iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA)- Timu ya kitaifa ya Libya ya mchezo wa kushindana kwa vitara au fencing imejiondoa katika ‘Mashindano ya Dunia ya Fencing’ ili kujizuia kukutana na timu ya utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3475116    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/12

TEHRAN (IQNA)- Harakati za kupigania ukombozi wa Palestina za Hamas na Jihad ya Kiislamu zimelaani vikali jinai za hivi karibuni za wanajeshi wa utawala haramu wa Israel ambao wamewaua Wa palestina akiwemo mwanamke.
Habari ID: 3475114    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/11

TEHRAN (IQNA)- Waislamu na Wakristo wa Palestina wamekuwa wakishiriki katika mpango wa pamoja wa kuadhimisha Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3475109    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/10

Matukio ya Palestina
TEHRAN (IQNA)- Makundi ya Wazayuni wenye misimamo mikali wametoa wito wa kuhujumiwa Msitiki wa Al Aqsa mjini Quds (Jerusalem) mnamo Aprili 15 sambamba na 14 Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa mnasaba wa siku kuu ya Kiyahudi wa Pasaka.
Habari ID: 3475097    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/07

TEHRAN (IQNA) - Jeshi katili la utawala haramu wa Israel limewaua shahidi Wa palestina watatu kwa kuwapiga risasi katika mji wa Jenin, katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
Habari ID: 3475090    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/03

TEHRAN (IQNA)- Harakati za Palestina za Hamas na Jihad ya Kiislamu zimelaani mkutano waliofanya mawaziri wa mambo ya nje wa nchi nne za Kiarabu na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel katika eneo linalokaliwa kwa mabavu la Naqab.
Habari ID: 3475084    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/28

TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu wa Harakati ya Jihad ya Kiislamu ya Palestina ameipongeza Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa kuunga mkono ukombozi wa taifa la Palestina.
Habari ID: 3475083    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/28

TEHRAN (IQNA) – Maelfu ya Wa palestina walisaidia katika kusafisha Msikiti wa Al-Aqsa huko katika mji wa Quds (Jerusalem) ambao uko katika sehemu ya ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na kukoloniwa na utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3475082    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/28

TEHRAN (IQNA) - Waziri wa Mambo ya Nje wa Tunisia Othman Jerandi amezitaka nchi za Kiislamu kushirikiana na kukomesha ongezeko la jinai za utawala ghasibu wa Israel katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala huo.
Habari ID: 3475072    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/24

TEHRAN (IQNA)- Askari wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamevamia Msikiti wa Nabii Ibrahim AS katika Ukingo wa Magahribi Jumapili na kupanda juu ya paa la msikiti huo.
Habari ID: 3475064    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/22

TEHRAN (IQNA) - Waziri Mkuu wa Pakistani Imran Khan alisema nchi yake daima itabaki kuwa ngome ya Uislamu na mtetezi wa haki na maslahi ya Waislamu duniani kote.
Habari ID: 3475061    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/20

TEHRAN (IQNA)- Wakati mwezi mtukufu wa Ramadhani unapokaribia, mkuu wa Tume ya Haki za Kibinadamu ya Kiislamu (IHRC) yenye makao yake mjini London amehimiza kususia tende zinazozalishwa na makampuni ya utawala haramu wa Israel katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala huo.
Habari ID: 3475059    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/20

TEHRAN (IQNA) – Kituo cha Kimataifa ya Haki za Kibinadamu cheye makao yake makuu nchini Marekani katika Chuo Kikuu cha Sherai cha Harvard, katika ripoti ya hivi karibuni kwa Umoja wa Matai kiljlijiunga na jumuiya ya kimataifa kwa kutambua tabia ya ubaguzi wa rangi ya utawala wa Kizayuni.
Habari ID: 3475058    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/20

TEHRAN (IQNA)- Harakati za mapambano ya Kiislamu ambazo zinapignaia ukombozi wa Palestina zimelaani vikali safari ya rais wa utawala haramu wa Israel Isaac Herzog nchini Uturuki wakati huu ambao Israel imeshadidisha hujuma dhidi ya Wa palestina .
Habari ID: 3475026    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/10

Siku ya Wanawake Duniani
TEHRAN (IQNA)- Leo tarehe 8 Machi inatambuliwa kuwa Siku ya Kimataifa ya Mwanamke. Pamoja na kuwa wanawake maeneo mengi duniani wanasherehekea siku hii kwa shangwe, huko Palestina hali ni tofauti kwani wanawake wanuawa kiholela na jeshi la utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3475021    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/08

TEHRAN (IQNA) - Mbunge wa Palestina anasema hatua ya utawala wa Kizayuni wa Israel kuiba ardhi ya Wa palestina huko Quds (Jerusalem) haibadilishi ukweli wa mambo.
Habari ID: 3475005    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/04

TEHRAN (IQNA)- Vikosi vya utawala wa Kizayuni wa Israel jana Jumanne vimewapiga risasi na kuwajeruhi waandishi wawili wa habari wa Ki palestina katika maandamano ya amani yaliyoandaliwa katika mji wa Al-Khalil (Hebron) unaokaliwa kwa mabavu na utawa huo katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
Habari ID: 3474997    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/02

TEHRAN (IQNA)- Chuo cha Kiislamu cha Al Azhar nchini Misri kimekosoa vikwazo vya Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) dhidi ya Russia wakati shirikisho hilo linapuuza jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel na kusema hiyo ni ishara ya wazi ya undumakuwili.
Habari ID: 3474995    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/02

TEHRAN (IQNA)- Harakati ya mateka wa Ki palestina katika magereza ya utawala dhalimu wa Kizayuni wa Israel imetangaza kuanza harakati ya Intifadha au mwamako wa wafungwa wa Ki palestina na kutoa wito wa kuungwa mkono harakati hiyo.
Habari ID: 3474986    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/28

TEHRAN (IQNA)- Harakati za Kiislamu za kupigania ukombozi wa Palestina, Hamas na Jihad Islami zimesisitiza ulazima wa kuafikiana na Harakati ya Ukombozi wa Palestina (PLO) kuhusu mpango wa pamoja wa kitaifa wa kukabiliana na utawala wa Kizayuni wa Israel unaozikoloni ardhi za Palestina.
Habari ID: 3474978    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/26