IQNA - Wataalamu wa Umoja wa Mataifa wametoa wito kwa Ufaransa kubatilisha hatua zake za kibaguzi zinazopiga marufuku wanawake na wasichana kuvaa Hijabu wanapocheza michezo, huku wakiitaka Ufaransa kufuata majukumu ya kimataifa ya haki za binadamu.
Habari ID: 3479664 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/29
Wanariadha Waislamu
IQNA – Mwanamke Muirani Sareh Javanmardi wa Iran ameubusu Msahafu (nakala ya Qur'ani Tukufu) baada ya kushinda medali ya dhahabu katika mashindano ya Olimpiki ya Walemavu 2024 huko Paris, hatua ambayo imewavutia Waislamu duniani kote na kupongezwa na taasisi kuu ya Qur'ani.
Habari ID: 3479365 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/01
Dini
IQNA – Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Seyed Ali Khamenei amesisitiza jinsi Waislamu wanavyomheshimu Nabi Isa au Yesu – Amani ya Mwenyezi Mungu iwe juu yake-(AS), huku akikemea kudhalilishwa kwa mtume huyo Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3479204 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/30
Michezo
IQNA-Judoka wa Algeria amekataa kushindana na mwakilishi wa utawala haramu wa Israel katika Michezo ya Olimpiki ya Paris 2024.
Habari ID: 3479201 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/30
Jinai za Israel
IQNA-Wito unaongezeka kote ulimwenguni wa kuipiga marufuku timu ya utawala haramu wa Israel kushiriki Michezo ya Olimpiki ya Paris 2024 inayoanza Ijumaa huku utawala huo ukiendeleza vita vya mauaji ya halaiki dhidi ya raia Wapalestina katika Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3479182 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/25
Misikiti Nchini Ufaransa
Msikiti Mkuu wa Paris, alama ya umuhimu wa kitamaduni na kidini nchini Ufaransa, utakuwa sehemu ya sherehe za Olimpiki za 2024 mwaka huu huku ukikaribisha mwali wa Olimpiki mnamo Julai 14 saa 3 asubuhi.
Habari ID: 3479102 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/10
Chuki dhidi ya Uislamu
PARIS (IQNA) - Mwanafikra wa Morocco amekosoa uamuzi wa Ufaransa wa kuwakataza wanariadha wake kuvaa hijabu ambayo huvaliwa na baadhi ya wanawake wa Kiislamu, wakati wa Michezo ya Olimpiki ya Paris 2024, akisema inafichua upofu na msimamo mkali wa mawazo ya kisiasa ya Ufaransa.
Habari ID: 3477696 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/07
Kiongozi Muadhamu katika mkutano na wanamichezo wa Olimpiki na Paralimpiki
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amesema, kutotambuliwa na kususiwa utawala ghasibu wa Israel katika michezo ni jambo muhimu sana.
Habari ID: 3474308 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/18
TEHRAN (IQNA)- Javad Foroughi, 41, muuguzi katika Hospitali ya Baqiyatullah mjini Tehran amekuwa Muirani wa kwanza kushinda medali ya dhahabu katika michezo ya Olimpiki ya Tokyo 2020.
Habari ID: 3474125 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/25
TEHRAN (IQNA)- Mwanamichezo wa mchezo wa Judo wa Algeria ameamua kujitoa kwenye michezo ya Olimpiki ya 2020 Tokyo inayofunguliwa rasmi leo katika mji mkuu huo wa Japan, ikiwa ni harakati ya kutangaza mshikamano na Palestina na kupinga kuanzishwa uhusiano na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3474120 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/23
TEHRAN (IQNA) –Malaysia imepewa jukumu la kutayarisha chakula halali, ambacho kimetayarishwa kwa mujibu wa mafundisho ya Kiislamu, kwa ajili ya michezo ya Olimpiki ya Tokyo 2020.
Habari ID: 3472477 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/16
TEHRAN (IQNA)-Mwanariadha Mwanamke Mwislamu Mmarekani aliyeiwakilisha nchi yake katika Olimpiki amemuandikia barua ya malalamiko Rais Donald Trump wa nchi hiyo.
Habari ID: 3470905 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/03/23
Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Misri zimepata medali zao za kwanza za mashindano ya taekwondo ya wanawake katika michezo ya Olimpiki ya Rio, 2016.
Habari ID: 3470534 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/08/20
Wanariadha watatu Waislamu wameonyesha nguvu na taswira nzuri ya Uislamu katika michezo ya Olimpiki ya Rio, 2016.
Habari ID: 3470529 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/08/18
Mgahawa Halali ulio katika makao ya wanariadha katika michezo ya Olimpiki huko Rio de Janeiro nchini Brazil mbali na kuwavutia wanariadha Waislamu pia unawavutia wasiokuwa Waislamu.
Habari ID: 3470524 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/08/15