3479564    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/09

Watetezi wa Haki
IQNA -Maandamano yamefanyika nchini Kanada kulaani vita vya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Ukanda wa Gaza na Lebanon.
Habari ID: 3479481    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/24

Watetezi wa Palestina
IQNA - Takriban watu milioni moja walikusanyika katika mji mkuu wa Yemen wa Sana'a siku ya Ijumaa ili kuelezea mshikamano wao na Wapalestina huko Gaza na pia kulaani jinai ya wanajeshi wa Israel ya kuivunjia heshima Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3479356    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/31

Watetezi wa Palestina
IQNA-Maandamano makubwa yamefanyika mbele ya ubalozi wa Israel mjini Washington DC, Marekani kulaani vita vya mauaji ya kimbari vinavyoendelezwa na utawala wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3478443    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/03

Watetezi wa Palestina
IQNA - Siku ya pili ya Kimataifa ya Hatua kwa Ajili ya Gaza itaadhimishwa baadaye mwezi huu kwa maandamano ya mshikamano na watu wa Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3478312    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/06

Watetezi wa Palestina
IQNA - Wakati wa maandamano ya wafuasi wa Palestina huko Rabat, mji mkuu wa Morocco, siku ya Jumapili, maelfu ya raia wa Morocco walitoa wito wa kukatwa uhusiano na utawala wa Kizayuni unaoendelea kutekeleza mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3478090    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/25

Watetezi wa Palestina
IQNA - Mikutano ya hadhara imefanyika katika miji katika nchi mbalimbali za Magharibi mwishoni mwa juma kupinga mauaji ya kimbari yanayotekelezwa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Gaza na kutaka kuwasilishwa kwa misaada ya kibinadamu katika eneo lililozingirwa.
Habari ID: 3478086    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/24

Waungaji mkono Palestina
TEHRAN (IQNA)- Katika muendelezo wa himaya na uungaji mkono wa ulimwengu kwa mapambano ya wananchi wa Gaza na kulaani jinai za utawala ghasibu wa Israel, maelfu ya wananchi wa Pakistan wameandamana na kuelekea katika ubalozi mdogo wa Marekani.
Habari ID: 3477967    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/30