TEHRAN (IQNA) - Waziri wa Mambo ya Nje wa Tunisia Othman Jerandi amezitaka nchi za Kiislamu kushirikiana na kukomesha ongezeko la jinai za utawala ghasibu wa Israel katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala huo.
Habari ID: 3475072 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/24
TEHRAN (IQNA)- Askari wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamevamia Msikiti wa Nabii Ibrahim AS katika Ukingo wa Magahribi Jumapili na kupanda juu ya paa la msikiti huo.
Habari ID: 3475064 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/22
TEHRAN (IQNA) - Waziri Mkuu wa Pakistani Imran Khan alisema nchi yake daima itabaki kuwa ngome ya Uislamu na mtetezi wa haki na maslahi ya Waislamu duniani kote.
Habari ID: 3475061 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/20
TEHRAN (IQNA)- Wakati mwezi mtukufu wa Ramadhani unapokaribia, mkuu wa Tume ya Haki za Kibinadamu ya Kiislamu (IHRC) yenye makao yake mjini London amehimiza kususia tende zinazozalishwa na makampuni ya utawala haramu wa Israel katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala huo.
Habari ID: 3475059 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/20
TEHRAN (IQNA) – Kituo cha Kimataifa ya Haki za Kibinadamu cheye makao yake makuu nchini Marekani katika Chuo Kikuu cha Sherai cha Harvard, katika ripoti ya hivi karibuni kwa Umoja wa Matai kiljlijiunga na jumuiya ya kimataifa kwa kutambua tabia ya ubaguzi wa rangi ya utawala wa Kizayuni.
Habari ID: 3475058 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/20
TEHRAN (IQNA)- Harakati za mapambano ya Kiislamu ambazo zinapignaia ukombozi wa Palestina zimelaani vikali safari ya rais wa utawala haramu wa Israel Isaac Herzog nchini Uturuki wakati huu ambao Israel imeshadidisha hujuma dhidi ya Wa palestina .
Habari ID: 3475026 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/10
Siku ya Wanawake Duniani
TEHRAN (IQNA)- Leo tarehe 8 Machi inatambuliwa kuwa Siku ya Kimataifa ya Mwanamke. Pamoja na kuwa wanawake maeneo mengi duniani wanasherehekea siku hii kwa shangwe, huko Palestina hali ni tofauti kwani wanawake wanuawa kiholela na jeshi la utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3475021 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/08
TEHRAN (IQNA) - Mbunge wa Palestina anasema hatua ya utawala wa Kizayuni wa Israel kuiba ardhi ya Wa palestina huko Quds (Jerusalem) haibadilishi ukweli wa mambo.
Habari ID: 3475005 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/04
TEHRAN (IQNA)- Vikosi vya utawala wa Kizayuni wa Israel jana Jumanne vimewapiga risasi na kuwajeruhi waandishi wawili wa habari wa Ki palestina katika maandamano ya amani yaliyoandaliwa katika mji wa Al-Khalil (Hebron) unaokaliwa kwa mabavu na utawa huo katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
Habari ID: 3474997 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/02
TEHRAN (IQNA)- Chuo cha Kiislamu cha Al Azhar nchini Misri kimekosoa vikwazo vya Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) dhidi ya Russia wakati shirikisho hilo linapuuza jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel na kusema hiyo ni ishara ya wazi ya undumakuwili.
Habari ID: 3474995 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/02
TEHRAN (IQNA)- Harakati ya mateka wa Ki palestina katika magereza ya utawala dhalimu wa Kizayuni wa Israel imetangaza kuanza harakati ya Intifadha au mwamako wa wafungwa wa Ki palestina na kutoa wito wa kuungwa mkono harakati hiyo.
Habari ID: 3474986 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/28
TEHRAN (IQNA)- Harakati za Kiislamu za kupigania ukombozi wa Palestina, Hamas na Jihad Islami zimesisitiza ulazima wa kuafikiana na Harakati ya Ukombozi wa Palestina (PLO) kuhusu mpango wa pamoja wa kitaifa wa kukabiliana na utawala wa Kizayuni wa Israel unaozikoloni ardhi za Palestina.
Habari ID: 3474978 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/26
TEHRAN (IQNA)-Kampuni moja ya mawakili yenye makao yake makuu London imetuma barua rasmi ya malalamiko kwa Facebook kuhusu misimamo yake dhidi ya Wa palestina .
Habari ID: 3474964 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/23
TEHRAN (IQNA)- Baraza Kuu la Fatwa Palestina limetoa wito kwa umma kote Palestina kujitokeza kuulinda Msikiti wa Al Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3474952 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/20
TEHRAN (IQNA)- Makundi ya kupigania ukombozi wa Palestina yamekosoa vikali kitendo cha Australia cha kuitambua harakati ya muqawama ya HAMAS kuwa ni kundi la kigaidi.
Habari ID: 3474946 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/19
TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imetoa onyo kali kwa utawala haramu wa Israel baada ya walowezi wake wa Kizayuni kuwashambulia tena Wa palestina katika mji wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na utawala huo ghasibu.
Habari ID: 3474925 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/13
TEHRAN (IQNA)- Mwanasheria mkuu wa zamani wa utawala wa Kizayuni wa Israel aumeutaja utawala huo kuwa ni "utawala wa kibaguzi au apathaidi".
Habari ID: 3474922 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/12
TEHRAN (IQNA)- Baraza Kuu la Harakati ya Ukombozi wa Palestina (PLO) imetangaza kusimamisha utambuzi wa utawala wa Kizayuni wa Israel na ushirikiano wa kiusalama na utawala huo. Bunge Kuu la Palestina pia limetangaza kuwa, limesimamisha uratibu wowote wa kiusalama na utawala wa Kizayuni kwa njia mbalimbali.
Habari ID: 3474912 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/10
Rais wa Iran apokea vitambulisho vya balozi wa Palestina, asema
TEHRAN (IQNA)- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amepokea vitambulisho vya balozi mpya wa Palestina mjini Tehran na kusisitiza kuwa: "Umoja na mashikamano wa makundi na mirengo yote ya Palestina ni siri ya kupata ushindi katika mapambano dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel."
Habari ID: 3474907 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/08
TEHRAN (IQNA)- Harakati za muqawama wa Palestina za Hamas na Jihad al Islami zimeushukuru Umoja wa Afrika (AU) kwa kuutimua utawala wa Kizayuni wa Israel kwenye umoja huo na kusema kuwa, hatua hiyo ni pigo kwa zile nchi zinazotangaza uhusiano wa kawaida na utawala huo katili.
Habari ID: 3474902 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/07